Alexander Philip

7K posts

Alexander Philip banner
Alexander Philip

Alexander Philip

@Lyimo__Jr

Never give up| @Arsenal, @Fcbarcelona @SimbaSCTanzania

London, England Katılım Mayıs 2021
1.1K Takip Edilen685 Takipçiler
PCB
PCB@PureCommonBoy7·
@Elsukay0 Taja media mojawapo kaka au Itag
Indonesia
3
0
1
292
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
“Punguza kiherehere kwa mipango ya watu. Acha kuchunguza yasiyokuhusu” Ally Kamwe
Filipino
8
4
76
1.7K
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Goat mwitu anachapika huko Saudia
WHYMYCATISSAD tweet media
Indonesia
11
1
83
3.5K
Alexander Philip
Alexander Philip@Lyimo__Jr·
@privaldinho Vipi nyie kupeleka mechi yenu kule zanzibar haikuwa kukomoa? Si ndo nyie mliotangaza uwanja kabla hata bodi ya ligi haijatangaza? Au umesahau mr kisauti
Indonesia
0
0
2
499
Trica Online Store
Trica Online Store@TriciaAbou·
Kassali kwenye kupiga goal kick ameshaanguka kama mara tatu 🤔 Asije akatoa pochi tu
Indonesia
6
1
120
3.2K
Dominicksalamba
Dominicksalamba@Dominicksalamb1·
Ikiwa imebaki saa 1 dk30 kupigwa derby,tambua kuwa Simba anaingia akiwa hajashinda mechi yeyote ya ligi tangu Nov.2023 pia unakuwa mchezo wake wa 9 akiwa hajafanikiwa kuifunga Yanga ndani ya dk 90. Hivyo ukweli ni kwamba Simba wanapresha zaidi kuliko Yanga kifupi hawana furaha.
Indonesia
16
5
177
6.1K
M Ę C K I Ę 
M Ę C K I Ę @mee_nicodemus·
Simba 0 - 0 Yanga. Full Time. TUTAKUWEPO 🫵🏼
Filipino
16
5
80
2.3K
Presenter Noah
Presenter Noah@PresenterNoah·
Nyie Chenali kashinda tatu mtungi😳 Vitimu vya london vinajuaga kuikamia chesii tu, shwainn zao fulham🚶🏾‍♂️
Indonesia
5
2
108
2.4K
Alexander Philip
Alexander Philip@Lyimo__Jr·
@HecheJohn Alifanya mapema sana kumtoa saka, bora angemuacha hata mpaka kwenye dk 60 au 70
Indonesia
1
0
3
1K
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Madueke ni taka ngumu.
Indonesia
91
77
1.1K
34.6K
Liber Nehemiæ
Liber Nehemiæ@iamNehemia·
Huyu Brother anaitwa JOHNSON MANYAMA NYASEBWA kijana mwenye umri wa miaka 25 mkazi wa Ilala Almarufu kama Akili Brain mmiliki wa ma parody yasiyopungua matano na kuendelea humu. Na yana Fanya kazi kwa nyakati tofauti kutapeli watu. Vuta kiti, kaa rada kujuzwa usiyo - yafahamu.⤵️
Liber Nehemiæ tweet mediaLiber Nehemiæ tweet media
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰@Tinahcristiaan

Mtumishi muunge hyo dogo bando ..Pesa ameshakutumia sasa badala ya kumuunga una mblock unataka mtu akueleweje? Hela yenyewe nimetoa dada ake mantile hapa..Hata mgongo haujapoa kusukuma chapati😅

Indonesia
26
34
126
36K
BANGALA
BANGALA@krisBangala·
Asilimia 98% Ya Vipindi Vya Michezo Kwenye Media Za Tanzania,Vinaiongelea Vibaya Sana Yanga, Ni Wakati Muafaka Sasa Kwa Timu Yetu Kuanzisha Radio na TV Yake Ili Wana Yanga Tuwe Na Fursa Ya Kuzungumza Mambo Yetu Kwa Sauti Yetu Wenyewe,Na Kutangaza Mafanikio Yetu Duniani
BANGALA tweet media
Indonesia
43
25
439
14.3K
Presenter Noah
Presenter Noah@PresenterNoah·
Ila wabongo jau sana, sasa mtu unataka kununua ticket zote za mechi peke yako ili ufanyie nini?😂
Presenter Noah tweet media
Indonesia
18
13
414
11.5K
Alexander Philip
Alexander Philip@Lyimo__Jr·
@privaldinho Na tunawakumbusha tarehe 3 marefa wote sio wale mnaowahonga, sio wale kipa wenu anayewagombeza na kutaka kuwapiga
Filipino
0
0
1
575
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
Tumeona kashfa kwenda kwa waamuzi, kejeli na lugha za maudhi. Hizi kauli huwezi kusikia waandishi wa habari wala wachambuzi wamimkosoa mtoaji kauli. Lakini fikiri angezitoa Ally Kamwe… Vyombo vya habari vingemshambulia na kamati ingempiga rungu. Tukiamua na sisi kufanya wanachokifanya hatutaki vilio
Indonesia
45
6
177
15.1K