Poyongo Baraka

732 posts

Poyongo Baraka

Poyongo Baraka

@Bpoyongo

A Pharmacist, Husband, Father, Brother and Son. Life is full of choices, Choose wisely.

Dar es Salaam, Tanzania Beigetreten Aralık 2017
422 Folgt447 Follower
Sierra Maestra🌹
Sierra Maestra🌹@KangSaeByeok76·
@Mkuruzenzi Hizo ukipita Advance zinakuwa nyepesi, zinakuwa ngumu kwa sababu hujapita Advance.
Filipino
7
0
3
1.9K
The ProCreator
The ProCreator@TheProCreatorr·
Hizo Diploma mnazozungumzia labda Diploma za Hotel Management. Ila Diploma za Engineering mziache kama zilivyo. Unaenda chuo unakutana na hesabu imepinda kmmk mpaka kichwa inawaka moto.
Slovenščina
55
47
986
76.6K
Charles Lendey
Charles Lendey@CLendey·
@godbless_lema Perfect combo! Nilipendekeza hivyo, nadhani kimaono naendana na CHADEMA. Naomba pia uingie KAMATI KUU Kaka. Zile nafasi za Mwenyekiti kuteua, moja iwe yako!
Indonesia
4
0
20
6.2K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Hongera Mh John Mnyika Katibu Mkuu Wetu Mpya na Amani Golugwa Naibu Katibu Mkuu Bara. Proud of you guys.
Godbless E.J. Lema tweet mediaGodbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
198
650
6.6K
151.4K
HAKIZIMANA
HAKIZIMANA@geophsegeza·
Kama TAL akishinda, Kuna uwezekano hii itakua the greatest political game and mindset twisted to ever happen in our country. I still give CDM the benefit of doubt that, all we have been seeing is a political game they are playing us.
English
4
2
11
3.4K
Hormuz™️
Hormuz™️@bajabiri·
Hivi wale Vijana waliosomeshwa program ya Petroleum and Gas....kwa ajili ya project ya MSIMBATI...waliajiriwa wapi? #AjiraNaVijana
Indonesia
90
78
1.2K
86.1K
Poyongo Baraka retweetet
Jackson Hinkle 🇺🇸
Jackson Hinkle 🇺🇸@jacksonhinklle·
🚨🇨🇳🇫🇷 China BANNED this Olympic Opening Ceremony segment for MOCKING Christianity & Buddhism.
Jackson Hinkle 🇺🇸 tweet mediaJackson Hinkle 🇺🇸 tweet media
English
2.6K
25.4K
205.6K
18.7M
riki_bway
riki_bway@rikibway·
@rollymsouth Kwa dar ni ndotoo za mchanaa.. Labda kama huna mke..huna mtoto.. unaishi chumba cha 40k..kazini hutumii naulii.. hununui chakula kazini🤣🤣🤣
Filipino
1
0
1
298
Dr. Hamisi Kigwangalla
Dr. Hamisi Kigwangalla@HKigwangalla·
For boys (na Labda wasichana pia wanahitaji kusikia haya! 🤷🏾‍♂️): 1. Hakikisha unaoa. Kuoa ni lazima. Kuoa siyo lazima uwe na pesa. Ukikua kiasi cha kuzalisha mwanamke, oa! Mengine yatajipanga. Uoe nani sasa, sikia mtazamo wangu! 2. Oa tu mwanamke kama unampenda na una nia ya kuanzisha familia iliyo bora. Oa mwanamke atakayekuwa rafiki mzuri kwako na mama mwema kwa wanao. Oa mwanamke mwenye MUNGU ndani yake. Ni bonus ukipata mwenye shape, lakini lazima awe na Mungu ndani yake. 3. Ikitokea ukaoa usiwe mwepesi kutoa talaka. Ipambanie ndoa yako isimame. Hakuna viumbe wagumu kuwaelewa kama wanawake. Wanadamu tuko wawili tu - Ke na Me! 😀. Lakini Ke my brother, ni mgumu sana kumuelewa. Ukiishaamua kumuoa, jifunze kumvumilia, kumhurumia, kumpuuza (akianza maneno, maana kwa uhakika ataanza tu!) 4. Usije ukarogwa hata siku moja ukamuoa msichana ambaye ana MENTALITY, ya kuwa eti Wewe ni chanzo chake cha pesa na maisha mazuri; ila zingatia tu kwamba wanawake wote duniani watakupenda na kukukubali kama una pesa! 5. Jua kwamba ni jukumu lako kumhudumia mwanamke wako, lakini mwanamke aliye bora ni yule asiye na mentality ya kukuchuna, ni yule mpiganaji anayezalisha chake, anayeweza kukizalisha chako/chenu na anayeweza kukusaidia kujenga maisha ya familia yenu. 6. Mwanaume kamili aliye bora haulizi kipato cha mkewe, hamgawii mwanamke majukumu ya familia (hata kama mwanamke ana kipato kikubwa kuliko yeye). Zingatia neno ‘mentality’ ya kiume. Na mentality ya ‘kike’! Kaa kwenye mentality yako, ila kama ulichagua mwanamke sahihi, ata-step in kuinyanyua familia na hali ya maisha yenu bila kuambiwa, bila kulalamika, kwa siri na staha kubwa, na bila kukudhalilisha. 7. Epuka kukaa kwenye mahusiano na mwanamke anayekuomba nauli kila siku mkitaka kwenda out, anayekuomba pesa ya salon kila mkitaka kutoka, anayelewa pombe sana, anayependa kuwasiliana na kujenga urafiki na wanaume wengine, anayependa kufuatilia maisha ya couples nyingine na kujifananisha nao, anayetamani vitu vikubwa vikubwa wakati anakuona unajitafuta! 8. Epuka kuwa na mahusiano na mwanamke anayeona anakupa favour kuwa na wewe, anayeona uzuri wake ama show zake kitandani ndiyo kila kitu! 9. Epuka kuwa na mwanamke anayeona wewe siyo saizi yake sema basi tu, asiyeweza kukutambulisha kwa ndugu na rafiki zake, asiyejivunia kuwa na wewe, asiyeweza kwenda out na wewe! Epuka huyo! 10. Epuka mwanamke mwenye password nyingi sana kwenye simu yake, anayesevu namba za wanaume kwa codes, asiyeweza kupokea simu mbele yako, anayeweka airplane mode mbele yako, anayezima data mbele yako, anayeanzisha biashara bila wewe kujua mipango yake, anayependa sana kujiremba hadi kupitiliza! Epuka huyo! #HK #Fighter #NjeYaBox
Indonesia
623
850
2.8K
261.3K
Poyongo Baraka
Poyongo Baraka@Bpoyongo·
@mwigulunchemba1 Ndo tuko Jan, 2024 wakuu mnawaza tu uchaguzi wa Oct, 2025 ili muendelee kutafuna keki ya Taifa.
Indonesia
0
0
0
19
Mwigulu Nchemba, PhD
Mwigulu Nchemba, PhD@mwigulunchemba1·
Tumeongeza Kiungo Mshambuliaji (Central Midfilder), Striker tunaye SSH2025, Playmaker tunaye Kiungo muungwana PMpango, Beki Mkoba tunaye Kinana, KiungowaUlinzi tunaye, HAMwinyi. Mimi naomba nipangwe Winga, hakika watalala na Viatu 2025. Tunasajili wao wanalalamikia REFA ATAKUWA NANI (Yaani Tume), OOH SHERIA ZIBADILISHWE (Sheria za Uchaguzi). 💪💪💪💪 HONGERA SANA DR NCHIMBI. @nchimbie
Mwigulu Nchemba, PhD tweet media
Indonesia
509
91
1.3K
194.7K
Poyongo Baraka retweetet
Raphael Sangeda
Raphael Sangeda@rsangeda·
Comparison of knowledge, attitude, practice and predictors of self-medication with antibiotics among medical and non-medical students in Tanzania frontiersin.org/articles/10.33…
English
0
5
9
610
T
T@TMnyama4_·
Let's See 😂 In your experience ni bora usiku usumbululiwe na yupi hapo? Mbu au Kunguni?🤣
T tweet mediaT tweet media
Indonesia
235
30
378
89.5K
Madenge
Madenge@rollymsouth·
@furedii Sasa hii ni shida ya nani?kwanini wapo wawili?
Filipino
3
0
14
1.3K
Madenge
Madenge@rollymsouth·
Hayo mazuri sio hisani ni kazi yao ndo maana wanalipwa mshahara,haya mabaya sio kazi yao yanatakiwa yawe mazuri ndo maana tunawakumbusha..hawatakiwi kufanya mabaya
Don@sankat02

