Chandra ๐ŸŒŸ

2.4K posts

Chandra ๐ŸŒŸ banner
Chandra ๐ŸŒŸ

Chandra ๐ŸŒŸ

@ItsMatemu

There is no friendship without self-interest.

London, Ontario ๊ฐ€์ž…์ผ Haziran 2020
354 ํŒ”๋กœ์ž‰411 ํŒ”๋กœ์›Œ
Chandra ๐ŸŒŸ
Chandra ๐ŸŒŸ@ItsMatemuยท
@Sativa255 Vyakula gani vya kupiga chini ila tunavifagilia?
เคนเคฟเคจเฅเคฆเฅ€
0
0
0
60
SATIVA
SATIVA@Sativa255ยท
Nilichelewa sana kujua namna ya kula "healthy" Nawatamania sana waliojua ishu za diet kitambo na wanaziishi kama sehemu ya maisha yao. Huu mwaka nimewekeza kwenye AFYA yangu-moja ya kitu nilianza nacho ni DIET yangu izingatie Heathy na kupiga tizi back to back. KILO 11 zimepotea mpaka sasa. Hii ni challenge ya mwaka mzima MUNGU akinipa kibari. ๐Ÿ™
Indonesia
66
74
1.1K
46.1K
Dalawida
Dalawida@DalawidaEmanuelยท
Issue ya kuwa na manzi tunakoelekea itakuwa sio lazima, imagine una manzi ana mahitaji kinoma kama kilema.
Filipino
17
29
276
14.7K
Chandra ๐ŸŒŸ
Chandra ๐ŸŒŸ@ItsMatemuยท
@mathsrick_ 2ยฒยณ(1+1)=2ยฒยณ(2)=2ยฒยณ.2ยน=2ยฒโด=(2)ยณ(ยฒ*โด)=8^8
0
0
1
44
Mathsrick
Mathsrick@mathsrick_ยท
Choose the correct answer
Mathsrick tweet media
English
727
136
4.3K
2.5M
Royal Quaye
Royal Quaye@QuayeRoyalยท
@Thebigsoll You are a silly and ignorant person. The universe has trillions and trillions of stars and planets in it. Our planet is just one of those. It is the result of the universe rolling a dice trillions of times, it is the result of billions of years of the evolution of matter.
English
1
0
0
85
Eduardo Hagn
Eduardo Hagn@EduardoHagnยท
If Arteta doesnโ€™t win the Premier League or the Champions League, he CANNOT continue next season.
English
650
1.1K
10.2K
406.4K
Astropics
Astropics@astropicsยท
A day on Venus lasts 243 Earth days A year on Venus lasts 225 Earth days
Astropics tweet media
English
182
1.2K
31.8K
1.3M
Alex Kabona
Alex Kabona@AlexKabonaยท
@EsirEid Hapana, angalia muktadha aliolinganishwa nao. Persecution. Sio Ukuu wake
Filipino
2
0
1
713
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ทGianT
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ทGianT@mkemi4mkUuยท
โ€œBasi wajukuu zangu kipindi hicho fisadi haendi jela ni anatajwa jina lake tu anaanza kuona aibu hadi anakufaโ€
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ทGianT tweet media
Indonesia
111
265
1.3K
23.7K
Ing. Kwadwo Kyeremeh
Ing. Kwadwo Kyeremeh@KwadwoKyeremehTยท
@elliot_solution They have systematically downplayed the 94 million deaths as a footnote of history, whiles only talking about theirs (6 million)
English
7
0
10
1.8K
Elliot
Elliot@elliot_solutionยท
The most violent century in human history was the 20th century. The two deadliest conflicts ever were World War 1 and World War 2. Neither was fought in the name of religion. Stalin was atheist. Killed 20 million. Mao was atheist. Killed 45 million. Hitler was not motivated by religion. Killed 6 million Jews. The problem was never religion. The problem has always been power and the humans who want it. Religion is just one of the tools they use. Take it away and they will find another.
Nandi ๐Ÿค๐Ÿ’œ๐Ÿค@pallnandi

The world would be a lot more peaceful if religion didnโ€™t exist.

