Master Manondo

5.2K posts

Master Manondo banner
Master Manondo

Master Manondo

@FredrickMulla

Musician | I Create | TEDx Speaker 2K19 | Fitness Fanatic

شامل ہوئے Mayıs 2019
146 فالونگ5.6K فالوورز
پن کیا گیا ٹویٹ
Master Manondo
Master Manondo@FredrickMulla·
Je, AI ni mkombozi wetu au ni adui anayekuja kwa kasi? Story za Mulla na Akili Mnemba (AI) #storyzamulla #ai
Indonesia
2
2
10
729
Master Manondo
Master Manondo@FredrickMulla·
Asante kwa historia ila “Context” siyo “Content.” Rostam ndio mmekuwa Gatekeepers wa mistari ya kawaida. Mwanao anatoa mistari hewa kila siku na watu wanashangilia, kupitishwa na umati siyo kipimo cha ubora. Tuache kutetea udhaifu wa uandishi kwa Legacy ya miaka 16 iliyopita.
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki

Fred that was MECHI ZA UGENINI (2010) ilitoka baada ya kutoa Tanzania & Mr President…..sijui ulikuwa wapi miaka hiyo….nways!! Sasa wimbo wa Mr. President uliniletea shida na utawala wa kipindi kile (JK)baada ya kuperfom wimbo huo kwenye uzinduzi wa Malaria Campaign Mnazi Mmoja mbele ya viongozi, na Basata walinizingua sana!! Through Ruge tukayamaliza na nikaenda sawa na utawala pamoja na basata…… Sasa nikatakiwa kuja na a Comeback song….Ndio nikaja na Mechi za ugenini!! Upo???! “Hakuna Utata Mbaratata” It was a phrase alikuja nayo Ncha kali, ikawa inatumiwa sana na XXL clouds hasa Dj Fetty & Mchomvu & Dozen na ulikuwa ni msemo pendwa sana kwa fans kuelekea fiesta ambapo ndio wimbo ulitoka msimu huo! Hakuna utata mbaratata Ilimaanisha hakuna noma ni fresh tu… Ni slang hiyo. So nilikuwa nina adress message kuwa nimeshayamaliza na gavoo plus basata and now i’m free So J ryder endelea kunyonga beat kama kiuno cha Yondo sister/ Mimi ndio mtoto wa Jakaya hadi ikulu napiga chata/ Hakuna utata mbaratata nasimama mpaka basata/ Vaa gucci vaa supra na show nitakufunga supa/ Means Rider tuendelee kugonga mangoma coz utawala hauna noma na mimi tena nisha sort nao, ninaweza kupiga chata hadi ikulu mimi mtoto wa Jk now! Hakuna tena utata now ni fresh yani mbaratata naweza simama hadi basata!! Wale haters mabishoo waliodhani nimepotea…. ndio nawaambia Vaa gucci vaa supra…Mimi nakuja na Dickiez za kaki na all star shoe na bado show nakufunga super!! THAT WAS THE STORY YA HIYO LINE!! Na ni wimbo una miaka 16 lakini ndio number 1 jukwaani hadi sasa!!

Filipino
9
7
74
17.4K
Steven Mkonya
Steven Mkonya@Ndalusanhe·
@FredrickMulla Rare doesn't always mean better, Soko ndio linaamua kipi bora na kipi sio.
Indonesia
1
0
0
22
MJANJA🦁
MJANJA🦁@hereisjames98_·
@FredrickMulla @mex_tz Wewe sio msanii kaka wacha kudanganya watu😂😂😂 endelea na podcast za kusimulia Githeri
Indonesia
1
0
0
49
Master Manondo ری ٹویٹ کیا
Innocent
Innocent@innocenzo__·
@FredrickMulla Nilifanya KANYE apotee, have you seen YE ? Wee ni SIMP, mi' ni simple EX (X) Sio wa kwako, kama bado anamsumbua EX (X) Hauna VALUE labda nikuulize WHY (Y) Mbona bado unatafuta thamani ya EX (X)? Mulla kanyoosha sana verse🙌 Cc: @mex_tz @fivara_ @BabuBomba4
Innocent tweet media
Filipino
2
5
6
1.2K
Jubeck
Jubeck@Jubeck2001·
@FredrickMulla Hahaha nakubali brother ila lets take homewok why na uduni wao wa uandishi still it seems kaz zao zinapendwa zaid, i hv a theory myb people who really know tend to complicate stuffs more than how hadhira majority can comprehend, mawazo yako?
English
1
0
0
28
Master Manondo
Master Manondo@FredrickMulla·
@Jubeck2001 Nani kapondwa kaka? Ukweli usemwe, mablaza wako na numbers ila uwezo wao wa kuandika ni mbovu sana.
Filipino
1
0
0
29
Jubeck
Jubeck@Jubeck2001·
@FredrickMulla Naelewa bro, so naona kama hamna haja ya kupondana kila mtu aishi na flavour yake rasta
Indonesia
1
0
0
23
Master Manondo
Master Manondo@FredrickMulla·
@Jubeck2001 Hata sisi tunapendwa kaka, tunatoa album zinauzika, tuna shows watu wanashow up. Sanaa zingine si kwa kila mtu.
Indonesia
1
0
0
39
Jubeck
Jubeck@Jubeck2001·
@FredrickMulla Hapo mnajifariji tu mkuu,kuna uhusiano mkubwa wa sanaa yako kua nzuri na kupendwa na watu wengi, almasi yapendwa na watu wengi accessibility ndio ngumu
Filipino
1
0
0
40
Shaban
Shaban@yoursTruly_blak·
@FredrickMulla @mex_tz Bonge moja la Ngoma….. Ifike mahala Mex aheshimiwe. Ngoma kali, lyrics zamoto, wordplays zimeenda shule, production nzuri, kichupa cha mbele kabisa….. 🔥🔥🔥🔥
Indonesia
1
2
3
480