Dr. Boaz

71.1K posts

Dr. Boaz banner
Dr. Boaz

Dr. Boaz

@PhysicsJ7

#THINK_BEFORE_DOING.

Dar es Salaam, Tanzania เข้าร่วม Mayıs 2016
1.8K กำลังติดตาม3.8K ผู้ติดตาม
Dr. Boaz
Dr. Boaz@PhysicsJ7·
@ThatBoyKhalifax Anaongea akiwa mkavu sana . Hata hapo alipotosha, mwambie aje atoe ufafanuzi wa hayo mahojiano.
Indonesia
0
0
0
7
khalifa said #IRAN 🇮🇷 ☭🌹
gerson msigwa anapenda kujitokeza na kutolea “ufafanuzi” vitu ambavyo hata havihitaji kufafanuliwa. feb. 27, 2025, nilimuuliza kama hadhani kufanya hivi kunadhoofisha imani ya wananchi kwa serikali? jibu lake ni kwamba wananchi wanaiamini serikali yao sana:
Indonesia
26
44
221
11.4K
Dr. Boaz
Dr. Boaz@PhysicsJ7·
Nilikuwa namsikiliza huyu mkurugenzi pale UTV anasema, " Bei ya nauli iliyopangwa 2023 ilijumuisha viwango vya gharama za upandaji wa mafuta wa sasa ,hata hivyo upandaji wa mafuta wa sasa hauathiri nauli zinazotumika sasa" Kwa hiyo miaka 2 tulikuwa tunalipia over price🤔
Dr. Boaz tweet media
Filipino
28
30
307
17.5K
Mwesi
Mwesi@DKabugumila·
@PhysicsJ7 @TBoundBuses Wala si over price. Take note:Katika uchumi,kuna vitu vinaitwa PRICE CEILING & PRICE FLOORING. Ndicho walifanya,wakachagua zaidi price ceiling kwasababu most mafuta hupanda bei....that was their speculationna hawakukosea.
Filipino
1
0
1
62
Dr. Boaz
Dr. Boaz@PhysicsJ7·
Nauli imeongezeka kimyakimya 🫢🫢
Dr. Boaz tweet media
Polski
0
0
3
66
Son of God
Son of God@EliabuDanford·
Mafuta dola ngapi?? 😅
Filipino
12
0
18
1.2K
Dr. Boaz
Dr. Boaz@PhysicsJ7·
@Nurjan_seyd Mkiguswa mnakuwa wakali wakati ukweli mnaujua
Indonesia
0
0
0
13
Faraja
Faraja@faraja_zungu·
Asilimia kubwa ya viuatirifu mbolea ambayo inauzwa Tanzania imepigwa marufuku soko la Ulaya, kwa maana si salama kwa matumizi ya kilimo na mifugo, waziri wa kilimo ni mfu 🤷‍♂️.
Burundi 🇧🇮 Filipino
13
7
100
5K
Faraja
Faraja@faraja_zungu·
@PhysicsJ7 Ni heri upoteze wachache uokoe wengi!
Burundi 🇧🇮 Polski
1
0
2
38
Dr. Boaz
Dr. Boaz@PhysicsJ7·
@faraja_zungu Kuna watu wameniunfollow Kisa hizi mada za Madawa ya kilimo.
Indonesia
1
1
2
56
Faraja
Faraja@faraja_zungu·
@PhysicsJ7 Tumekuwa na kizazi cha ajabu sana, tumeweka fedha mbele kuliko utu na afya za watu.
Indonesia
1
0
4
174
Dr. Boaz
Dr. Boaz@PhysicsJ7·
Nimeanza kuamini Rais amezungukwa na Useless peoples. Au ni mpango wa kumdhalilisha unaendelea🤔 Yani Lita 1 iuzwe Milioni 2 na bado anasema amerekebishwa🫢🫢
Filipino
105
99
547
34.5K