steve

17.4K posts

steve banner
steve

steve

@SteveGeneral_

HIP HOP/ ARSENAL supporter/ AZAM FC-Timu Bora bidhaa bora🍦 GEMIN👨‍❤️‍👨/ NGONI tribe/ Born here here

Dar es Salaam, Tanzania เข้าร่วม Temmuz 2016
919 กำลังติดตาม1.7K ผู้ติดตาม
Bright🌴
Bright🌴@bright_ludwig·
Ngoma gani ya J.cole kali nikaipe skio?
Indonesia
38
8
84
3.5K
steve
steve@SteveGeneral_·
Kwenye hii vita kuna mchaga ambae yupo upande wa Iran?
Filipino
0
0
2
28
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Simu yako ina nyimbo nyingi sana ila kuna ile moja unaisikilizaga mara mbilimbili itaje..?🎶
Filipino
147
48
427
23.8K
steve
steve@SteveGeneral_·
@muandazi Wachina hawana movie. trailler kali angalia uone
Filipino
0
0
1
103
LOCHO
LOCHO@muandazi·
Wazee Kuna yoyote ameangalia hii movie anipe feedback Kabla sijamaliza bundle langu
LOCHO tweet media
Eesti
5
6
22
2.2K
Ngosha
Ngosha@adili_255·
Kibaha Finest Rapa Flani Hivi Hamna Kitu .. ukibisha Kasikilize Sio Kwa Ubaya Ya Mwana Fa
Indonesia
12
3
64
13.4K
steve
steve@SteveGeneral_·
Ukitaka kujua ubaya wa huyu mzee nenda kairudie Handsome kuna skills mule sio poa ipe sikio vizuri utanielewa 🙌🙌
steve tweet media
Indonesia
0
0
1
17
𝑴𝒂𝒌𝒂𝒗𝒆𝒍𝒊 
Nitapata kitu cha kunisaidia, nakuta kila anachofanya kwenye ile simu na huku kinakuja mfano akipiga picha inakuja hadi simu ya zamani, nikasearch nikapata namba ya mkewe nikampigia hazijapita hata dakika 20 jamaa kaja shop ndo anatoa ushirikiano, miezi 6 alikua ananitupa tu dah.
Indonesia
17
0
145
14.1K
𝑴𝒂𝒌𝒂𝒗𝒆𝒍𝒊 
So nilimuuzia mteja mmoja 13 pm mwaka jana Oct bahati mbaya ikazima yenyewe so nikambadilishia ile ikarudi China kuwa fixed, ilivowaka ikawaka na iCloud ya mwana, nikampigia anisaidie password, hizo kona nilizopigwa Mungu ndo anajua, leo nikapata wazo nikague hiyo simu labda
Filipino
8
25
492
56.3K
steve รีทวีตแล้ว
Calvin
Calvin@GamechangerTz·
@SteveGeneral_ @RealLoisMo Ile ni moja kati ya diss track noma iliyowahi kutoka kwenye Bongo Hip Hop 🙌🙌🙌🙌
Filipino
0
2
2
64
Malcolm 🏆
Malcolm 🏆@mlinganya·
Mungu alipotaka kumleta Yesu duniani alimtumia mwanamke bikra sababu ya twahara yake(usafi wake). Kwa nini wewe uzao wako unataka upitie kwa mwanamke aliyekwisha chafuliwa(Contaminated) na shahawa za wanaume wengine,vidonge vya kutoa mimba ? Ina maana wewe una akili kuliko Mungu?
Filipino
27
21
117
6.1K
Calvin
Calvin@GamechangerTz·
Sijamwelewa Fedrick Mullah anavosema diss track kuwa na impact ni ile hali ys diss track kuwafikia kwa ukubwa na watu ambao sio watu wa hip hop/Ambao sio wafuasi wa Hip Hop na ndo sababu inayomfanya yy kutomtaja Unju km moja ya emcees/Rappers wazuri kwenye kutengeneza diss track
Indonesia
8
3
28
2.4K
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
kibongo bongo ni kitu gani ukinunua tu wanakuona wewe una hela ata kama hauna..?
Indonesia
44
19
339
28.2K
steve
steve@SteveGeneral_·
@noeli_mbilinyi Kuna jamaa yangu mwanzo alipata changamoto kama mpaka alitaka kufunga fundi anamsumbua akaja akapata fundi wa kimalawi jamaa hawasumbui ukiwapata pia wanaletana kingine toka kwenye frame tafuta banda nenda kwenye maeneo ya manispaa mfn wl wanaouza maua wanalipa kidogo sn kodi
Indonesia
1
0
5
473
N-M
N-M@noeli_mbilinyi·
Mwaka jana December niliacha biashara ya uwakala mkoani nikatinga DSM-Mbagala miguu yote nikafungua Spare Parts kwa mtaji wa 10M.. ni miezi mitatu now mauzo hayazidi 50 per day.. wateja hakuna, mafundi wanasumbua ya ani kiufupi kichwa kiko moto 🔥 🔥 👇👇
N-M tweet media
Indonesia
118
64
592
53K
steve
steve@SteveGeneral_·
@chapo255 Hamna mimi nikiuwawa huwa nakunywa ngumu kwa hiyo lazima nitoe lebo ili watu wasijue kama nimeuwawa
Filipino
0
0
2
452
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Sema Mondi kawaribu sana vijana wa Tanzani, BARAKA MAVIATU ukiwa nae bar anabandua sticker za bia kisa analinda brand yake, sasa Maviatu ana brand gani ya kuilinda😂😂
Indonesia
25
34
651
28.1K
Babu Bomba
Babu Bomba@BabuBomba4·
Solo hatumii nguvu kwenye kurap kabisa.
Filipino
3
2
18
680
steve
steve@SteveGeneral_·
@Chizzodrama Labda tafsiri yako ndio iliishia hapo ila ni mstari uliokamilika na una sadifu alichokusudia
Indonesia
0
0
0
128
chizzo drama
chizzo drama@Chizzodrama·
STEREO aliwahi ku~rap “ SINA SONGS KAMA TREY” Huu ni mfano wa zile wordplay za kawaida ( not clever), hata kama alimaanisha habani pua still that line is the weakest link Msiwacheke akina KONTAWA. sometimes ni pronounciation trick(how it sounds) pengine likafurahisha tu.
chizzo drama tweet media
Indonesia
13
6
51
5.7K
steve
steve@SteveGeneral_·
@StoneSaphia @latax_ Nchi ishaharibika hii report kituo chochote cha polisi karibu na wewe kama huamini polisi ongeza ulinzi
Indonesia
0
0
0
18
Nurse Saphia
Nurse Saphia@StoneSaphia·
Kuna mkaka ana gari namba EEB mazda mara ya kwanza alikuja dukani kutaka ankle chief akiwa anatoka jasho sana akasema gari yake AC imeharibika after one wiki akaja tena kununua hiyohiyo ankle chifu ila mara hii nilifika dukani saa nne nikakuta gari yake imepak mbele ya duka langu
Indonesia
94
17
586
76.1K
Ngosha
Ngosha@adili_255·
Nasikiliza Album Ya Stereo Singasinga Alafu Nawaza Kauli Ya Mtengenezasafina Kwamba Mistari Ya Stereo Hai make sense 😂😂
Indonesia
6
3
44
3.7K