Jubeck

7.4K posts

Jubeck

Jubeck

@Jubeck2001

Lionel Messi Fan,Daktari Mwanafunzi🩺👨‍⚕️,Here to learn,share what i know

Katılım Nisan 2022
581 Takip Edilen305 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Jubeck
Jubeck@Jubeck2001·
Pneumonia ni nini? Shuka nami katika uzi huu. Pneumonia ni maambukizi ya tishu zinazopatikana katika mapafu,hivyo kupelekea homa ya mapafu na kufanya mapafu kujaa maji na usaha katika njia za hewa ndani ya mapafu. Pneumonia inaweza kua hatari kwa maisha kwa yoyote ila haswa👇
Indonesia
1
5
10
1K
BigGie
BigGie@FrankieWh97·
@LifeofSteph_1 Kuto kumjua ni uzembe wa mitaa sio shida ya mex
Indonesia
1
0
0
10
Steph.
Steph.@LifeofSteph_1·
Mim nina uhakika uki pick watu randomly street uwaulize mex ni nani kat ya watu 10 unaweza ukapata mmoja tu na huyo mmoja ukimwambia akutajie ngoma tatu za mchiz hamna kitu atajibu zaid ya kujichekesha. Sasa sijui ulimwengu upi anazungumzia.
EastAfricaTV@eastafricatv

Rapper @mex.tz amefunguka kuwa kwasasa Ulimwengu wa Rap yeye ndio anaumiliki kwasababu kila msanii wa HipHop ambaye anafanya vizuri au anataka kufanya vizuri ni lazima afananishwe na yeye jambo ambalo yeye anaamini kuwa ni Rapper bora ndio maana anashindanishwa na kila rapper kwasasa. ✍️ @mkogoty

Indonesia
35
10
47
3.3K
.
.@MNIGAJIASULU·
@TillahBlessed Kifo hamna mwanadamu au kiumbe chochote anaweza kukizuia kwa sababu ni siri ya Mwenyezi Mungu waislam ktk surat luqman aya za mwisho mwisho Mwenyezi Mungu anaelezea mambo ma5 anayajua yeye pekee yake ajali ya mtu ikiwemo(kifo)
Indonesia
1
0
18
2.2K
Blessed Tillah (MBARIKIWA)
Blessed Tillah (MBARIKIWA)@TillahBlessed·
Kuna sehemu nimeona wanasema mgonjwa mahututi akikuuliza saivi ni saa ngapi au leo ni siku gani usimjibu, unaepusha kifo chake! Hii ina ukweli kiasi gani? 🤔
Indonesia
35
11
442
40.8K
mTusi original 👦
mTusi original 👦@mTusiOriginal·
Ambagile, George job na mwenzenu mnamkazia mwana wa tandale rudini hewani bana sisi tutachanga hata mia mia ila ile asubuhi muwe mnakiwasha bana hela kitu gani bana majdili pia kocha wa Chelsea afukuzwe😂🙌.
Indonesia
11
19
378
19.2K
Haki Haki Haki
Haki Haki Haki@14Nainggolan·
@CarlosNoriega88 Proffesor kuna mistari ya nang'atuka ukiisikia, unasema hii ngoma imekua released jana tu, "Nilisisitiza sana maswala ya ajira, Kumbe uongo, nikaanza kugawa vyeo kwa ukabila, Hata washauri wangu niliweka mataahira, Na kusababisha uongozi wangu kupoteza dira"
Indonesia
2
4
12
388
barakambeshere
barakambeshere@CarlosNoriega88·
Professor J alipata wapi haya maujanja makubwa namna hii tena tukiwa analog,Yani Professor ameweza kubalance Maudhui, midondoko,beats, delivery na ujumbe na kuweza kuwalisha mashabiki wapendacho na Wanahip hop wenzie Yani yupo katikati ya Hip hop ngumu na Soft.....
Indonesia
10
11
126
4.3K
Jubeck
Jubeck@Jubeck2001·
@FredrickMulla Hahaha nakubali brother ila lets take homewok why na uduni wao wa uandishi still it seems kaz zao zinapendwa zaid, i hv a theory myb people who really know tend to complicate stuffs more than how hadhira majority can comprehend, mawazo yako?
English
1
0
0
28
Master Manondo
Master Manondo@FredrickMulla·
@Jubeck2001 Nani kapondwa kaka? Ukweli usemwe, mablaza wako na numbers ila uwezo wao wa kuandika ni mbovu sana.
Filipino
1
0
0
29
Col. Ike Dubaku
Col. Ike Dubaku@Col_IkeDubaku·
Hizi mada za Numbers, Fanbase na Miwa kwa Wachanaji na Hadhira sasa zinakata. Kila mtu kuna namna na muda wake alikutana na Hip Hop na Rap. Tunatofautiana. Kama wewe ulikutana na Rap kwa kusikiliza XXL na Lisaa Ligumu Jeusi huwezi kuwa sawa na mimi niliye...
Filipino
5
12
45
2.5K
Jubeck
Jubeck@Jubeck2001·
@FredrickMulla Naelewa bro, so naona kama hamna haja ya kupondana kila mtu aishi na flavour yake rasta
Indonesia
1
0
0
23
Master Manondo
Master Manondo@FredrickMulla·
@Jubeck2001 Hata sisi tunapendwa kaka, tunatoa album zinauzika, tuna shows watu wanashow up. Sanaa zingine si kwa kila mtu.
Indonesia
1
0
0
40
Jubeck
Jubeck@Jubeck2001·
@YourFrenchFry Kiukweli ile miaka yote ya primary sio ya kumtia sana janja stress
Filipino
0
0
1
49
N I N J A
N I N J A@Ninja_Damour·
That's Ma Nigga.. 'sijui ulikuwa wapi miaka io' 😃😃 kuna rapper wenu wowote huu mwaka alikua ma dude linalokimbiza kwenye show kama hili ? 😂...
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki

