Mushi ❄️

1.3K posts

Mushi ❄️ banner
Mushi ❄️

Mushi ❄️

@travisMushi

Deutschland Katılım Ocak 2023
350 Takip Edilen67 Takipçiler
Mushi ❄️ retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Pengine kichwa cha habari kilipaswa kuwa “ VICOBA 13 ndani vya CCM vyapinga uundwaji wa tume kutoka nje ya Nchi.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
37
66
402
13K
Mushi ❄️ retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
‼️HABARI MBAYA‼️ Huyu kijana anaitwa James Temba ni ndugu wa Mwanamziki wa kundi la TMK Wanaume Family wakuitwa Mhe. Temba James Temba alitekwa na watu wasiojulikana Jijini Dar es salaam siku kadhaa zilizopita jana mwili wake umeonekana ukielea mto msimbazi Tabata huku ukiwa hauna kichwa. Huyu Msanii wenu pamoja na wenzake ni Makada wa CCM, tukiwaambia tuungane pamoja kupinga maswala ya Watu kutekwa, kuuwawa na kupotezwa huwa wanajivuta nyuma kwasababu wanadhan kwamba wao na familia zao wapo salama kwasababu wapo upande wa watekaji, leo na yeye limemkuta mtu wa familia yake. Wapendwa hakuna ambae yupo salama ili wote tuwe salama inabidi kila mmoja bila kujali itikadi wala dini, tuungane kupinga vitendo vya Utakaji na yote yanayofanana na haya. Hii nchi ni yetu sote, haiwezekani kikundi cha watu wachache ndo wawe wanaamua nan aishi na nani afe, HAPANA.
Indonesia
53
155
582
36.5K
Mushi ❄️ retweetledi
mwananchidr
mwananchidr@mwananchidr·
Kwa umoja huu Wauwaji waliofanya mauwaji makuu ya 29 okt 2025 haponi hata mmoja. Haki haiwezi kupotea hata ipite miaka mingapi lazima waliouwa maelfu ya Raia Wema wawajibishwe.
Indonesia
1
52
194
5.8K
Mushi ❄️ retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Nimechoka na kuona ukatili kila siku! Hivi ina maana WOOOOOOTE mliopo kwenye mfumo mnaona hii ni sawa? Mtu anatekwa alafu mwili wake unakutwa hivi? Kweki? Huku polisi wakiendelea kuteka! Tumetoka kuona MAELFU wa ndugu zetu wameuwawa kikatili na miili yao kuachwa barabarani na baadaye kusombwa na kutupwa kama takataka! Nyie kimyaaa Nyie ni binadamu? Hamjisikii hata kidogo vibaya? Nyie ni mashetani WOTE! 🚮mi hata huyo @nchimbie wengine mnamfagilia nasema ni walewale! Kwani sisi wengine tulishindwa nini kukaa kimya ili maisha yetu yaende? Tulishindwa kukaa kimya kwa sababu ya UTU! Sasa mi nawaona ninyi wote mlioufyata wasaliti! Mmekaa kimya ili uovu utawale - basi ninyi ni sehemu ya uovu! #ChangeTanzania
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
43
121
412
21.1K
Mushi ❄️ retweetledi
Mbunge Wa Taifa
Mbunge Wa Taifa@taifa_mbunge·
Nchi aiendeshwi kwa kujuana bali ni kwa mujibu ya sheria na taratibu.
Indonesia
18
66
398
22.8K
Mushi ❄️ retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Siku nzima bila Ninja, bila taarifa ya polisi kuwa wanamshikilia au kuifahamisha familia hali yake! This is highly unfair. Wherever you are, stay safe, Ninja! Ufunikwe na mbawa za M/Mungu. Urudi salama. Free Ninja Now!
Indonesia
3
109
373
5.1K
Mushi ❄️ retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Mmeuwa kwa risasi Watanganyika zaidi ya elfu kumi Oktoba 29 na ndugu zetu wengine mpaka leo bado wanauguza majeraha ya risasi na wengine mmewasababishia vilema vya maisha.🥹 Tangu Idd Amin Mama aingie madarakani hadi leo ameteka kupoteza watu zaidi ya 600 tena hii ni kwa mujibu wa Report wenu yenyewe. Lakin bado hajamaridhika mnaendelea kuteka na kupoteza ndugu zetu, imetosha sana mwachieni @Ninja_Damour na watu wote mliowateka. #FreeNinjaDamour #FreeDamour
