
@TzAstra2014 @MariaSTsehai Umemaliza mkuu, hii ndo ilikuwa jibu ya vita yote.
Indonesia
1
382 posts



Hilda hana akili kabisa anadai Kipara ni pandikiz la jamhuri alafu hapo anasema RCO na RPC walimuumbua 😅😅😅unamuumbuaje pandikiz sasa kama sio usenge ni nn?














Ukitazama video za msiba wa James Temba wakati wazazi wake(mama) anaaga mwili kanisani lazima utoe jozi💔💔. Kijana mwenzetu ameuliwa kinyama sana daah. Waliohusika naamini watapata adhabu sawa na walichomtendea ndugu yetu.



