Ndula👑
1.7K posts



Mfuko wa Cement umefika Tsh 18,000 kwa maisha haya tutajenga kweli? 🤔

@EsirEid Illa we jamaaaa unakitambi kibaya atakama ni tajiri

Tayari nishajilia vyangu ila Hataki kuondoka nifanyeje ?? 🥹💔

#TajiriLaKihaya Tumefungua Leo… ila Iddi Tutaswali Kesho,IN SHA ALLAH🙏🏽🙏🏽 Karibuni saana kesho Nyumbani kwangu GOBA,Dar Es Salaam- tupige Pilau🤝



Mungu akulinde wangu mwana 💚 @Noedson_tz


Millennium wa humu nao akili hamna imagine Yeriko Nyerere aliwahi kuwadanganya kwamba ni JASUSI na vitabu alikuwa anawauzia kabisa wananunua. 😁😁

Sijafaha hili tatizo langu litaisha lini. Nasumbuliwa na matatizo ya mazadhi ndugu zangu, naomba msaada wenu @MariaSTsehai @Sativa255 Siku ya tatu Sasa nahalisha tu bila kujua tatizo linalo nisumbua huku nikikosa msaada kwenda hospitalini kupata vipimo na kujua tatizo linalo. 👇










