Mfizikia
20.8K posts

Mfizikia
@Maisha_Pro
Tech enthusiast// Arsenal+Barcelona fan// ~Simplicity Department Chairman & Financial market analyst📈📉
Beigetreten Ocak 2022
2.6K Folgt2.3K Follower

@Psiteshio1 Lakini online huslers wengi wana njaa. Mtu ana-hustle for year lakini maisha hayabadiliki. Shida huwa ni nini hasa?
Indonesia

Online unahitaji miezi 6 - 12 uanze kuunda million 15 kwa mwaka.
Tazama@tazamaMbali
Kwenye kilimo unahitaji miaka 2-4 ili uanze kutengeneza angalau 15M+ kwa mwaka kama umewekeza vizuri. Kwenye mitandao unahitaji muda gani ili uanze kutengeneza pesa kama hiyo consistently? Kilimo kiko underrated.
Indonesia

@mataro_daniel @_Kev_Kuria @Almalik_Mokiiwa @_zack255 @cr_xniper @EliaSadick @Ernest1582767 @EsirEid @JilasaShij58578 @G_Masta_Fx666 Tulishagabonga hata hivyo
Filipino

@Maisha_Pro @_Kev_Kuria @Almalik_Mokiiwa @_zack255 @cr_xniper @EliaSadick @Ernest1582767 @EsirEid @JilasaShij58578 @G_Masta_Fx666 Wewe tu kijana 0612161058 kwa mawasiliano zaidi
Indonesia
Mfizikia retweetet

@Positivenga1 Uko sawa kabisa ,mi huwa nasema kibongo kibongo kijana kufanikiwa Wala sio kazi sana ukiwa na nidhamu, usiwe na tamaa, usiwe mjuaji ,bidii tayari ushatoboa mapema sana , fursa za kupata Michele bongo Bado ni nyingi mno na zinahitaji watu ila watu hawapo
Indonesia

@Robertmagobe @MarekaMalili Sema kweli kweny upande wa production tumebase kweny kilimo tu. The rest ni kilio. May be huko nje kupata hiyo mitambo ya uzalishaji ni kazi kidogo
Filipino

@Maisha_Pro @MarekaMalili Mtaji upi ni tatizo? Hata kwenye uchuuzi watu wanatumia mitaji.. Mtaji ni pamoja na ARDHI, UZIMA, NGUVU YA MAARIFA/UJUZI ambavyo hizi unaweza kuanzia vikakupa mtaji PESA, mwishoni utamaliza na mtaji TEKNOLOJIA huo ndio mtaji ghali zaidi
Shida si mtaji ni fikra

@MarekaMalili Nimepitia replies nyingi kwa nia ya kujua.. Nimegundua ya kwamba biashara pekee ambayo watu wanaijua ni UCHUUZI at all level, yaan.. NUNUA BIDHAA HAPA - UZA PALE KWA BEI YA JUU KIDOGO
Watu hawawazi juu ya uzalishajimali, Wanawaza kuchuuza na kuuza tu. KAMA TAIFA TUTA-IMPORT SANA
Indonesia

@TibaiganaT47 @IAmHaule @AbcKatson Kuna muda vitu vinawez paraganyika mzee 😃. That is why biashara ni kipaji kama vipaji vingine. Kila biashara na mtaalam wake. Ndio maana mnawez kuw na bidhaa moja, unadhifu ukaendana ila mwenzio akapata wateja et kwa sababu anasauti ya kuvutia😃
Indonesia

@Maisha_Pro @IAmHaule @AbcKatson Sahihi ni namna akili yako ulivyoiweka tu 😁Alafu ajira sio kwamba ndio umepoteza ,ndio umepata sehemu constant ya pesa kuliko hizi mbanga zingine
Indonesia

@MaEffect7474 @IAmHaule @MarekaMalili Motivesheni sipika Hawa wasenge sana😃😃 Kuna raia wanapesa wapo huko huko kijijini. Tatizo hawaangalii future. Kijijini unaweza kusanya mishahara hata kumi tu ukawa na heka 10 zako unajilimia😃
Filipino

@IAmHaule @MarekaMalili Wengi wetu huwa na nadharia ya kuwa ili watusue, basi wanatakiwa kuwa mijini (Dar, Mza,Chuga n.k) kumbe angelitulia vzuri na kuExploit resources za mahali alipo, anatusua fresh kbsa. Tujitathimini.
Filipino

@KyakaHaji @ErickKamihanda War and crime
Remember me
Slave
Prison
The way it is
No body can stop leggae
Children
together
Oya dube atengwe
English

@ErickKamihanda yawezekana una hoja , ila kila nikiisikiliza "Redemption Song" nasema Bob ni Mkali Mnoo , ile ngoma ukiwa Black Man hadi kesho kuna feeling unaipata huwezi pata kwenye ngoma yeyote ya dube
Filipino
Mfizikia retweetet
Mfizikia retweetet

@RobinsonShoo4 @JOH_MCI Hamna kitu . Tena kama huyu mzinga ndo hamnamo
Indonesia

@Maisha_Pro @JOH_MCI Atari Sana chalz Hillary legend Kabisa,kikeke kizigo pia ulikuwa unaskia ladha ata namna ya utamkaji wa majina ya wachezaji wako vzur Sana ila hawa waskuzi NI kutafutia wachezaji A.K.A tuu
Indonesia

@RobinsonShoo4 @JOH_MCI Jesse John sio poa , halafu BBC walikuwa na Charles hilali, hamos kizigo na huyu jamaa wa crown fm
Suomi

@JOH_MCI Kuna kipindi alisifiwa nikasemaga sjawahi elewa commentetor yoyote wa bongo anaetangaza Mpira Kwa sasa labda zamani akina Enock bwigane na Jesse John nikambiwa nna chuki nao nambie ww kma unaelewa awa jamaa
Filipino












