Mtumshamba2
1.1K posts


Una mawazo ya kimasikini sana. Unatakiwa kuchelewa kupata Mtoto ili miradi uliyoianzisha, aje aiendeleze akiwa na damu changa. Wengi mnaokimbilia kuzaa mkiwa wadogo, mna ndoto za kuja kusaidiwa na hao Watoto, badala ninyi ndio muwaandalie mazingira mazuri.
Ahmad@rajuQuire
Unapata mtoto ukiwa na miaka 30, mtoto baada ya miaka 6 anaanza darasa la 1, wewe una miaka 37, anamaiza la 7 wewe una miaka 44. Anamaliza form 4 wewe una miaka 48. Anamaliza form 6 wewe una miaka 50. Anajiunga na JKT wewe una miaka 51. Anamaliza chuo kikuu (maximum miaka 4) wewe una miaka 55. Anatafuta kazi na kuanza kujitegemea mwaka 1/zaidi, wewe una miaka 56. Hapo tufanye hajafeli wala kurudia vidato. Huyo ndio first born wako. Usisahau Life expectancy ya Tanzania ni miaka 52. Enhee! 🤔
Indonesia

@fadhilikangusi Ni sahihi kwenye hizo age wengi ndo wanajitafuta na kwa huo umri pia ndo wanaongoza kukataa mimba na kufanya dada zetu wahangaike peke yao kulea.
Indonesia

@hozza139 Huyo anasikiliza stories za vijiweni, bila kuzingatia logic. Uchumi mbaya, unaleta mtoto aje kuteseka?
Indonesia

@lai_babu @444holywitch We unauhakika gani utawalea hao watoto wako wote kuna wangapi wamezaa na wakafa on the sport kila kitu kinapangwa na Mungu ukilijua hilo wala husumbuki.
Filipino

@hozza139 @444holywitch Huo uzao wako nani ataulea ukizaa uzeeni?
Ndo mnataka muache mayatima wazurure kwa ndugu wanyanyasike kisa ubinafsi wako wa kutaka kula ujana🚮
Indonesia

@Maleyadam @kasesco_tz Utammiliki mtu aliye na familia yake na maamuzi yake mwenyewe? Mwisho wakummiliki mtoto ni pale anapoanza kujitegemea mwenyewe wewe unabaki kuwa mshauri wake either anaweza kukubali ushauri wako ama kuukataa na usimfanye chochote.
Indonesia

@SalvYN_ @AmRosalinee Ee mwanangu zamani hapo zilikuwepo gari zakwenda Malimbe na Nyegezi kwa ujumla kipindi hicho kwa sasa sijui maana ni kitambo imekuwa.
Indonesia


@gratian_barbosa wasiocheza uefa utawapata ila wenye timu zinashiriki kule labda uende na dau nono na mshahara mkubwa umshawishi kama Nyumba vile walisajili kipindi kile.
Indonesia

@gray_swai @YourFrenchFry Atakuwa millenia wakichovu anayependa ubwete maana ubwete ni wa G-z
Polski

Sasa mkijua vocha tulikua tunaita dola je?
Shifu.👤@alekkin254
Millennials mjue hatujasahau mlikua mnaita smartphone "touchscreen "
Indonesia

@gray_swai @YourFrenchFry Kama sasa hivi mnavyolipishwa kupewa odds 2 Kifupi kila jambo na wakati wake.
Indonesia

@AlexSamoja Ukijua kuwa humu wajinga ni wengi huwezi hata kuumiza kichwa chako.
Indonesia

@MarekaMalili Yamaziwa una experience nayo nakumbuka mzee alikuwa mfugaji
Filipino

Ya samaki na Ardhi, nyingine za Wana.
Ila naingia kwenye Maziwa soon 😆
tutla Cholo@tutla7
Lubasha una biashara ngapi
Filipino

















