😎
320 posts

😎
@taiser22
#Kaka_yake_Mama
Dar es Salaam, Tanzania Tham gia Kasım 2013
46 Đang theo dõi26 Người theo dõi

@taiser22 @Eng_chambo Kwa nasa Inawezekana Inawezekana
Ila kiuhalisia Haiwezekani... kwasababu
There Is Firmament ABOVE us
Indonesia

@francismtey @Eng_chambo kwanini haiwezekan mwanadam kwenda mwezini au kutoka nje ya dunia
Indonesia

@Eng_chambo Hakuna Ulichkiandika hapa Sikubaliana nacho.
kila kitu hapo nakubaliana nacho.
Ila swala la Kwenda Mwezini au tu Kusema
kwamba Kuna binadamu aliwahi Toka nje ya Dunia hii
Hapo Nitakataaa... BIG TIME
Filipino

@AshrafDadi2 @Conspiracist_1 Kaka hoja sio tech wala knowledge hoja ni kutumia mgongo wa sciences kudanga ukweli wa Mungu kwa faida zao za kishetani na kupotosha.Hivyo tunasema hawa ni waongo , dunia sio global bali ni flat na hakuna mtu anaeweza kutoka nje ya dunia.That's it .
Filipino

@TrojanH7 @Baharyy25 @deusson_mkushi @IAmMaloya27 kwa kifupi wanajitekenya alf wanacheka wenyew si ndio😁
HT

@taiser22 @Baharyy25 @deusson_mkushi @IAmMaloya27 Unakubaliana na nani? Hili ni la uongo na hata ya mwanzo ni ya uongo lengo lao tujadili uongo coz hamna faida ya wao kusema ukweli.
Filipino

@BracuszCadabra hapana kwa kweli mm naona simba inamfaa zaid agombanie namba na guey
Filipino

@TrojanH7 @Baharyy25 @deusson_mkushi @IAmMaloya27 kwahy tunakubaliana kumbe huwa wanasema ukweli ila hili la sasa hv wanatudanganya ili tupate cha kujadili?
Indonesia

@taiser22 @Baharyy25 @deusson_mkushi @IAmMaloya27 Kama lengo ni kupata cha kujadili tu basi hata kudanganya wanaweza kabisa.
Indonesia

@Baharyy25 @deusson_mkushi @IAmMaloya27 kwahiyo wanatudanganya ila wapate nini? na kwanini wengine wasiende ili kuwaumbua hao nasa?
Filipino

@deusson_mkushi @IAmMaloya27 Story tu hizo, kwan c tulifundshwa binadamu anatokana na nyan kwan kweli, tukulize we ulikuwa nyan ulivyozaliwa ndo ykawa mtu lakin tulivyo soma tu
Filipino

@Captain_Josh47 @mpenda_TANZANIA @ikulumawasliano Tuishie hapa. maana tuna wivu na tunatak tuharibu ugali wa watu😁
Indonesia

@taiser22 @mpenda_TANZANIA @ikulumawasliano Mm ni non-affiliate. Halafu naamini kila mmoja ni mtegemezi wa yoyote.
Eesti

@Psiteshio1 @mj0058 tafiti hujibiwa kwa tafiti.. mfanye na nyie yenu tuone mwezini kukoje😎
HT

@taiser22 @mpenda_TANZANIA @ikulumawasliano Ndio, sasa wakipunguza na badae muanze kulalamika kwmb hakuna ajira...na watu hao nyuma yao wana wategemezi wengi...mbona mna wivu wa kijinga na hamueleweki vijana?
Indonesia

@mpenda_TANZANIA @ikulumawasliano Sasa hiyo itakua nchi au Darasa?
Indonesia















