Adamoo
152.4K posts



Current situation in South Africa, as black South Africans are closing businesses of black foreigners.

Hao Machinga na Mawinga wa Mihogo hapo Coco Beach walimchangia jiwe 2mil ya form waache kulialia Mabanda yatolewe yamekaa kiuchafu sana. Tunachotaka maendeleo Mwekezaji aje hatujali Mjomba wa Oman, UAE au Beberu. Kikubwa WATOKE kazi iendelee mandhari ya jiji la Dar iwe safi 🤝




Hao Machinga na Mawinga wa Mihogo hapo Coco Beach walimchangia jiwe 2mil ya form waache kulialia Mabanda yatolewe yamekaa kiuchafu sana. Tunachotaka maendeleo Mwekezaji aje hatujali Mjomba wa Oman, UAE au Beberu. Kikubwa WATOKE kazi iendelee mandhari ya jiji la Dar iwe safi 🤝

Hapo COCO BEACH Sasa itakuaje? Ndio kiwanja chetu sie Walalahoi kuwapeleka ndugu kwenda kupunga Upepo wakitoka Kingolwira, Kishumundu na Njombe wakija Dar















