
Kuboja
23K posts

Kuboja
@Pyroxenite81
The Manhimself,




BREAKING: Iran grants permission to South African vessels to pass through the Strait of Hormuz.

Barabara nyingi sanaaa zimeharibikaaaaaa,


Boss upo vizuri,humu unaweza kuongelea kila kitu. Mamlaka iangalie,ikupe "Wizara isiyo na wizara maalum"


Stock ya miezi mitatu ipo kabisa TANZANIA. kuna watu wachache wasio litakia kheri Taifa letu wanacheza huu mchezo kwa masilahi yao binafsi na kujilimbikiza mimali hakuna kitu kinakuja kiurahisi mtalipa. Acha tuingie gharama lkn mjitafakari sana!. WAZIRI FANYA UCHUNGUZI.




Mbunge kutoka Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Simai Mohammed Said, ameshauri kuanzishwa kwa club maalum ambayo Wabunge watakuwa wanakutana lakini pia kuanzisha Band ya Bunge ambayo Wabunge Wasanii kama Mwana FA watakuwa wanaimba na Meneja wa Band hiyo awe Babu Tale. Mbunge Simai amesema hayo wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka wa Fedha 2026/2021, iliyowasilishwa jana na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba. “Ningependa kuona tuna club ya Wabunge ambayo tunaweza kwenda tukapata stara zetu, kama kupigana vijembe au shoti tunapigana hukohuko tunamalizana hakuna haja ya kuingia Mtaani lakini pia kwanini tusiwe na Band yetu ya Mbunge, Mwana FA anakuwa Mwimbaji, Babu Tale Meneja tuanzisheni band yetu na sisi” #MillardAyoUPDATES



Trump on re-opening the Strait of Hormuz: "Let France do it, they get a lot of oil from the strait. Let the Europeans do it. Let South Korea, who is not helpful to us, by the way…Let South Korea do it. Let Japan do it… This was not part of what I wanted to do."



@CypherSmithRowe Huwa mnasema zidane noma na hamkuwahi shuhudia akicheza mnaskiaga story tuu za wazee ,.😂😂😂
















