Sabitlenmiş Tweet
ABD
60.1K posts

ABD
@SamataJr_12
AgriPreneur | Farmer | Family First | FLY🦅 First Love Yourself 🫶 FARMING isn’t a Job. It’s A LEGACY.
Madibira Mbarali Mbeya Katılım Ekim 2013
2K Takip Edilen3K Takipçiler

@bonifacejoseph_ @mkemi4mkUu Utakuta hata uwezo wa kununua kiwanja hizo Location ulizozitaja hauna mpaka sasa😆
Indonesia
ABD retweetledi

Oky guys stori time 😉😉
Client wa frem 1 alipenda kazi yangu so akaniunganisha na rafiki ake frem 2,nikamfanyia kazi poa ambayo matokeo Yake tunayaona kwa frem 4 inaendelea kukamilika finishing yake soon nitaipost kwa vipande ili tuone ilivyowaka
Kipengele kinakuja frem 3. Sasa bhna frem 3 ni client wa kwanza mwenye frem 1 finishing ndani tayari ila nje ndo kama hivyo. Na hapo ndo kazi inayoendelea
Sasa tukirudi kwenye main point ya hii post ni kuwa clients muwe mnachukua ushauri pia kwetu tunaowafanyia kazi ili kuepuka hasara na kuharibiwa kazi,sio mafundi wote ni waharibifu but yule ambae umeshaiona kazi yake kua ni nzuri ni vyema kuendelea nae.
So alihitaji garden,nikampa budget akasema Iko juu sana hatofanya,nikasema fine! After 2 days nikaenda site nikakuta kazi ya garden inaendelea mim nilikua bado nakamilisha finishing ya nyumba😊
Akahitaji nimfanyie pergola nikampa budget kaikataa,kasema ana mtu ambae atamfanyia poa,me nikasema fine! So baada ya kumaliza kazi zangu nikasepa
Hii yote ni last year, January akanichek tena client no1 kaniambia nahitaji uende pale home unishauri Nini cha kufanya ili pavutie maana ukoka wote nishaulima😀😀😂siutaki,pia naomba ukaangalie na lile pergola unisaidie kufanya marekebisho 😀🙌 kazi ilikamilika august last year guys so ni kama 5-6 months tu
So after kufika nikapaangalia nikaona nimpe hii idea ambayo ndo Iko frem 3 akaipenda,akaniambia kwanini hatukufanya hiv kuanzia mwanzo? Nikamwambia hukutaka nihusike kwenye hilo
Sasa kwenye pergola nimeshindwa kushare picha hapa nitashare next time kama nitalifanyia kazi! But kwenye pergola nimemwambia sifanyi marekebisho yeyote kwa jinsi nilivyoliona limeharibika😂🙌mafundi ??
So nikisema nilirekebishe litakaa muda mchache lakini issue ya lile pergola kuanguka Iko pale pale hata kama likirekebishwa dawa pekee ni kulivunja ajenge upya
Sasa piga gharama za mwanzo alizotengenezea hivyo vitu na gharama niliyompa mim ya kumtengenezea kitu bora ya Sasa inakuja mara 3 yake🥹
Wapenzi cheap always is expensive, mim huwa nawaambia watu!
Nitawaletea finishing ya frem 3 jinsi nitakavyomrekebishia na ilivyokua mwanzo
Pia nitawaletea finishing ya frem 4 ilivyokua bomba 😉😉😉
Nawapenda ila msiache kuchagua @Mdada_Creative_Decor
Unaweza kunilipa hata kwa kuja kushauri tu kama gharama zangu za kazi utaona ni kubwa,ila najua hatuwezi kushindwana kwa vitu vizur na unafuu wa mfuko wako tajir angu si ndio eeh 🤗🤗🤗
Pls retweet or tag someone kwaajili ya kujifunza haya




Indonesia

@BusesDaily Ukienda kichwa kichwa kwa Mahaba ya kupata VIP na tiketi lako la online unaenda kukutana na ngumu kumeza uso kwa uso stend😆
Indonesia

@Ninja_Damour Wanajulikana kitamboo tu labda kama mtu sio mfatiriaji
Indonesia

Watu watakuja kujua kuwa ni kodi zetu, baadae sana 😃
NGOJWIKE SnR@mzawaMUFC
Hii project ya DAR CITY ni ya nani?
Indonesia

@shibobo___ @Njoroge761 Hapo unafunga kipindi sasa🙌
Andaa tu jeshi la Ndege kulinda pesa
Filipino

Boss kaja shamba bila kumtaarifu msimamizi wa shamba 🤣
Kumbe msimamizi katoroka kaenda kusalim mke Ila kaacha kazi saafi Mpunga unayeya.
#SinyelaSchmesMbaraliMbeya

Indonesia
ABD retweetledi
ABD retweetledi

@Adventure_36 Kidogo niseme ule mfereji wa wa mbarali pale rujewa
Polski

@FOODiCOLTD @themkulima Skim ya Pawaga Iringa hiyo naona wameanza kuipromote ilikuwa kwenye ujenzi.
Indonesia


@themkulima Gigi bila wakupe wewe Mkulima wa kweli anapewa mtu wa mabus🤦♂️
Filipino

@PichaNzuri Huyo mwana anatokeaga kule mgololo akishuka huku chini hakosi parcel ya viazi ama hizo passion anajua msimu wa kuvuna na combaine anakujaga kuuza Diesel zake za Kidegempasi tunampa ofisi Free na tunamuunganisha sana zutu muhimu awe analinda kijiwe😆
Indonesia






