@rollymsouth Kwenye sekta ya afya kuna mengi pia mazur yanafanywa na serikali na watumish kwa ujumla ni vile tu mnachagua angle ya kusema mabaya tu

Indonesia
24
32
562
45.1K
Poyongo Baraka
Poyongo Baraka@Bpoyongo·
@igy_bm23 Mzee baba Candesartan 8&16mg, Exforge 5&10, Nebivolol 5mg, Felodipine 5&10mg zote hizi hazipo kwenye kitita kipya cha nhif hata kwa tertiary hospital. Kuanzia tarehe 01/01/2024 maisha yanarudi kuwa ya mwaka 2012.
Filipino
1
0
0
70
Majani🇲🇿
Majani🇲🇿@igy_bm23·
Nawakumbusha tu kesho Kama uwa una tegemea kuchukua telmisartan,bisoprolol ,candesartan ,desloratadine, hospitali ya wilay ambayo ni private nenda kakusanye kusanye ya mwisho mwisho Hamna atakae kubali wakae bila kupewa consultation fee yao
Indonesia
2
1
9
1.2K
MOSI
MOSI@mosibrk·
@Bpoyongo Hakika kaka, dogo asije akatulaza giza alafu mchana anataka kodi
1
0
0
19
Poyongo Baraka
Poyongo Baraka@Bpoyongo·
Mama hhh hhhhhc and and and to the help heading you I
English
2
0
1
165