kazilo

193 posts

kazilo banner
kazilo

kazilo

@kazilo3

💙💙💙💙💙

Tz Katılım Haziran 2019
132 Takip Edilen104 Takipçiler
Yasaf
Yasaf@Yasaf_26life·
@Roma_Mkatoliki Kuna lile goma la bahati bukuku unaweza toka DSM to mwnza na bado mfalme hajasimama kumtazama malkia.
Indonesia
18
2
55
3.7K
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Kuna siku nilijaribu kupima urefu wa #Music_Catalog yangu!! So nikawasha gari kutokea ubungo mataa na nika press play muwa wa kwanza……na kuendelea……non stop!! Catalog iliishia around Mikese pale nakumbuka!! Hii ilikuwa kabla sijasafiri kuja nilipo!! Now nikiongeza na miwa niliyoachia nikiwa huku……🤔 Nikianzia 🚘 Ubungo naweza toboa Dumila……!! Wapo artists wanaweza toboa hadi Dodoma, wengine iende irudi….shoutout kwao 👏 Wapo pia ambao wakianza Ubungo hawatoboi hata kwa Matius pale…. mchongo unafika Mwampamba!! #NB Ukiwa na catalog ya miwa 100 letsay kila muwa approximate’ 3min ni dakika 300 (5hours) Ubungo - Nangurukuru!!
Filipino
40
44
825
30.4K
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Wakuu mnaonaje leo saa 4 tukaanza mention kila mtu apate folowazi kama 100+ hivi Weka handle naandaa list hapa
Indonesia
138
49
168
4.7K
jay
jay@JChissu55685·
😂😂😂chuki dhidi ya jakaya inazidi kuwa kubwa mno, nadhani watu wanasababu za msingi.
jay tweet media
Indonesia
21
8
147
8.9K
kazilo
kazilo@kazilo3·
@Arikasi_ @francismtey Kwa issue ya jina kwenye hizi Abrahamic religions yuko na majina Mengi na kila jina Lina maana yake.
Filipino
0
0
0
3
Arikasi
Arikasi@Arikasi_·
@kazilo3 @francismtey Mungu Hana jina lingine zaidi ya Mungu, hata huko uliko ulishawahi kusikia mtu anajiita Mungu, ila God utawakuta Godfrey, Godson nk, Allah utakuta Abdallah n. k
Indonesia
1
0
0
98
I AM
I AM@francismtey·
Ulishawahi Kujiuliza Kwanini MUNGU Alituambia; "Usiabudu Miungu Wengine" Na Wakati Anajua Fika Kabisa Yupo mwenyewe na Hakuna Mwingine Juu, Chini au Zaidi yake. Hayo Mawazo ya Kujua Kuna Miungu Wengine Aliyatoa wapi...
Indonesia
70
20
227
26.4K
kazilo
kazilo@kazilo3·
@Kamua_leo @francismtey @Bluckuv Kuna namna Mungu alitaka tusife kabisa na kuna namna alitaka tusiyajue mabaya, kazi yake ilikua njema na mema yote alitaka tupate, Tulidanganywa tukajaa
Indonesia
2
0
2
33
X
X@Kamua_leo·
@kazilo3 @francismtey @Bluckuv Umesahau apo pia shetani aliwaambia watajua mema na mabaya?(fact) na alisema hawatakufa ila hakuwaambia baadae hawatakufa.( kwaio bado alikuwa sahihi),Na walivokula hawakufa walikuja kufa baadae baada ya Mungu kuwapa lahana.
Indonesia
1
0
1
30
kazilo
kazilo@kazilo3·
@moshi34 @francismtey Mungu hakuumba kiumbe au kitu ili kije kua mungu, watu ndio wanavibadilisha vitu ambavyo Mungu kaviumba na kuviita miungu, mfano Mungu kaumba mti watu wanauchonga na kutengeneza sanamu na kuiita Mungu, na kuna mifano mingine mingi tu.
Eesti
1
0
0
51
DaudiT
DaudiT@moshi34·
