DaudiT
23K posts

DaudiT
@moshi34
Justice + Equality = Peace.......... . Just walk beside me and be my friend. Don't walk behind me; I may not lead. Don't walk in front of me; I may not follow.






Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?


Hakuna mtu Katili Dunia hii Kama muwarabu!!






Hii gari nakumbuka ni mali ya chama lakini mtu kajimilikisha na inapigwa mnada huku kesi ya mali za chama ikiwa haijaisha. Labda tupate ufafanuzi wa chama au wa mmiliki wa sasa ameipataje. Wameuza akaunti ya chama ya X/twiter kwa milioni 10, sasa wameanza kuuza magari. Nasikia ford ranger zimetafunwa injini na giabox zote Itabidi tumtonye Bwana Side boy aieleze Mahakama kuwa wameuza mali za Chama🙌🏾😁😁😁








History starts now. 💥🔥 Dar City 🇹🇿 bring Tanzania to the BAL stage for the first time.













