
Muslims do not believe that Jesus is God. It’s that simple. Don’t complicate it.
Cevor M.
30.2K posts

@cevor87
Telematics consultant | Business Predictive Analyst | Python & Rust 🦀 | Tech Guru | ⚽: Simba FC, Man United, Napoli

Muslims do not believe that Jesus is God. It’s that simple. Don’t complicate it.


I like it when I come up with a solution better than AI. Claude has no option but to take notes in those moments as I drink from the keg of glory





📍MINSK, BELARUS Mfanyabiashara wa Tanzania na Mwenyekiti wa KILUWA GROUP, Mohammed Kiluwa amehitimisha ziara yake Nchini Belarus kwa kufanikisha hatua kubwa ya kihistoria baada ya kusaini mkataba wa ubia wa uwekezaji wenye thamani ya Dola za Marekani Bilioni 7 ambazo ni zaidi ya Trilioni 17 na Bilioni 800 za Tanzania kwa lengo la kuanzisha na kuendeleza Viwanda vikubwa Nchini Tanzania katika Mkoa wa Pwani. Makubaliano hayo yamesainiwa Jijini Minsk, Belarus na kushuhudiwa na Naibu Waziri Mkuu wa Belarus Viktor Karankevich na Balozi wa Tanzania Nchini Urusi Fredrick Ibrahim Kibuta yakihusisha ushirikiano kati ya KILUWA GROUP na Kampuni kubwa za Viwanda Nchini Belarus yakilenga kuhamisha teknolojia, kujenga uwezo wa uzalishaji wa ndani na kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha Viwanda Afrika Mashariki na Kati. Kiluwa amewaambia Waandishi wa Habari kuwa uwekezaji huo utahusisha ujenzi wa Viwanda mbalimbali ikiwemo Viwanda vya kuunda trekta na mashine za kilimo, Viwanda vya kuunda Mabasi, Malori, Viwanda vya mashine na teknolojia za kilimo cha kisasa, dawa za binadamu na visa tiba pamoja na uzalishaji na usambazaji wa bidhaa mbalimbali za Viwandani kutoka Belarus bidhaa ambazo zitalihudumia soko la Tanzania na Nchi nyingine za Afrika. #MillardAyoUPDATES

Swali: Hivi ni bora upewe milioni 100 sasa hivi, au upewe 100,000 kila wiki maisha yako yote?











Really proud of the DeepLearningAI team. When Cloudflare went down, our engineers used AI coding to quickly implement a clone of basic Cloudflare capabilities to run our site on. So we came back up long before even major websites!

🦀 Bad news everyone - unwrap() is the reason behind cloudflare outage >The FL2 Rust code that makes the check and was the source of the unhandled error is shown below blog.cloudflare.com/18-november-20…

September, 26: Cloudflare rewritten in “memory safe” Rust. The change is touted as “faster and more secure” because of Rust. blog.cloudflare.com/20-percent-int… November, 18 (53 days later): Cloudflare has a massive outage, which took down large portions of the Internet, because of a memory error… in that Rust code. blog.cloudflare.com/18-november-20…