
WALLET YA JACK PEMBA
5.5K posts

WALLET YA JACK PEMBA
@Chimney2015
kishamapanda
Mwanza, Tanzania เข้าร่วม Aralık 2016
1.7K กำลังติดตาม354 ผู้ติดตาม

@lifeof_nono Hapo sawa kwa sababu wakiitwa watu weupe ( wa kiafrica) najua huwezi kutokea. Wewe ni mweusi.
Indonesia

@kalegamyeh Nani aliyekopi kati ya Toyota na huyo? Au ni gari ya kichina?
Indonesia

@MTENGENEZSAFINA Tunaweza Sema ni kama messi na Cristiano kwenye longevity kwa sababu kwenye ubora wapo wengi waliokuwa na walio bora hata zaidi yao lakini muda ndiyo mwamuzi.
Indonesia

HIP HOP bongo
Haitakuja kutokea upinzani wa kama wa
FID Q NA JOH
Sa7 kuu kadhaa.
1. Muda ( time span) wamedominate game kwa mda mrefu miungo 2 kwenye game
2. Back and forth engagement ( shots za line japo hazikuwa direct)
3. Culture impact(time influence utamaduni,,fans,media
Headboy wa mtaa@Sirajitz1
Wapinzani 10 maarufu waliowahi kutokea nchini Tanzania 10. Kanumba na Ray
Filipino

@Chimney2015 raia wa kawaida wavuja jasho wanaolipa kadi za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja.
Polski


@RKishaija81715 @Makaveli_255 Yaani us aingilie vita ya israel na turkey tena upande wa turkey 🤣🤣!
Indonesia

@Makaveli_255 Turkey ni militarily superior kwa nchi zote Middle East na pia ni part ya NATO while Israel isn't.
Kulingana na article 5 ya NATO nchi yoyote ikivamiwa ,all members States including US watashirikiana kumkabili aggressor
So hiyo vita haiwezi kutokea labda US atoke NATO.
Filipino

Israel anataka kuifanya hii nchi majivu asee
Beauty of Nature 🥀@NaturalEye78321
📍 Karaköy, Istanbul, Turkey 🇹🇷
Eesti

@ProLearner77 @Benzinh0 Siyo labda zimekupita. Huna taarifa.
Filipino

@Chimney2015 @Benzinh0 Mnafiki kwenye nini?
Labda wengine taarifa zimetupita.
Indonesia

Soma QRTs and Replies uone wakristo wanavyomuwakia baba mtakatifu. Najaribu kutafuta kasoro kwenye ujumbe wake huu lakini sioni,,, sasa sijui kwanini wao wameukasirikia.
Pope Leo XIV@Pontifex
Communion between Christians and Muslims takes shape under the mantle of Our Lady of Africa. Here, in #Algeria, the maternal love of Lalla Meryem gathers everyone as children, within our rich diversity, in our shared aspiration for dignity, love, justice, and peace. In a world where division and wars sow pain and death, living in unity and peace is a compelling sign. #ApostolicJourney
Indonesia

Kuna watu Wana matatizo ya akili
Hapa TANZANIA kulitokea mashindano ya freestyle makubwa AFRICA YA SPRITE M.C AFRICA na mpaka Sasa hayajatokea kama hayo.
Fainali alishinda RAGE akimchapa imamu Abbasi. JAJI PROF JAY IMAGINE.
Rage akaenda S.A
Lakini hamna video sembuse NGWAIR
ALAM OF GOD2026@Muhanuzi16
Achana nae huyo naomba link ya video za hashim akifreestyle mkuu
Filipino

@MTENGENEZSAFINA Umenikumbusha rage bwana alikua mwanae sana na fid.
Filipino

@Maestrowafact Kote wako hivyo mzee 🤣🤣. Kama mgeni unaweza pagawa.
Filipino

@Makaveli_255 @Rony__Jons Sitaki kusema una fikra duni labda pengine unajifanya huelewi Hali ya nchi yetu.
Indonesia

@kalegamyeh Ni wengi mno walioenda kwa niia hizo na inafahamika kabisa bongo ukiwa na kiasi cha mboga tu unakwara passpenga 🤣. Kwanini wasije kuchukua ilihali tumehalalisha rushwa.
Indonesia

Moja ya sababu kwanini Tanzania ilipigwa ban ya visa in US, ni tuhuma kwamba watanzania wanatumia sana kodi za serikali ya US kwa kuomba benefits mbali mbali badala ya kufanya kazi.
Lakini story inayotrend huku ni kwamba, kuna wakimbizi wengi walipewa passport za Tanzania kwa njia ya dili Afu wakifika huku wanajiita watanzania afu wanakua mizigo ya walipa kodi wa US.
Mimi binafsi nishakutana na jamaa anajiita mtanzania lakini Kiswahili chake kilinishtua kidogo. Nilipombana kidogo ndio Akasema yeye ni mkongo lakini ana passport ya Tanzania.
Nafikiri idara ya uhamiaji wawe serious sana na hii rushwa inayoendelea. Inawanyima fursa watanzania wa kweli ambao ni watu wa kazi. Wenzetu wakenya hawana hii kashfa.
Indonesia

@Makaveli_255 Kwenye nchi hii uongelee suala la kukwepa jela!? 🤣.
Filipino

Fanya unavofanya kwenye haya maisha ila hakikisha unakwepa jela.
Brunoh🧃@BrodiiKDB
ves esto y te das cuenta que la cadena perpetua es peor que la pena de muerte.
Indonesia






