Ndula๐
1.7K posts




Mfuko wa Cement umefika Tsh 18,000 kwa maisha haya tutajenga kweli? ๐ค

@EsirEid Illa we jamaaaa unakitambi kibaya atakama ni tajiri

Tayari nishajilia vyangu ila Hataki kuondoka nifanyeje ?? ๐ฅน๐

#TajiriLaKihaya Tumefungua Leoโฆ ila Iddi Tutaswali Kesho,IN SHA ALLAH๐๐ฝ๐๐ฝ Karibuni saana kesho Nyumbani kwangu GOBA,Dar Es Salaam- tupige Pilau๐ค




Mungu akulinde wangu mwana ๐ @Noedson_tz

๐จ๐ฎ๐ฑ Netanyahu: "Jesus Christ has no advantage over Genghis Khan. Because if you are strong enough, ruthless enough, powerful enough, evil will overcome good." He is actually the antichrist...


Sijafaha hili tatizo langu litaisha lini. Nasumbuliwa na matatizo ya mazadhi ndugu zangu, naomba msaada wenu @MariaSTsehai @Sativa255 Siku ya tatu Sasa nahalisha tu bila kujua tatizo linalo nisumbua huku nikikosa msaada kwenda hospitalini kupata vipimo na kujua tatizo linalo. ๐