English
213
1.4K
7.1K
272.2K
Chandra ๐ŸŒŸ
Chandra ๐ŸŒŸ@ItsMatemuยท
@HecheJohn Huyu Baba namuonea Huruma sana, lakini nikiiangalia kesho anayoipigania najipa Moyo na kusema "napaswa kumuunga mkono".
Filipino
0
0
17
1.2K
John Heche
John Heche@HecheJohnยท
KUTOKA KATIKATI YA KUTA ZA MAGEREZA UKONGA, ANAANDIKA TUNDU ATIPHAS LISU: Mwaka 1988 mto Vaal huko Free State ulifurika na kujaza bwawa kubwa la kuzalisha umeme la Vaal Dam. Bwawa likazidiwa maji na kutapika. Sehemu kubwa ya maji yakaenda kuathiri mashamba ya makaburu huko Free State na Gauteng. Nyumba za wakulima wa kizungu zikabomoka, na vifo 11 vikaripotiwa. Wakati huo kulikuwa na mapambano makali ya watu weusi kudai uhuru kutoka kwa makaburu. Baada ya makaburu kupata majanga hayo ya mafuriko, maelfu ya watu weusi walishangilia mitaani na wengine wakifanya sherehe kama ishara ya kushukuru "miungu" yao kwa kuwalipia kisasi. Rais Pieter Willem Botha, mmoja wa Marais katili mno wa Kikaburu, akalaani kitendo cha Waafrika kushangilia vifo vya makaburu. Huyu ni yule aliyewahi kusema Waafrika hawana akili za kujitawala, wanapaswa kutawaliwa milele. Baada ya mafuriko hayo P.W Botha akasema serikali yake haitawavumilia walioshangilia vifo vya makaburu kwa sababu huo si ubinadamu. Aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama cha ANC, Walter Sisulu, akamjibu P.W Botha kwa maneno ambayo yanaishi hadi leo. Sisulu alisema: "Kama makaburu hawaumizwi na vifo vya watu weusi, wasitegemee kwamba weusi wataumizwa na vifo vyao. Weusi wameuawa kinyama na makaburu, na wengine hawakupewa hata heshima ya kuzikwa; walifukiwa kwenye makaburi ya halaiki kama wanyama. Leo, makaburu wakifa wanataka weusi waomboleze? Huku ni kujipa haki kubwa kuliko hata malaika. Hamuwezi kuua watu weusi, muwafukie kama mizoga, halafu mkifa nyie mnataka watu haohao wasikitike. Binadamu ni yule yule, awe mwenye ngozi nyeusi au nyeupe. Kama wewe kaburu unaumizwa na kifo cha kaburu mwenzako; unapaswa kuumizwa na kifo cha mtu mweusi pia. Kuwa mweupe au kuwa na madaraka hakukufanyi kuwa binadamu kuliko wengine. Utu wetu haupo kwenye rangi za ngozi zetu wala vyeo vyetu.โ€
John Heche tweet media
Indonesia
46
414
1.4K
35.6K
MicasaSucasa๐ŸŽฃ
MicasaSucasa๐ŸŽฃ@Kirungu_ยท
@ItsMatemu @prossoff Qmmk kweli yaani,unalomba Bar Maid,kimoyomoyo unajisemea huyu napiga mara mbili nasepa sitaki mazoea. Ila baada ya hapo sasa kazi unaanza kuielewa mpaka unatamani uipost! Hata uambiwe mtu fulani anakula,unaumia na kuwa na wivu qmmk utadhani unaoa.
Indonesia
1
0
1
98
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoffยท
DEMU KAMA ANAFANYA KAZI HIZI KUWA MAKINI NAE. 1. Anauza duka la mtu. 2. Migahawani na mahotelini. 3. Bar maid. 4. Muhudumu wa Guest house/Lodge. 5. Muigizaji. 6. Mnenguaji. 7. Saloon za kiume. 8. Muhudumu wa magari. 9. Agent stendi. 10. Mtembeza mboga + matunda. Hiyo ni aina ya ladies among other ambao wapo subjected ma wanaume aina mbali mbali. Wanakutana na watu ambao wanazo hela zilishakosa kazi where as kazi yake inabaki ni kurutubisha mbong'o. Huyo kama hana akili binafsi ni ngumu na wengi ni single moms katoto kako kwa bibi.๐Ÿ˜
Indonesia
40
44
429
32.8K
Tamale
Tamale@256Rootyhermanยท
1. Switch off data 2. Send her messages via WhatsApp 3. โ€œHoney, your MM number pleaseโ€ 4. Be off whole day 5. Data on, messages sent 6. Share yo screenshot (time stamp),accuse her of not responding in time yet u had her money ๐Ÿฅน 7. Tell her next time better
Tamale tweet media
English
184
392
4K
135.3K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoffยท
Niliwasimulia kuhusu huyu mwanangu aliekuta mkewake ni ameathirika wakati yeye hana then akaendelea kuishi nae. Mnakumbuka? Mwamba hii kitu imemtokea sijajua kama kaukwaa tayari au niaje. Alikaa kitandani siku tatu bila kuinuka. Anachoma sindano yanakauka kauka.
ProsperNow. tweet media
ProsperNow.@prossoff

