
@Mzungu_pori1 Shemeji yangu ana tatizo hilo pia,
Hata hajiongezi mi namwangalia tu
Mwin dadi
1.2K posts







Naanza kuamini kwamba kuna wanawake wanadawa za kuwashika wanaume wao. Kuna mwanangu mmoja amepambana na mkewake katika kuugua. Mwanamke anaumwa mara kwa mara, baada ya muda akapima HIV akakuta positive. Msela akamuachia geto na watoto, ila now wanakaa pamoja tena. MADAWA.



