ทวีตที่ปักหมุด
Eng. Josh Paimen✨️
4.2K posts

Eng. Josh Paimen✨️
@Captain_Josh47
I survived a devil night 🌙 in Emima.
Emima 47 - Hawthorne, NJ เข้าร่วม Nisan 2020
5.5K กำลังติดตาม4.4K ผู้ติดตาม

@EsirEid Mkipewaga nafasi hiyo mnafanya basi. Au ndo tiketi ya kutulia mademu zetu pale UDOM na kubadlisha ndinga😂
Indonesia
Eng. Josh Paimen✨️ รีทวีตแล้ว

#TajiriLaKihaya
Kama ningekuwa WAZIRI WA NISHATI Tanzania, jambo la kwanza ningepunguza ni msongamano wa magari ya mafuta hasa Dar es Salaam.
Suluhisho la msingi ni kuwa na depot za mafuta angalau moja katika kila mkoa, na pia kuimarisha usambazaji wa mafuta kupitia pipeline (mabomba ya mafuta) badala ya kutegemea sana malori.
Mfano mzuri nimeuona Kenya. Mafuta husafirishwa kwa bomba kupitia Kenya Pipeline Company kutoka Mombasa hadi maeneo ya ndani ya nchi.
Kuna depots muhimu kama:
Kisumu (inayohudumia Nyanza na magharibi mwa Kenya),Eldoret (kitovu kikubwa cha mafuta kwa Afrika Mashariki),Nakuru na Nairobi
Mfumo huu unapunguza sana idadi ya malori barabarani na gharama za usafirishaji.
Pia nchi nyingine Afrika zinafanya hivi:
Afrika Kusini ina mtandao mkubwa wa pipelines kusambaza mafuta ndani ya nchi na Nigeria pia hutumia pipelines kusambaza mafuta kutoka maeneo ya uzalishaji hadi miji mikubwa
Mapendekezo kwa Tanzania:
1.Kujenga depots za mafuta kimkakati katika mikoa yote,Hii itapunguza utegemezi wa Dar es Salaam kama kituo kikuu pekee
2.Kupeleka mafuta kwa pipeline hadi mikoa ya ndani,Mfano: kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma, Mwanza, na Mbeya
3.Kuanzisha depots katika mikoa ya mipakani ili kupunguza safari ndefu za malori mathalan; Zambia na CONGO iwe Mbeya….Rwanda & Burundi: Kahama au Bukoba… Malawi: Mbeya au Ruvuma (Songea)…Kenya & Uganda: Mwanza
4.Kuruhusu mafuta ya transit kuhifadhiwa karibu na mipaka,Badala ya malori kutoka Dar kusafiri hadi mipakani moja kwa moja
Faida zake ni kubwa:
-Kupunguza foleni kubwa ya malori ya mafuta Dar es Salaam
-Kupunguza ajali za barabarani zinazohusisha malori ya mafuta
-Kupunguza gharama za usafirishaji wa mafuta
-Kushusha bei ya mafuta kwa mlaji wa mwisho
-Kuongeza ufanisi na usalama wa usambazaji wa nishati
-Kuifanya Tanzania kuwa kitovu kikuu cha usambazaji wa mafuta kwa nchi jirani
Kwa kifupi, huu ni uwekezaji wa kimkakati ambao unaweza kubadilisha kabisa sekta ya nishati na uchumi kwa ujumla.
Indonesia

@Irene4803 @OgindoJunior Kuna andaki halafu kuna lile shimo😂
Filipino
Eng. Josh Paimen✨️ รีทวีตแล้ว


@prossoff Mnatuonea wajeda!!! Kwanza hatuwakutagi na Bikra
Indonesia

Mimi sijawahi kuwa na imani na mwanamke wa JKT.
Kwamba aende JKT akae mkataba wa miaka miwili ajitunze asitumiwe mpaka anamaliza..
Sina imani hata kidogo.
Nilimuacha mwanamke nilietamani kumuoa kwasababu ya kwenda JKT.
Nilikua mwanaume wake wa kwanza lakini hicho sio kigezo pekee cha kufanya nisiamini hisia zangu juu ya wanawake wa jeshini.
Nilifanya maamuzi magumu lakini hakukuwa na namna.
Indonesia
Eng. Josh Paimen✨️ รีทวีตแล้ว
Eng. Josh Paimen✨️ รีทวีตแล้ว
Eng. Josh Paimen✨️ รีทวีตแล้ว

@CenturyBoe @Luvandalugano47 Abort mission, I repeat, Abort mission
English

@kalage_jr Wee uko busy na parachichi sisi tuko busy na pango la Amboni
Filipino
Eng. Josh Paimen✨️ รีทวีตแล้ว
Eng. Josh Paimen✨️ รีทวีตแล้ว
Eng. Josh Paimen✨️ รีทวีตแล้ว














