๐
324 posts


@MossesKirumbiJr j2 sa 12:30โฆ hizo tano utashuhudia kwa macho yako pasipo kuambiwa na mtu
Filipino

Unakumbuka mara ya mwisho Arsenal kufungwa 5 hata kwenye mechi za Chandimu ni lini?..๐

MUITALIANO@iamkizzyh
Kati ya arsenal na Atletico mmoja anaenda kuchukua Tano Fainali kwa PSG
Indonesia

@francismtey Mwezini hakuna upepo ila tulionesha bendera ya marekani inapepea ๐
Indonesia

Kimeumana na Taasisi
yenu Ya Kitapeli - NASA
Infact walioenda wote juzi
Mwezini ni Waigizaji ๐คฃ
David Nino Rodriguez@ninoboxer
NASA has turned off comments on social media after backlash regarding the Artemis II launch. This is crazy!
Indonesia

@_Tajiri__ @francismtey hana hoja. kila kitu anapinga kwa mihemko ๐ฎ
Indonesia

@francismtey Je ni kweli NASA wamefunga comments section kwenye page yao? Unaonekana msenge janja
Filipino

@taiser22 @Eng_chambo Kwa nasa Inawezekana Inawezekana
Ila kiuhalisia Haiwezekani... kwasababu
There Is Firmament ABOVE us
Indonesia

@francismtey @Eng_chambo kwanini haiwezekan mwanadam kwenda mwezini au kutoka nje ya dunia
Indonesia

@Eng_chambo Hakuna Ulichkiandika hapa Sikubaliana nacho.
kila kitu hapo nakubaliana nacho.
Ila swala la Kwenda Mwezini au tu Kusema
kwamba Kuna binadamu aliwahi Toka nje ya Dunia hii
Hapo Nitakataaa... BIG TIME
Filipino

@AshrafDadi2 @Conspiracist_1 Kaka hoja sio tech wala knowledge hoja ni kutumia mgongo wa sciences kudanga ukweli wa Mungu kwa faida zao za kishetani na kupotosha.Hivyo tunasema hawa ni waongo , dunia sio global bali ni flat na hakuna mtu anaeweza kutoka nje ya dunia.That's it .
Filipino

@TrojanH7 @Baharyy25 @deusson_mkushi @IAmMaloya27 kwa kifupi wanajitekenya alf wanacheka wenyew si ndio๐
HT

@taiser22 @Baharyy25 @deusson_mkushi @IAmMaloya27 Unakubaliana na nani? Hili ni la uongo na hata ya mwanzo ni ya uongo lengo lao tujadili uongo coz hamna faida ya wao kusema ukweli.
Filipino

@BracuszCadabra hapana kwa kweli mm naona simba inamfaa zaid agombanie namba na guey
Filipino

@TrojanH7 @Baharyy25 @deusson_mkushi @IAmMaloya27 kwahy tunakubaliana kumbe huwa wanasema ukweli ila hili la sasa hv wanatudanganya ili tupate cha kujadili?
Indonesia

@taiser22 @Baharyy25 @deusson_mkushi @IAmMaloya27 Kama lengo ni kupata cha kujadili tu basi hata kudanganya wanaweza kabisa.
Indonesia

@Baharyy25 @deusson_mkushi @IAmMaloya27 kwahiyo wanatudanganya ila wapate nini? na kwanini wengine wasiende ili kuwaumbua hao nasa?
Filipino

@deusson_mkushi @IAmMaloya27 Story tu hizo, kwan c tulifundshwa binadamu anatokana na nyan kwan kweli, tukulize we ulikuwa nyan ulivyozaliwa ndo ykawa mtu lakin tulivyo soma tu
Filipino

@Captain_Josh47 @mpenda_TANZANIA @ikulumawasliano Tuishie hapa. maana tuna wivu na tunatak tuharibu ugali wa watu๐
Indonesia

@taiser22 @mpenda_TANZANIA @ikulumawasliano Mm ni non-affiliate. Halafu naamini kila mmoja ni mtegemezi wa yoyote.
Eesti

@Psiteshio1 @mj0058 tafiti hujibiwa kwa tafiti.. mfanye na nyie yenu tuone mwezini kukoje๐
HT















