
@thinker24hr Redmi note 11 walisema 70k had nikaishiwa poz na hapo ina miaka 3 from new
Filipino
👂
4.3K posts



Hivi wanaouza simu Tz top up Huwa mnazingatia vitu Gani maan Huwa imekaa kimichezo sana 😄 unakuta simu clean ila inavo thaminishwa ni hizuni hata kama sio tolea la zamani sana



@maxannania Kama umeitaja tarime basi unaijua hii nchi vizuri🙌🏾 umeacha Morogoro kuna dingi aliwahi kuniambia SGR ikifika nchi nzima na tukawa na tren ya kusafirisha mazao tu, hakuna mtu atalala njaa hii nchi na hakuna mkulima atalia, Nahisi Magu alikuwa na hii vision