Fred that was MECHI ZA UGENINI (2010) ilitoka baada ya kutoa Tanzania & Mr President…..sijui ulikuwa wapi miaka hiyo….nways!! Sasa wimbo wa Mr. President uliniletea shida na utawala wa kipindi kile (JK)baada ya kuperfom wimbo huo kwenye uzinduzi wa Malaria Campaign Mnazi Mmoja mbele ya viongozi, na Basata walinizingua sana!! Through Ruge tukayamaliza na nikaenda sawa na utawala pamoja na basata…… Sasa nikatakiwa kuja na a Comeback song….Ndio nikaja na Mechi za ugenini!! Upo???! “Hakuna Utata Mbaratata” It was a phrase alikuja nayo Ncha kali, ikawa inatumiwa sana na XXL clouds hasa Dj Fetty & Mchomvu & Dozen na ulikuwa ni msemo pendwa sana kwa fans kuelekea fiesta ambapo ndio wimbo ulitoka msimu huo! Hakuna utata mbaratata Ilimaanisha hakuna noma ni fresh tu… Ni slang hiyo. So nilikuwa nina adress message kuwa nimeshayamaliza na gavoo plus basata and now i’m free So J ryder endelea kunyonga beat kama kiuno cha Yondo sister/ Mimi ndio mtoto wa Jakaya hadi ikulu napiga chata/ Hakuna utata mbaratata nasimama mpaka basata/ Vaa gucci vaa supra na show nitakufunga supa/ Means Rider tuendelee kugonga mangoma coz utawala hauna noma na mimi tena nisha sort nao, ninaweza kupiga chata hadi ikulu mimi mtoto wa Jk now! Hakuna tena utata now ni fresh yani mbaratata naweza simama hadi basata!! Wale haters mabishoo waliodhani nimepotea…. ndio nawaambia Vaa gucci vaa supra…Mimi nakuja na Dickiez za kaki na all star shoe na bado show nakufunga super!! THAT WAS THE STORY YA HIYO LINE!! Na ni wimbo una miaka 16 lakini ndio number 1 jukwaani hadi sasa!!

Filipino
10
7
45
9.6K
Benda_Nascimento
Benda_Nascimento@BendaNasciment1·
@LucasOdero8 @ThomasAmon010 Pina alikuwa anategemea Tag na ujamaa wake na mtoto wa mzito bwana miraji, alivyojuchangany kwa wanako ndio alijua vyedi ugomvi upo vipi😂😂
Filipino
2
0
1
139
Homby 🇹🇿
Homby 🇹🇿@Hombyjr1·
Watu wa zanzibar wakijitangaza wanasema welcome zanzibar, mtalii kafia Zanzibar media zinasema Tanzania. Muungano wa kuchemsha..😁
Indonesia
33
90
1.1K
35.2K