
@PolycarpMDM Lukosi yeye yupo sawa?ana imani kama alivyotaka yeye afanyiwe?Kuwa na rafiki yako kuongozi kusikupe kichwa kwamba kila utafnyiwa favor..inawezekana kulikuwa hakuna kitanda na kumejaa alitaka mtu ashushwe chini ili mama mkwe wake apewe kitanda?kuna mambo mengine huwa yakunyamaza
Indonesia















