پن کیا گیا ٹویٹ
Medrick mapembe
13.9K posts

Medrick mapembe
@MapembeMedrick
Asante baba kwa kunichagulia mama bora
Dar es Salaam, Tanzania شامل ہوئے Mart 2024
2.5K فالونگ2.4K فالوورز

@Jaguar_455 Ok. Sawa kwaio yeye kaenda na baba ake . Hairuhusiwi kuwapa company?.
Filipino

@MapembeMedrick Umeelewa caption mkuu, kinachoongelewa ni watoto wenye uitaji maalumu haijarishi ni wakiongozi ila caption imewaelezea watoto wote waliyopo hapo
Indonesia
Medrick mapembe ری ٹویٹ کیا
Medrick mapembe ری ٹویٹ کیا
Medrick mapembe ری ٹویٹ کیا

Born - Temeke
Raised- Dsm
Parent- Tanga
Study - Dsm
Live in- Dsm
Job- Mwanachuo
Job place- TIA
Speak- Swahili, English and French
Country Visited- Zanzibar, South Afrika, Togo
Want to visit- Kenya, Paris
AND YOU?
Broke & Zero Aura (BZA)🍁@Kariakoo_
Born - makete Raised- tunduma Parent- tunduma Study - mbeya Live in- dar Job- winga Jop place- kariakoo Speak- swahili ,kikinga and little english Country Visited- zambia, malawi Want to visit- kenya, ushelisheli,china, and USA AND YOU?
English

@Sativa255 Sasa hapo unaingilia starehe za watu kiongozi, kama starehe yako ni kunywa uji basi usione wanywa chai wasenge.
Indonesia

Kuna wale watu wanaheshima zao kwenye Jamii afu gafla unakuja kumuona live anavuta SIGARA—huwaga inachosha sana.
Mfano kuna siku niliona video ya LUGUMI anavuta sigara nilichoka aisee.
Kipindi hicho nafuatilia kandanda, mtu niliekuwa namkubali ni HAJI MANARA, nae nikaja kuona anavuta SIGARA nilichoka.
Kuna siku tena nikamuona yule Gerald Hando anavuta vile vivespa sijui msibani mbele za watu—vile ni ishara ya kukata kiu ya FEGI nilichoka.
Hii starehe ya kuvuta CHIGA (SIGARA) ni ya kipumbavu—hili halina MJADALA.
Filipino

@SharonMontana20 Ndo nazidi kuamini ukiwa huna hela , Kila mwenye hela uta muona anachezea hela..
Uswahili huku , atatoa wapi hela ya kiwanja 😂, ajenge 😅 Tena ya mwanae😂.
Wakati kwa 100k mziki + keki+ na vibia mpaka morning,,
Unazungumzia wewe hao ni Washua
Indonesia

Sawa ulikuaga ufanyiwi birthday na Wazazi wako, sasa Huyo mtoto wako Unafanyia birthday kazi kumlisha makeki keki baada birthday ya Kwanza mnunulie kiwanja next birthday muwekee tofali next bday weka msingi next hivyo hivyo mpaka anafika 18 years mjengo wake umeisha hiyo Ni gift kubwa Sana ,.si kile ulichokosa Kwa Wazazi wako na mwanao akikose kateni hizo nyororo za kigaidi wazee ooh shauri zenu
Filipino
Medrick mapembe ری ٹویٹ کیا
Medrick mapembe ری ٹویٹ کیا
Medrick mapembe ری ٹویٹ کیا





















