ABD
60.1K posts

ABD
@SamataJr_12
AgriPreneur | Farmer | Family First | FLY🦅 First Love Yourself 🫶 FARMING isn’t a Job. It’s A LEGACY.

Wafanyabiashara zaidi ya 300 wa mihogo katika eneo la Coco beach Dar es salaam wamepewa siku 30 za kuondoka kwenye eneo hilo ili kupisha Mwekezaji ambaye amepewa eneo hilo na Serikali ili kupatengeneza kisasa. Baadhi ya Wafanyabiashara hao wameeleza kushtushwa na uamuzi huo na kusema waliitwa kwenye kikao na Afisa Masoko wa Manispaa ya Kinondoni na baadaye kuitwa na Meya wa Manispaa hiyo na kuambiwa kuwa wana siku 30 za kuondoka ndani ya eneo hilo na kwamba kila mmoja atapewa shilingi milioni 1.5 Kwa upande wa Serikali kupitia Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule, imesema lengo la kuwaondoa Wafanyabiashara hao ni maboresho kuelekea maandalizi ya michuano ya AFCON. #MillardAyoUPDATES


Before After









Hii project ya DAR CITY ni ya nani?




























