
@maxannania Vipi nikiagiza ikafikia kenya then nikaifata kuileta tz kwa kudrive sitokuwa nimekwepa kwa kiasi fulani matozo ya bongo au ntayakuta mpakani?
Indonesia
Dee🌦
91 posts



Hii Gari inauzwa $4600 Kama Tsh 12M Inakua imefika Bandari salama.. . Ikifikia Bandari salama sasa hio Kodi Yake Kama Imepita Straight of Hormuz.. . Chuma ikifika tu Mama anataka 18.3M utafikiri imetengenezwa Unguja.. . Angalia hapo chini Kikotoo cha Tiaraheii utashangaa..












In terms of step overs, who was better?