TABIM8 TYRES retweetledi
TABIM8 TYRES
6.2K posts

TABIM8 TYRES
@MacAlpho
Businessman || We Sell The Best Tyres At a Reasonable Price. @SimbaSc fan
Johannesburg, South Africa Katılım Ağustos 2020
1.1K Takip Edilen578 Takipçiler
TABIM8 TYRES retweetledi

@Kenn_676 Series like Dexter,game of thrones,greys anatomy,pretty little liars and so on…I just like the thrill that comes from waiting for the next episode
English

@NillanJr @P_simpleman95 @INFLUENCERjr Acheni deko za kijinga, mpira sio taarabu kwamba kusiwe na miguso hata kidogo.
Nenda kaangalie goli la Arsenal dhidi ya Man Utd mzunguko wa kwanza halafu rudi hapa.
Filipino

@P_simpleman95 @INFLUENCERjr Ww nae kama taira tuu rudia kweny goli uone alikua analalmika nn
Indonesia
TABIM8 TYRES retweetledi

@MDigala24 @VictoryTheCham1 @NtibegelanaJn @FKihamu Kwahiyokatika hali ya kawaida unadhani USA ni sawa na hii Tz kwa kigezo cha Oxygen?
Aiseeh umasikini na kutotembea kusiwafanye mkawa vichaa hivi, hii nchi dunia ya tatu utaifananisha na nchi yoyote ya Ulaya?
Umasikini sio dhambi ila usiusujudu.
Indonesia

@VictoryTheCham1 @NtibegelanaJn @FKihamu Kwamba Marekan wanavuta oxygen special kuliko tunayovuta sisi huku..
Suomi

@beluxeoscar @ShirimaYvonne @munyamambogo Lile swali la kwamba "mbona sikuhizi vijana wanakufa kuliko wazee?"
Jibu ni moja tu, Ajali.
Indonesia

@MacAlpho @ShirimaYvonne @munyamambogo Isee binafsi naogop sana boda huwa napanda kwa dhalura san na sio umbali mrefu
Boda zimeuwa vijana wengi sana
Indonesia

@beluxeoscar @ShirimaYvonne @munyamambogo Kumekuwa na ongezeko kubwa la vifo vya vijana zama hizi, ukifuatilia vifo hivyo vingi sio ugonjwa bali ni ajali na asilimia kubwa ya ajali hizo ni boda.
Vijana tumeupenda sana huu usafiri, ila ndio usafiri ambao kosa moja ka dereva lazima likuue.
Indonesia

@ShirimaYvonne @munyamambogo Rip
Sema boda ni risk sana tunapanda tu basi
Indonesia

@JosmanStima Sema jamaaa aliamua kujiua kwajili ya dem tulizika mwaka jana mkalli
Indonesia

Umekufa umeacha demu mkali 🕯🕊endelea kupumzika kaka
Stevenson@StephenVenance2
@maestrowafact nikisema mm ndio namiliki pisii kali humu ndani ntakua nasema uongo?

@KusainiNab71324 @Labella_Mafia95 Hata sasa wapi wanaoweza kufanya hivyo tena hizohizo pisi za kidigtal unazosemea ila awe anakupenda kweli, vinginevyo.. 😃
Indonesia

@Labella_Mafia95 Duh, hapo utakuwa umeoa kweli, walikuepo wahivyo Ila sio wa kizazi hiki wenye kudai haki sawa
Indonesia

@angelbellerin02 Hata wakati anadate na Idriss, aliwahi kuja na story kama hii kisha ikapotea baada ya miezi kadhaa.
Filipino

@bonifacejoseph_ Kuna kichwa chake kinachofikia output ya 100w?
HT

@AllyAssed13070 @Yassin_Jiwe @ayubu_madenge Bado hujaelewa code hiyo? Wewe niambie ni nani aliyekuwa karibu na utawala wa JPM katika sekta nyeti karudishwa karibu na utawala wa sasa?
Indonesia

@Allypapala @PolycarpMDM Sasa kama haya mnasupport, huwa mnapata wapi nguvu ya kupinga mauwaji na utekaji unaofanywa kwa kigezo cha kuikosoa serikali za huku?
Indonesia

Utawala nchini Iran umewanyonga waandamanaji watatu walioandamana kupinga Utawala wa Kiislamu, Walikamatwa mwezi Januari kwa tuhuma hizo.
Majina yao ni;
• Saleh Mohammadi
• Saeed Davoodi
• Mehdi Ghasemi
Vyanzo vingi vinadai Walihukumiwa kifo na kunyongwa baada ya kulazimishwa kukiri kosa kupitia mateso, kunyimwa fursa ya kupata mawakili huru, na bila kuzingatia hata kanuni za msingi za haki na utaratibu wa kisheria.

Indonesia

@PolycarpMDM Linapokuja swala la dini watu wapo tayari kukubaliana na udhalimu wa aina yoyote. Kwahiyo hata serikali ya T inayoua na kuteka raia kumbe nayo ipo sawa kwa kigezo cha watu kuipinga?
Ni Mungu gani huyo anakwambia uue mtu simple because hakubaliani na misingi yako ya kisiasa?
Indonesia

@Baharyy25 @PolycarpMDM Kwahiyo kama CCM wanayafanya sana, basi yanageuka kuwa mambo ya kawaida?
Filipino

@PolycarpMDM Sasa sisi inatuhusu nin, wakat hayo hata ccm wana yafanya sana tu
Indonesia

@Suite912 @SimbaSCTanzania @moodewji Hapa naona hatari ya kuurudia huo ujinga, hii game tunaweza kusuluhu au kupoteza kabisa.
Indonesia

@SimbaSCTanzania Hatuwezi kutoka sare wala kupoteza MATCH huu ujinga tumeufanya miaka mingi Yanga akipoteza na sisi tunapoteza. Lazima ushindi nimesema sana kuusu ili @moodewji
Indonesia

@MacAlpho @semdimu @ayubu_madenge Sababu nini , wasukuma wanaingiaje hapo!!!?😅
...hv kuna shda gani kutangaza , yan hadi iran waseme tumemuuwa!!!
Indonesia

@Dullykiba @PabloYende Sijazungumzia imani hapo, nimezungumzia "Amani".
Slovenščina























