Life Pundit 🎓
3.3K posts


@__Baryna__ Hiv kuna siku aliwah kushuka kiwango? Huyo anawekwa nje na injury tu ila sio performances.
Indonesia

Skirt za wasambaa
M O X@UrBoyMox
Ndo niko natoa akiba yangu nimpe shemeji yenu hapa find love guys
Indonesia

@Adventure_36 Mwaka jana nlipita iyovi pale alfajir nakutana na special hire imetumbukia kwenye kolongo. Jamas wanajiachia mno asee
Indonesia

@INFLUENCERjr Hata wakimpata itakua sio lengo. Wao wanatafuta mbadala wa Mo Salah. Olise sio mbadala wake masna Olise ni more about play making sio goal gatter km salah.
Indonesia

@Adventure_36 Ila si tumeambiwa yameshashuka. Kikao kiishe bei zirud kawaida life liendelee
Filipino


@millardayo Sasa niende nkafungie kibanda changu cha mpesa pale hormuz.
Polski

Baada ya makubaliano ya kusitisha vita kwa wiki mbili, Iran imeridhia kufungua Mlango Bahari wa Hormuz ili kuruhusu Meli za kusafirisha mafuta kupita kwenye njia hiyo muhimu ya kimataifa.
Uamuzi wa kufungua njia hiyo unakuja kufuatia tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump la kusitishwa kwa mashambulizi dhidi ya Iran ikiwa Mlango Bahari wa Hormuz utafunguliwa “kikamilifu, haraka na kwa usalama.”
Kwa upande wake Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi, amethibitisha kuwa usafirishaji kupitia Mlango wa Hormuz utaendelea kwa kipindi cha wiki mbili kupitia uratibu na Vikosi vya Silaha vya Iran huku akiishukuru Pakistan kwa kuingilia kati na kuomba kusitishwa kwa vita.
Pamoja na hayo, Iran pia imesema ikiwa mazungumzo yataendelea vizuri, kipindi cha wiki mbili cha kusitisha mashambulizi kinaweza kuongezwa ambapo mazungumzo zaidi yanatarajiwa kufanyika Mjini Islamabad katika wiki zijazo ili kudumisha amani na usalama katika eneo la Ghuba ya Uajemi.
#MillardAyoUPDATES.

Indonesia

@Mshonaviatu Kwamba game akiwa fit hawafungwi. Mwaka jana arsenal kawabonda akiwemo game zote. Watu wanaCheza collectively sio individually na ndio maana timu ikikamatwa imekamatwa tu.
Filipino

@Adv_innocent Gnabry ni tapeli? Cheki ile assist ya goli la kwanza then ujue ni tapel au lugumi yule
Filipino

@Adv_innocent Huyo wa kwanza kwenye list yako mi nahis sio mzima kabsa. Maana ni kama ana wenge. Hawez kucheza mechi dakika 90 bila kuunguza, jana yenyew Viny tu hakuwa makini alishampa chance ya wazi ule mpira wa juu.
Indonesia

@iboysean Nmetoka kuuliza sehem, sasa wamafunga uwanja kwa ajili ya nn mbona wanatombwa wenyew tu🤣

Indonesia











