Vladimir Putin

2.4K posts

Vladimir Putin

Vladimir Putin

@AlexOmbe

EXPERT-COITUS INTERRUPTUS

Dar es Salaam, Tanzania 가입일 Ağustos 2017
919 팔로잉191 팔로워
Vladimir Putin 리트윗함
Modesta Z
Modesta Z@ModestaZ7·
Kumekucha bila taarifa ya kupatikana Damour. #FreeNinjaDamour
Modesta Z tweet media
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
2
94
159
1.7K
Vladimir Putin 리트윗함
Mohammed Dewji MO
Mohammed Dewji MO@moodewji·
Haki hushinda mwishowe. 🦁
Filipino
97
262
1.9K
29.3K
Vladimir Putin 리트윗함
Mohammed Dewji MO
Mohammed Dewji MO@moodewji·
Usiwafanyie watu mabaya tu, bali pia usiwatamanie mabaya mioyoni mwako. Maana dunia ina mzunguko—unayotenda au kutamani kwa wengine, nayo hukurudia. Chagua wema kila wakati. 🙏
Indonesia
56
204
869
15.2K
Vladimir Putin
Vladimir Putin@AlexOmbe·
@Zephania_Ndaki Mama yako husemi.tulimchukia kwa kuuza mbunye na wewe mkubwa hivo uwe unasema yote basiii
Indonesia
0
0
0
1
Big
Big@Zephania_Ndaki·
Devotha Mlimchukia Sababu Alichukua Form Ya Ubunge Madenge Mkamchukia Kisa Ford Foundation Wasanii Mkawachukia Kisa Kampeni Za Ccm, Simba & Yanga Mkazichukia Kisa Hazikutoa Pole Oct 29 Basi Sawa Nyie Kwenda Kwa Vunja Bei , Collabo Na G Nako Mnatafuta Ugali Mamae Zenu😁
Filipino
70
81
496
18.6K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Hongera sana DCI Ramadhan Kingai kwa kufiwa na Mama yako Mzazi, hayo maumivu ambayo unapitia ndo familia nyingi tulipitia Oktoba 29 baada nyinyi kuuwa kwa risasi Watanganyika wenzetu zaidi ya elfu kumi. Tena wewe unaafadhali maana umeweza kumzika Mama ako kwa heshima huko Bumbuli Tanga, sasa wenzako tulizika nguo kwasababu nyinyi mliiba maelefu ya miili ya ndugu zetu, mkaenda kuzika kwenye makaburi ya Halaiki. DJ niwekee ile nyimbo ya Hakuna Mungu kama wewe Baba 😂😂😂
Hilda Newton tweet media
Indonesia
32
120
831
29.3K
Pancras Flahisha
Pancras Flahisha@flahisha·
Hivi kwanin Magaidi wengi ni waislamu?
Indonesia
8
0
6
243
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Hivi wale kenge Masanja na Joti walienda wapi? I no longer see their tweets!
Indonesia
36
53
869
29.8K
britishboe
britishboe@british77boe·
Mfano Usiku umelewa ukaichukua afu Asubuhi unakuja kuamka unakuta umeichapa kavu kavu😂😂kitu cha kwanza unafanyaje??
britishboe tweet media
Indonesia
64
25
238
30.9K
ROYAL TELEVISION
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz·
Viongozi wa vyama rafiki vya upinzani vya siasa ngazi ya taifa wameeleza msimamo wao wa kutokukubaliana na baadhi ya wananchi, viongozi wa vyama vya upinzani na wanaharakati kutaka iundwe tume huru kutoka nje ya nchi kuchunguza matukio yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Viongozi hao ni kutoka Chama cha Democratic (DP), Demokrasia Makini (MAKINI), United Democratic Party (UDP), Sauti ya Umma (SAU), Alliance for African Farmers Party (AAFP), Chama cha Kijamii (CCK), Alliance for Democratic Change (ADC), United People's Democratic Party (UPDP), Union for Multiparty Democracy (UMD), National League for Democracy (NLD), National Reconstruction Alliance (NRA), African Democratic Alliance Party (ADA- TADEA) na Tanzania Labour Party (TLP). Wakizungumza leo mara baada ya kukagua na kutembelea mradi wa Daraja la John Pombe Magufuli lililopo Kigongo/Busisi mkoani Mwanza. Mwenyekiti wa Vyama Rafiki 13 vya Siasa Nchini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha DP, Abdul Mluya mbali na kusisitiza umuhimu wa taifa kutatua matatizo yao wenyewe amewakosoa wale wote wanaodhani wao