Naanza kuamini kwamba kuna wanawake wanadawa za kuwashika wanaume wao. Kuna mwanangu mmoja amepambana na mkewake katika kuugua. Mwanamke anaumwa mara kwa mara, baada ya muda akapima HIV akakuta positive. Msela akamuachia geto na watoto, ila now wanakaa pamoja tena. MADAWA.

Indonesia
58
16
164
66.1K
~BINGWAโšก
~BINGWAโšก@BingwaIKยท
@ItsMatemu @Kenny37022462 @prossoff Yawezekana ndio sababu lakini sio issue ya ku_entertain kwa kuwa maambukizi sio lazima michubuko. Maji maji ya sehemu za siri tu yana virusi tayari halafu yawezekana bahati yake ni kuwa muhusika anaweza kuwa anatumia dawa vizuri
Indonesia
1
0
1
72
Cool J
Cool J@cooler1134180ยท
@prossoff Yani ukae na dem mwenye HIV..?
HT
3
0
4
4.8K
Chandra ๐ŸŒŸ
Chandra ๐ŸŒŸ@ItsMatemuยท
@BingwaIK @Kenny37022462 @prossoff Hivi kama hamna michubuko pia maambukizi si hayawi? Kuna jamaa nilisikiag alitumia mafut ya kula mengi kama lubricant kwa mwathirika, hakuathirika harakharak nikahis hakukuw na msuguano/michubuko
Indonesia
2
0
1
106
Shahidi Wa Siri (MBBS)
Shahidi Wa Siri (MBBS)@Shahidi_Wa_Siriยท
@Trigga_kush Ndio maana nilizuia mtu kuni-add group bila ruhusa yangu otherwise anitumie link
Indonesia
2
0
2
556
FineByMe๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ
Miaka 10 hujawahi kuongea na mtu ghafla asubuhi unajikuta kwenye group la ndoa. Can you people try to utilize well that small cycle you have Thuli,Khuli... Mbali Sabela.
Indonesia
35
206
1K
38.5K
Premier League
Premier League@premierleagueยท
๐Ÿ“ฃ Viktor Gyokeres with a hat-trick against Ukraine to send Sweden into the FIFA World Cup Qualifier play-off final ๐Ÿ“ฃ
Premier League tweet media
English
291
3.2K
46K
538.9K