
@HildaNewton21 Mbali na Rushwa, Ufisadi, Mikataba mibovu Africa inaendelea kuwa nyuma kwa Sababu Viongozi wa Africa wakiwa ofisini wanatumia Muda mwingi kulinda madaraka kuliko kufanya maendeleo.
Wenzetu wanaendelea kwa sababu ya uwajibikaji na si kung'ang'ania na kulinda madaraka.


Indonesia





























