Adam male

5.8K posts

Adam male

Adam male

@Maleyadam

Stan culture is fan culture# #Now or Never/ #Now and Forever

Botswana Katılım Nisan 2015
124 Takip Edilen427 Takipçiler
MASTER MIND 🤔
MASTER MIND 🤔@MTUMASHUHURI·
Hadi kufikia 2027 wasichana wote wasio na matako makubwa nashauri wataondolewa mijini wahamishiwe vijijini huko 😎 .
हिन्दी
2
14
30
1.6K
Adam male
Adam male@Maleyadam·
@MabalaMakengeza @lwaitama1 Jamaa mzembe kulima sikia; 1. Ujumbe wake unalingana na mafundisho ya Mungu 2. Tabia na maisha yake binafsi 3. Matunda ya kazi yake kwa watu 4. Ishara au Miujiza (Ila siyo lazima mabala) 5. Utambuzi rasmi wa waumini hasa huku katoliki ipo hii —Mungu ndiye anayejua nani kamtuma!
Indonesia
0
0
0
39
Richard Mabala
Richard Mabala@MabalaMakengeza·
@lwaitama1 Hivi unatumia vigezo gani kuamua nani ameletwa na Mungu na nani hajaletwa? Wakatoliki wana vigezo vya wazi vya utakatifu tuambiwe vyetu vya umungu
Indonesia
2
1
22
1.6K
Dr Lwaitama
Dr Lwaitama@lwaitama1·
Jamaa wameshasahau walivyouvaa umungu na kuuwa watanzania, leo watu wanafurahi mungu watu kufa wanaanza kulalamika.
Indonesia
14
38
197
10.5K
Jesus is Christ
Jesus is Christ@JesusisChristX·
Describe Jesus Christ in one word.
Jesus is Christ tweet media
English
280
62
844
13.2K
Adam male
Adam male@Maleyadam·
@iamFallacy Kwa nadharia labda Kusini mwa Iraq au Uturuki mashariki. NB; Wataalamu wengi wanaamini simulizi la Eden linaweza kuwa la mfano wa kiroho (symbolic) badala ya ramani halisi ya mahali pa sasa. —-Bible ni ngumu sana Mjomba🥲😓😓—-
Indonesia
0
0
0
207
♟️
♟️@iamFallacy·
Bustani ya EDENI iko wapi wazee. Ni ndoto yangu kuitembelea kabla sijatimiza miaka 25
Indonesia
21
13
165
10.7K
Adam male
Adam male@Maleyadam·
@jinnyX66 Dogo Nasty ni Nasty kama jina lake….hata Emtee hamgusiiiiii/
हिन्दी
0
0
1
62
SHALIPOPO 🦇
SHALIPOPO 🦇@jinnyX66·
Nasty C mpaka sasa hajapata mpinzani kwa rapper bora Africa damn ??!
Filipino
24
19
110
8.4K
Adam male
Adam male@Maleyadam·
@iHumphreyz Drive Slow JCB Ft. Prof Jay Punguza kasi kuna upepo mkali 120 haifai 80 afadhali
Filipino
0
0
0
84
NOAH B
NOAH B@MTENGENEZSAFINA·
Nikki ana hit Moja tu play boy Tena sababu ya Ben Paul. Kwaambaali Kila siku sababu ya Godzilla na belle 9. Kill yourself sababu ya Zilla. Kitu kama mathematics inakuwa hit unadiss gavoo hawaogopi?? Ndio Mzee unaomba kula kwa wananchi inakuwa hit huogopi?? Nikki kawaokota maboya
N I N J A@Ninja_Damour

Kanyimwa uwezo na nani ? Hv mnadhani kuandika Ngoma ikawa hit ni rahisi 😂😂😂 kuona dude linalia kwenye mabajaji,boda boda, daladala mnadhani easy eeh..

Indonesia
6
0
6
590
Babu Bomba
Babu Bomba@BabuBomba4·
Wanangu mambo ya siwezi mengi. Mara ya kwanza ilivyo toka Business mind Ninja akaachika Tukusa yake mkasema angetulia haya juzi Tukusa na Leo Aznas kaja na hii mnasemaje. Acheni Utamaduni uongee hapa kazi juu ya kazi. 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 youtu.be/pgPtAmgU5dM?si…
YouTube video
YouTube
Indonesia
9
13
46
2.3K
Adam male
Adam male@Maleyadam·
@VungaEl74 To Add More; Hotuba Bora kuwahi kutokea Duniani; 1. Jesus Christ 2. Martin Luther King Jr. 3. Nelson Mandela 4. Winston Churchill 5. Barack Obama 6. Julius Nyerere 7. Kwame Nkrumah
Filipino
0
0
0
5
Vunga
Vunga@VungaEl74·
the most famous person in the world JESUS CHRIST. Mwanadamu maarufu zaidi duniani JESUS CHRIST.
Eesti
17
8
53
1.4K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Nimekumbuka jana nilinunua maziwa na nikayasahau kwenye gari 🙌🏼 Yamekua mtindi.
Filipino
18
13
297
23.3K
Adam male
Adam male@Maleyadam·
@she_is_nancy255 Waiter wa Dagaa dagaa kimara ukiwa na sare umedhurumiwa Pesa ya Bia🤣
Indonesia
0
0
0
87
miss.nancy🇹🇿
miss.nancy🇹🇿@she_is_nancy255·
Kama kazini kwenu mnavaa sare😂 jitafakari sana Ukiachana hawa wa airport
Indonesia
36
15
173
19.6K
Adam male
Adam male@Maleyadam·
@Adventure_36 Muda halisi wa safari kwa gari jamaa angu ni takribani km 540–56 sisi wahonga nyundo wa barabarani muda wa kawaida: masaa 6:30 hadi 8 na hapo Kwa mwendo wa haraka sana bila kusimama…..Lakini ukitaka kujaribu sawa😆😃
Indonesia
0
0
9
1.4K
Adam male
Adam male@Maleyadam·
@EduTalkTz Rungwe Boys walijiita UKAME SOLDIERS. ——sikuww kwenye hiyo kikosi——-
Indonesia
0
0
0
59
Adam male
Adam male@Maleyadam·
@benonesmo1 @kasesco_tz Mkuu ndo maana nimesema tu hii kwa watoto Wangu🙏 ——-Naamini hata wenza wao watabidi walijue hilo mapema!
Indonesia
0
0
0
64
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Busara zenu kidogo,mwanamke akiolewa kwa ndoa akifariki anayetakiwa kuamua azikwe wapi ni mume wake au wazazi wake...?
Indonesia
51
39
288
22K
Dullah_theKing🎧
Dullah_theKing🎧@DullahTheking2·
PATORANKING is an underrated artist... 🙌🏽
English
6
10
55
1.3K
Adam male
Adam male@Maleyadam·
@kasesco_tz Tola anakula gizani Sadick na Chitemo Hawa wote huku MBINGA tuliwasoma Form 3
Filipino
0
0
1
97
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Muhusika gani umemsoma Kwenye Riwaya au tamthilia za sekondari huwezi kumsahau hata miaka kumi..?
Indonesia
68
26
163
6.6K