Ndula👑
1.7K posts

Ndula👑 retweetet
Ndula👑 retweetet

#TajiriLaKihaya
Wakazi wa Kinyerezi,Dar Es Salaam….
mmeniheshimisha saana leo…
Hizi Apartments zangu zikikamilika- miezi mitatu ya kwanza Itakua bure kwa wapangaji wote 15.
Indonesia


Sisi Kanda ya ziwa hii bei ya miaka 7 iliyopita sijui
Daktari Wa Manesi 💉💊@McinikaWaLamar
Mfuko wa Cement umefika Tsh 18,000 kwa maisha haya tutajenga kweli? 🤔
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Kaka hizo sio hasira za Vita ya Iran/Israrl kweli😂😅😅🙌🏽🙌🏽🙌🏽
2nyiboy@TobbyE82107
@EsirEid Illa we jamaaaa unakitambi kibaya atakama ni tajiri
Filipino

Ww ndo mwenye boksa ya batiki?
MRENO⛑️@mreno255
Tayari nishajilia vyangu ila Hataki kuondoka nifanyeje ?? 🥹💔
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Naona DM zimekuwa nyingi kuhusu ratiba ya kesho – PILAU LA WAPWA SIKU YA IDDI.
RATIBA itakuwa kama ifuatavyo:
🕌 Saa 1:00 – 3:00 Asubuhi
Tutaanza kwa swala katika Msikiti Mkuu, Kinondoni.
🍽️ Saa 3:00 – 5:00 Asubuhi
Dua na pilau vitafanyika kwenye apartments zangu mpya zilizopo Kinyerezi.
(Bado zipo hatua za awali kabisa – tupo ground floor, jengo la ghorofa tatu.)
Kutakuwa na dua maalum ya kuomba Allah tumalize ujenzi salama pamoja na pilau ya kutosha.
🍛 Saa 5:00 – 7:00 Mchana
Pilau kwenye apartments zangu za Tabata.
(Hakutakuwa na dua – ni kula tu.)
🍲 Saa 8:00 – 10:00 Jioni
Pilau la kutosha kwenye apartments zangu za Mbweni.
🏠 Saa 10:00 hadi Majogoo
Tutamalizia Whitehouse (nyumbani kwangu), Goba – mapumziko, burudani na kuendelea kula.
Jumapili tutahamia Zanzibar kwenye Apartments zangu- ratiba kamili itatoka
Kila mtu anakaribishwa 🙌
Sema karibu kwako itakua wapi- nkupe location kwenye comments…
Karibuni sana tusherehekee pamoja siku ya Iddi!
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿@EsirEid
#TajiriLaKihaya Tumefungua Leo… ila Iddi Tutaswali Kesho,IN SHA ALLAH🙏🏽🙏🏽 Karibuni saana kesho Nyumbani kwangu GOBA,Dar Es Salaam- tupige Pilau🤝
Indonesia
Ndula👑 retweetet

Akaunti ya X (Twitter) ya Chadema iliyokuwa ikijulikana kama ChademaTz. Akaunti hii, ambayo kwa muda mrefu imekuwa chombo muhimu cha mawasiliano na taarifa za Chama, imechukuliwa na kuuzwa kinyume na taratibu na maadili ya Chama.
Taarifa zilizopo zinaonyesha kuwa aliyekuwa Afisa wa Chadema, Abdulkarim Muro, alihusika kuiuza kwa John Marwa, ambaye sasa anaitumia kupitia chombo chake kingine cha habari cha Royal Television.
Kwa kuzingatia hali hii, tunatoa wito kwa Abdulkarim Muro na John Marwa kurejesha akaunti hiyo kwa Chama ndani ya muda wa siku tatu kuanzia leo.
Iwapo watalazimika kupuuza wito huu, tutatangaza hatua ya pili ya kuchukua.
REPOST 200

Indonesia

Nitakua wamwisho kuamin kuwa hii soda inae gesi
Doctor Mishy🇷🇺@SharonMontana20
Mungu akulinde wangu mwana 💚 @Noedson_tz
Indonesia











