Calvin

19.9K posts

Calvin banner
Calvin

Calvin

@GamechangerTz

God fearing Man,A father,Good Music Addict,Die Hard fan of Lionel Messi,Medical Personnel By Profession....

Tunduma,Songwe,Tanzania Katılım Ağustos 2018
3.4K Takip Edilen2.5K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Calvin
Calvin@GamechangerTz·
Kuna interview ya mda kidogo ya Unju @NikkiZohan Alifanyiwaga na @JabirSaleh Nakumbuka kipindi icho DjMamie yule wa wasafi saizi alikua ni Dj wa brother Jabir Unju Alisema "ukiona mtu ambae anaijua hii industry ya Bongo Hip Hop vizuri akaulizwa ataje Emcees/Rappers wake wakali
Indonesia
7
11
106
11.7K
Denis_developer🐼
Denis_developer🐼@ShijaDenis·
Sema kuna muda huwezi kukwepa kutumia alternatives za apps ili kupunguza gharama za maisha. Maana ukianza kujumlisha subscriptions 😅👇 ✅ Netflix ✅ ChatGPT ✅ Gemini ✅ VPN ✅ Prime+ Gharama zinakuwa nyingi sana. So ukipata alternative ya ku-save pesa, usione aibu kutumia mods au alternatives ya hizo apps
Indonesia
4
7
40
3.5K
Calvin retweetledi
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Eid Mubaraq Brothers and Sisters...💫❤️🤝
Eng.Mapunda Jr tweet media
English
12
28
60
515
Profesa Nyambu
Profesa Nyambu@NyambuNyingiii·
@GamechangerTz mdogo alilenga ile (athari) kama diss za mbele pac na big drake na Lamar na kuna vitu vingi navyo vinakwamishaaaa hawa wanetu wa Ngumu kusogeaaa
Filipino
1
0
1
8
Calvin
Calvin@GamechangerTz·
Sijamwelewa Fedrick Mullah anavosema diss track kuwa na impact ni ile hali ys diss track kuwafikia kwa ukubwa na watu ambao sio watu wa hip hop/Ambao sio wafuasi wa Hip Hop na ndo sababu inayomfanya yy kutomtaja Unju km moja ya emcees/Rappers wazuri kwenye kutengeneza diss track
Indonesia
8
3
28
2.4K
Calvin
Calvin@GamechangerTz·
Kuna Kitu Nimekiexperience Kwenye App Ya Simbank Ya NBC @NBCTanzania Sijakiona Kwingine kusema ukweli though ni app ambayo haina features nyingi compare to app za Nmb Na Crdb Ila Kwa Sasa Nbc Ukiwa Unafanya Transaction kabla ya uthibitisho wa Muamala wanakuonyesha gharama za
Filipino
2
0
2
113
Calvin
Calvin@GamechangerTz·
@Noedson_tz Endelea kumsikiliza Zuhura Kk Binti Khadija kopa Mkuu 😁😁😁
Indonesia
0
0
1
205
Calvin
Calvin@GamechangerTz·
@LocalFundi_ Bhas Sawa Nisamehe Pia We Ni Mmkatoliki Sio???
Indonesia
1
0
0
17
millardayo
millardayo@millardayo·
Mwigizaji Mkongwe na Mwanamichezo wa Sanaa za Mapigano (Martial Arts) Chuck Norris amefariki dunia hii leo Machi 20, 2026 akiwa na umri wa miaka 86, wakati akipatiwa matibabau katika Hospitali ya Hawaii nchini Marekani. Taarifa za kifo chake zimethibitisha na Familia yake kupitia Mitandao yake ya Kijamii ambapo imeeleza “Kwa huzuni kubwa, Familia yetu inawataarifu kutokea kwa kifo cha ghafla cha mpendwa wetu Chuck Norris, na tungependa sababu za kifo chake zibaki kuwa za siri, tungependa mfahamu kuwa amefariki akiwa amezungukwa na Familia yake na alikuwa katika hali ya amani.” Aidha Chuck Norris alijipatia umaarufu katika filamu kwanzia miaka ya 1970 mpaka 80 akiigiza Filamu maarufu zilizofanya vizuri duniani kama vile Walker, Texas Ranger, The Delta Force, Missing in Action, Good Guys Wear Black (1978), The Octagon (1980), Lone Wolf McQuade (1983), Code of Silence (1985) na Firewalker (1986), The Expendables 2 (2012) na nyinginezo nyingi. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Filipino
32
43
651
16.4K
Calvin
Calvin@GamechangerTz·
@TopBoe_ Kazi Wanayo 🙌🙌🙌🙌
Filipino
1
0
2
330
Calvin
Calvin@GamechangerTz·
@BabuBomba4 Nasema Ukweli Tindikali Sihofii Wezi Wa Rasilimali Za Serikali Wako Free......
Indonesia
0
0
2
19
Babu Bomba
Babu Bomba@BabuBomba4·
Mashabiki wana hoji vipi? Mbona siskikii Tuzo hamnipi, Niki diss wanasema natafuta Kiki nchi ambayo 50cent analipwa mimi silipwi. Nchi ambayo Shabiki ana ku follow ana like page yako ili akutukane.
Indonesia
2
3
28
522
Calvin
Calvin@GamechangerTz·
@NyambuNyingiii Tuzijudge Kwa Ufundi wa artist kisanaa na tuxilinganishe ktk mlengo huo na ukilinganisha kwenye mlengo huo wa kumbeat Unju mpaka sasa so far labda Vina anaweza msogelee kk lkn ao wengine sidhan 🙌🙌🙌🙌
Indonesia
0
0
0
6
Calvin
Calvin@GamechangerTz·
@NyambuNyingiii Binafsi yangu what i believe huwezi ukaielewa diss kiasi cha kuiona kali km huhusiki na Utamaduni kwa maana ya kuwa ni either uwe rapper au shabiki wa Hip Hop ndo utaielewa ko kusema Diss Ilikua ina impact kwa maana ys kupendwa na watu wasio mashabiki wa rap sio kweli Diss
Indonesia
2
0
0
5
Calvin
Calvin@GamechangerTz·
@Thereal_taivina Stereo Yuko Kwenye Ajira Na Ni Artist Kwa Mda Mrefu Sana Akina Bonta Pia Wana Ajira Za Serikali Na Ni Msanii Sioni Kosa Mtu Kuajiriwa Na Kufanya Sanaa Sijui Kwanini Kaiona Km Story Chapo!!!!
Indonesia
0
0
10
1.3K
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Msanii kuajiriwa kuna ubaya gani kama sio nyege zile? Braza wenu kitambi kimejaa Umbea
Taivina James tweet media
Indonesia
32
23
296
18.6K
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
Kazi yake isiyohusiana na Sanaa yake, sio kitu muhimu kuwajuza mashabiki wake wa muziki… Ni sehemubya maisha yake binafsi.
Indonesia
13
15
222
23.1K
Calvin
Calvin@GamechangerTz·
@LocalFundi_ Ishi nako tu hakuna namna 😁😁😁😁
Filipino
0
0
0
68
Calvin
Calvin@GamechangerTz·
@LocalFundi_ Me nilikua najigongea tu maana zilikua hela ndogo hazifiki ata 30k kwa kila muamala niliotumiwa 😁😁😁😁
Indonesia
1
0
0
145