Hilda Newton tweet media
Indonesia
2
115
328
5.6K
Mushi ❄️ retweetledi
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
"Uchambuzi wa ripoti ya Chande utafanyika siku ya Jumanne tarehe 5 Mei 2026 saa nne kamili asubuhi hapa makao makuu ya chama." Mhe. @jjmnyika
Indonesia
7
12
46
1.2K
Mushi ❄️ retweetledi
Mushi ❄️
Mushi ❄️@travisMushi·
@MariaSTsehai @tanpol @Ninja_Damour Hawajui wanavyoendelea na utekaji ndivyo hasira za wananchi zinazidi kupanda. Anaewashauri kufanya ivo akili zipo matakoni 🚮
Indonesia
1
4
7
1.2K
Mushi ❄️ retweetledi
mwananchidr
mwananchidr@mwananchidr·
CCM NYIE NI WATU WABAYA SANA MNAKUJA HAPA KUDANGANYA WATANZANIA
Indonesia
1
40
153
7.1K
Mushi ❄️ retweetledi
ROYAL TELEVISION
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz·
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche, amesema kuwa vyuo vikuu vinapaswa kuwa kitovu cha mijadala ya kisiasa, akisisitiza kuwa ni jukumu la wasomi kushiriki kikamilifu katika kuchambua masuala ya kitaifa na kimataifa. Akizungumza katika Kongamano la CHASO lililofanyika Mkoa wa Dar es Salaam leo Mei 02, 2026, Heche amehoji mantiki ya kuzuia siasa vyuoni huku akisisitiza kuwa elimu ya juu inapaswa kuendana na uelewa mpana wa masuala ya kijamii na kisiasa. “Sasa siasa isipofanyika chuo kikuu, iende ikafanyike wapi?” alihoji Heche, akiongeza kuwa mwanafunzi wa darasa la saba hawezi kuwa na uwezo wa kuchambua kwa kina madhara ya migogoro ya kimataifa kama ile ya Iran, Israel na Marekani. Amesisitiza kuwa jukumu hilo linapaswa kufanywa na wasomi waliopo vyuo vikuu, ambao wana nafasi ya kuchambua masuala hayo kwa kina katika mazingira ya kitaaluma. Heche pia amekosoa kauli zinazowazuia wanafunzi kujadili siasa wakiwa vyuoni, akisema kuwa kufanya hivyo ni kunyima vijana fursa ya kukuza uelewa wao wa masuala muhimu ya kitaifa. “Unaambiwa usijadili siasa chuoni, sasa utajadili nini kama siasa unaambiwa usijadili?” alihoji, akisisitiza kuwa mijadala ya kisiasa ni sehemu muhimu ya maendeleo ya fikra na uongozi kwa vijana.
Indonesia
11
27
130
2.4K
Mushi ❄️ retweetledi
Babu lohaa
Babu lohaa@hussen_mbaga·
Mapambano yaendelee atuwezi kuisha wote ,atuwezi kuwa machawa wote atufi wote
Babu lohaa tweet media
हिन्दी
0
15
86
621
Mushi ❄️ retweetledi
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Wapelekeni mahakamani Polisi ina nguvu gani kisheria kujua hili ni tusia au sio tusi Mtu akiwa mjinga akiambiwa ni mjinga inakuwa tusi? Wakati serikali ilikuwa na sera ta kufuta ujinga
Think Different tweet media
Indonesia
15
29
124
4.7K
Mushi ❄️ retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Leo umetimia mwaka mmoja tangu Mdude Nyagali avamiwe nyumbani kwake na maofisa wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya ambao walimjeruhi na kisha walimteka na kuondoka nae mpaka leo hatujui wamempeleka wapi. Tukikomboa nchi aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera na RPC wa Mbeya Benjamin Kuzaga watatuambia waliko mpeleka Mdude.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
7
156
532
8.5K
Mushi ❄️ retweetledi
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
"Kamati Kuu imeazimia kuanza rasmi operesheni ya mikutano ya hadhara nchi nzima. Operesheni hii itajulikana kwa jina la OPERESHENI KATIBA MPYA, FREE TUNDU LISSU." Mhe. @jjmnyika
Indonesia
8
38
105
1.6K