
@TitoMagoti Njoo uone huduma zinazotolewa na muhimbili utakimbia,hata ukiwa na bima ya taifa ni useless nadhani kuna ma cartel yako kibaruani kuteka na hii taasisi
Indonesia
Asombwile David
12.4K posts

@ASOMBWILE
Information Technology |Daddy's day out|







Mnakunywa manini uko mitaani?


Nisingeona video ya huyu mzee anahojiwa ningebaki kuamini kuwa ile video aliyokuwa anaimba ni AI, kumbe ilikuwa halisi dingi alikuwa anatema nyongo. Wadada wa Dar kumbukeni njia ya mbinguni ni nyembamba na imesonga sana🤣🤣.












Kwa hii kauli ya "umama" usishangae Kisarawe wakipata DC mpya kabla jogoo hajawika mara 3.