@francismtey @kazilo3 Tunajua kuwa kuna Mungu wengi na neno Mungu ni kama cheo Swali la kujiuliza hao miungu wengine waliumbwa na nani...? Na kwa nini Mungu aliumba miungu
Indonesia
1
0
0
51
kazilo
kazilo@kazilo3·
@Kamua_leo @francismtey @Bluckuv Mwanzo 2:17 Mungu alimwambia Adam akila yale matunda atakufa hakika (huu ni ukweli).. Mwanzo 3:4 shetani akasema mkila hakika hamtakufa (huu ulikua uwongo)..
Indonesia
2
0
2
45
kazilo
kazilo@kazilo3·
@assengajrr Fatilia vitu na ujiridhishe kabla ya kupost, resources za kupata majibu ya maswali yako zipo nyingi tu, access ya internet unayo na simu unayo shida ni nini?
Indonesia
0
0
0
86
Assenga Jr
Assenga Jr@assengajrr·
Afrika tunaishi kwa simulizi za historia ambazo sio zetu. Bibilia hakuna mahali imezungumzia Afrika, ila wewe ukisimuliwa hadi unatetemeka na kuona Mungu ni mkuu. Unajiuliza Mungu alikua wapi kipindi cha Utumwa huku Afrika mbona hawakuandika izo story kwenye bible.
Indonesia
38
5
80
6.5K
kazilo
kazilo@kazilo3·
@francismtey @Bluckuv Shetani hakuwahi kua mkweli na wala kweli haimo ndani yake.. alichowaambia pale kilikua ni uongo uliotugharimu hadi leo.
Filipino
2
0
2
151
I AM
I AM@francismtey·
@Bluckuv Upo sahihi... Swala la Kupotosha ukiniuliza mimi nitakwambia hata Mungu wa kwenye Bible alipotosha. wapi? Pale Eden... kuhusu kula tunda na kujua mema na mabaya 😆 shetani akaja na ukweli ...
Filipino
5
0
9
1.2K
PaYRoLL🗽
PaYRoLL🗽@CoolestDudeOnX·
@kavishePb Wanefili wanaelezewa vizuri kwenye THE BOOK OF ENOCH. Ni apocrypha, ikimaanisha ni kitabu kisichokubalika kwenye kanoni ya Biblia Ila kwa kifupi, malaika waliingiliana na wanadamu na wakazaa watu wasio wa kawaida (Wakubwa mno). Waliangamia kwenye gharika ya Nuhu
Indonesia
2
0
11
997
💨mangi mkuu
💨mangi mkuu@kavishePb·
Mwenye kuijua bible vizuri anisomee mwanzo 6 yote kisha aniambie hao wanefili ni kina nani na wako wapi kwasasa natanguliza shukran🙏
Filipino
19
5
68
10.8K
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿
Imagine umefiwa Halafu watu wanasema wanashukuru “kwa hicho kidogo”!! Kama jamii kuna sehemu tumejikwaa
Filipino
52
50
498
32.1K
REDDOFX🍁
REDDOFX🍁@reddo_fx·
Are u a trader Say yesss Follow for follow
REDDOFX🍁 tweet media
English
601
62
1.1K
34.8K
EL SUKAYO🇹🇿
EL SUKAYO🇹🇿@Elsukay0·
Hizi nyumba miyeyusho sana wakati wa mvua huwa zinavuja🚮
EL SUKAYO🇹🇿 tweet media
Indonesia
59
25
312
27.9K
kibaha_finest
kibaha_finest@kibaha_finest·
"Nani kasema nilikufa bila 10K followers hebu shusha handle niwa follow mda huu na muwashe notification kwangu tufike 10K"👇👇
kibaha_finest tweet media
Indonesia
55
19
84
2.1K
Chief kabwe👑
Chief kabwe👑@Kabweta24·
kuna Mwana X mwenzetu kanishauli tutengeneze group hili kila mtu ajoin halafu tuhakikishe group hilo tufikishe member 1000 kutoka humu humu X halafu kila mwanamember tuhakikishe kamfollow mwenzake nawasilikiza kama mpo tayari wakuu shusha handle chini na weka alama kuaccept
Filipino
784
109
995
47K