Collins

2.4K posts

Collins banner
Collins

Collins

@Collins10timo

Genesis 12:2 /

Dar es salaam Inscrit le Ocak 2022
237 Abonnements102 Abonnés
Collins
Collins@Collins10timo·
@samz__23 Yaani hii timu imekua mboga
Indonesia
0
0
0
32
Collins retweeté
Chelsea FC
Chelsea FC@ChelseaFC·
Everyone at Chelsea FC is deeply saddened by the passing of our former goalkeeping coach, Silvino Louro. Our thoughts and condolences are with his family and friends at this difficult time. 💙
Chelsea FC tweet media
English
256
1.1K
15.5K
294.5K
GunnerPulse
GunnerPulse@GunnerPuls·
Only two players in football history have played for all three clubs. You're an absolute legend if you can guess the obvious 2 without looking at the comments Level: MEDIUM
GunnerPulse tweet media
English
7K
179
5.4K
1.9M
Collins
Collins@Collins10timo·
@TitoMagoti Sorry to ask , but kajuaje yote haya and the tume ni Independent??
Indonesia
0
0
1
146
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Anafosi hadi anataka kulia.. kwanini wewe muuwaji unajilazimisha kuongoza watu ambao hawakutaki?
Indonesia
39
107
608
25.8K
Collins
Collins@Collins10timo·
@Rakeem0101 Huyu apewe chochote anachotaka
हिन्दी
1
0
1
406
CLARA🖤
CLARA🖤@ClaraFundi·
Kuomba msamaha mwisho siku ngapi jamani???!🤭
Indonesia
15
7
219
9.8K
Collins
Collins@Collins10timo·
@Sativa255 🤣🤣🤣 You cannot solve a problem with the same mind that created it
English
0
0
1
43
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Huyu ndio mmarekani aliekamatwa na MABOMU yake manne ya kurusha kwa mkono. Nchi imeoza hii.
SIR TIVA tweet media
Indonesia
238
187
1.7K
83.6K
Collins retweeté
Citizen TV Kenya
Citizen TV Kenya@citizentvkenya·
Tito Magoti, Human Rights lawyer, Tanzania: The killings in Tanzania was sanctioned by the State. Who is going to investigate this? In whose capacity were they acting? How can you commission an inquiry to inquire into an account of your own doing? What happened in Parliament was a mockery and an insult to the people of Tanzania #CitizenWeekend
English
11
428
1.6K
64.6K
Collins
Collins@Collins10timo·
@Ngaso666 Hawezi kugusa kanisa takatifu katoliki la mitume
Eesti
1
0
7
1.3K
Collins
Collins@Collins10timo·
@Sativa255 Hawa wapewe elimu ya duniani , tofauti na elimu ya dini
Indonesia
0
0
0
64
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Sikiliza HII TAKATAKA inajiita SHEIKH na inahubiria watu Na watu wanalisikiliza. Anawakosoa maaskofu wakatoliki kuhubiri HAKI badala ya AMANI. Hoja zake ni "tulikuwa Lockdown siku tano kwasababu hakuna AMANI, HAKI UNAIDAI WAPI kama hamna amani?" Wapumbavu kama hawa ndio wanaharibu watu bongo zao, sasa kwafaida ya HUYU SHEIKH MPUMBAVU na wengine wenye akili kama hizi soma majibu hapo chini👇 "AMANI NI TUNDA LA HAKI" Hii kauli unatakiwa uielewe vizuri sana kabla ya kuropoka. Juzi nchi imechafuka kwasababu hakuna HAKI, ndiomaana AMANI ikapotea. Kama kungekuwa na HAKI, amani ingetawala, hata watu wasinge andamana. Kama Taifa lingeheshimu HAKI YA WATU KUISHI NA WASITEKWE basi watu wasingeandamana. Kama serikali ingejali HAKI za uhuru wa MAONI basi amani isingepotea juzi maana watu wangekosoa SERIKALI na wangeishi kwa amani na maoni yao kinzani kwa serikali. Ila kwasababu serikali haijali HAKI YA UHURU WA MAONI ndiomaana AMANI IKAPOTEA. Msikilize huyu TAKATAKA anaeijiita SHEIKH anakosoa PHD za maaskofu KATOLIKI, yeye usikute hata la SABA B hajamaliza ndiomaana kichwani kweupe hivi. Waislamu mnahubiriwa na watu jau sana huko misikitini aisee. Huyu ndio unampa mwanao amfundishe MADRASA aibu.🚮 TUTAKUWEPO🫵😎
Indonesia
273
127
598
94.9K
Collins
Collins@Collins10timo·
@Jambotv_ Ujinga bado la janga la Taifa
Indonesia
0
0
0
70
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) na taasisi mbalimbali za Kiislamu nchini wamesisitiza kuwa haki ni mchakato unaohitaji mazingira ya amani, hivyo vitendo vya uhalifu na vurugu vilivyoshuhudiwa wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 vimeua kabisa misingi ya haki na utu nchini. Tamko hilo lililosomwa na Sheikh Issa Othman Issa, Mjumbe wa Baraza la Ulamaa na Imam Mkuu wa Msikiti wa Maamur kwa niaba ya Mufti Mkuu wa Tanzania, limesema kuwa vurugu hizo zimesababisha vifo vya watu wasio na hatia, ulemavu na uharibifu mkubwa wa mali- ukweli unaowaumiza na kuwaathiri Watanzania wote. Kwa mujibu wa tamko hilo, viongozi wa Kiislamu wamesema walifanya kazi kubwa kabla ya uchaguzi kuhimiza utunzaji wa amani, kwa sababu walielewa kwamba kudai haki ni halali, lakini ni lazima kudaiwa kwa misingi isiyohatarisha utulivu wa taifa. Viongozi hao wamesema kuwa machafuko yaliyotokea hayapaswi kurudiwa kamwe, na ni jukumu la serikali kufanya uchunguzi wa kina kubaini watu waliowachochea vijana kujiingiza katika uhalifu huo uliosababisha maafa.
Indonesia
97
4
47
12.7K
Collins
Collins@Collins10timo·
@bbcswahili Asante BBC , sauti ya watu ndo sauti ya Mungu
Indonesia
0
0
9
1.3K
BBC News Swahili
BBC News Swahili@bbcswahili·
'Tumethibitisha baadhi ya video hizo kwa kutumia picha za setalaiti na kulinganisha maeneo' - BBC Tazama: bbc.in/4ozc5eA
BBC News Swahili tweet media
Filipino
125
1.2K
3.9K
276.8K
Boniface Mwabukusi
Boniface Mwabukusi@Mwabuk2Boniface·
YESU aliingia Yerusalemu kwa Maandamano huku wananchi wakimshangilia na kuimba Hosana ajaye kwa jina la Bwana. Mafarisayo walikwazwa sana na ile Nyomi🤣( Kwasababu ya wivu na uovu wao) lakini Mungu wala hakukwazwa. Ila Biblia yangu inanionesha Mungu alikwazwa na Kaini kumwaga Damu ya nduguye Abeli .Uuwaji ndiyo unaoondoa utukufu wa Mungu wa Mbinguni siyo maandamano. Hata Yeriko Iliangushwa kwa Maandamano watu walizunguka mara saba.
Boniface Mwabukusi tweet media
Indonesia
237
429
1.6K
56.7K
#Freeninja
#Freeninja@mentor209·
In my eyes, Mwamposa is not a servant of God but a cunning fraud and professional scammer.
English
77
167
1.1K
41.2K