wamenunuliwa na wanatumika na mamlaka za juu huku akidai wao hawajarambishwa asali. "Hii ni nchi huru brother (kaka) ni lazima ijisimamie na kujiendesha yenyewe tuna mifano miwili ambayo tulipita kwenye mikwamo ya kisiasa je walikuja wazungu kutusuluhisha, tulikaa wenyewe tukasuluhishana tukaja na maridhiano leo hii Serikali ya umoja wa kitaifa inafanyakazi Zanzibar," amesema. Mluya ameongeza kuwa "Hatutakubali mtu yoyote anayejaribu kuuza uhuru wetu kwa bei chee kwa watu weupe, kwetu sisi atakuwa ni adui atatuita waramba asali au vibaraka na tutasema ili na sisi tutakapo ondoka kwenye ardhi hii pale Mungu atakapotunyakua tukabidhi nchi hii kama tulivyoikuta kutoka kwa watangulizi wetu,". Akiunga mkono hoja hiyo Katibu Mkuu Chama cha NLD, Doyo Hassan amekiomba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuachana na siasa ambazo zinaweza kulitumbukiza nchi kwenye machafuko. "Nimesikia juzi wanasema Mwenyekiti wao asipotolewa wataanzisha maandamano ya nchi nzima, mimi niwaombe Chadema wao ni wanasiasa wanahitaji kushika dola waongoze, niwakumbushe dola inaongozwa kwa mujibu wa sheria na taratibu mwenyekiti wao amekamatwa yuko mahakamani tuipe nafasi mahakama isimamie taratibu na sheria kama anamakosa atatiwa hatiani na kama hana makosa ataachiwa," amesema Doyo
Indonesia
20
2
28
5.3K
P'site Shio
P'site Shio@Psiteshio1·
Arusha ikifika saa 3 usiku maduka yamefungwa, watu wamelala na maskini ni wanahesabika. Dar watu wanafanya kazi usiku na mchana, pale Buguruni saa 8 za usiku unapata pilau la Moto kabisaaa lakini bado umaskini NI mkubwa Sana Shida inaweza kuwa NI nini?
Indonesia
61
35
471
25.8K
Vladimir Putin 리트윗함
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
NI KAZI YA NGUVU YA UMMA KUHAKIKISHA BANGO HILI LINASAMBAA #REPOST
Twaha Mwaipaya tweet media
Filipino
12
599
1.3K
12.6K
Vladimir Putin 리트윗함
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Yalikuwa matukio ya GAZA, sio Tanzania. Tume Tukufu ya Samia.
Indonesia
8
25
83
1.9K
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Tume yenyewe leo inalialia kwamba ajatendewa haki na wananchi Wanashinikiza kwamba maoni yao yasikilizwe
Think Different tweet media
Indonesia
8
13
83
1.8K
Dr Kwala Liwengo
Dr Kwala Liwengo@MankindUwezo·
Mtu aliyezoea kutetea dada poa, wasagaji na mashoga anawezaje kuhoji report ya jaji CHANDE? Report imesheheni mambo yote mazuri.
HT
1
0
0
61
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
Maulid Kisenge ni bingwa la Propagandist,,, anakula Kandarasi hadi za Xenophobia. Kila uovu ye ni Toilet Paper ya kusafishia Ndio maana kubwa zima halina Ithibati… 😆
Indonesia
7
24
251
7.8K
Vladimir Putin 리트윗함
ELR
ELR@leona58769·
@HildaNewton21 Hiyo ni tume ya Rais kwa manufaa ya Rais. Watanganyika bado tunadai Tume huru sio huu UTAPELI wa nduli Idd Amin mama
ELR tweet media
Indonesia
0
1
2
389
Hilary Biduga
Hilary Biduga@BidugaHilary·
Utumishi wa tukuka wa Judge Chande. Ripoti yake, Mengi hususani mitandaoni yanamshusha hadhi. Mafunzo kupindua nchi yaendeshwe uani mwa kituo cha polisi, yamefanyika miezi sita kabla ya ghasia, polisi na jeshi wasijue, siku 153 za uchunguzi na ripoti hataiona tena. Inatia huruma.
Hilary Biduga tweet media
Indonesia
3
8
45
1.9K
Vladimir Putin
Vladimir Putin@AlexOmbe·
@godbless_lema Duh!Nasikia anataka kujadili report ambayo hana!!!soon anaungana na wahuni.Ni mtu ambaye nilitegemea atakuwa na hekima kuliko wale waliohidhuria ya report ya Mzee wa jalalani.
Indonesia
0
0
0
35