Mtanganyika OG 💯
52K posts








Tanganyika nchi ya Kipumbavu sana. Hawa watu wanatuona kama matahira. Kiongozi mkuu Zanzibar anatamka maneno kama haya, ilhali mapumbavu mengine yanawaua Raia wenzao kwa sababu yao. Kweli Tanganyika ni koloni la Zanzibar. Vunja muungano wa kihuni.







#UPDATES_KESI_YA_UHAINI Leo February 19, 2026 Jana tuliishia Part 195 so leo tunaendelea na-; Part 196 Majaji na mtuhumiwa ndio wanaingia ndani ya Chumba cha Mahakama almaarufu Ukumbi Na. 1 hapa Mahakama Kuu. Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara, John Heche alifika mapema sana hapa Mahakamani majira ya saa 3 asubuhi. Jaji anamuita kalani asome namba ya shauri anasoma hapa. Jaji anasema Wakili wa Serikali unasemaje? Anasimama Renatus Mkude anatambulisha kikundi chake cha kila siku anachoshirikiana nacho kuiwakilisha Jamhuri. Mshitakiwa anasema yuko tayari pia. Jamhuri wanadai wanamambo mawili. 1. Notice of additional substance of Evidence chini ya kifungu cha 308 (1) Taarifa ya ushahidi wa ziada. 2. Jambo la pili Mwenendo wa shauri linaloendelea na kauli zinazotolewa kuhusu mashahidi wanaotoa ushahidi Mahakamani. Anasima Mh. Tundu Lissu kurespond kwenye hayo Mambo mawili yaliyosemwa na Mawakili wa Serikali. Kuhusu hiyo Notice yao utaratibu wa kisheria hauruhusu. Anasimama Katuga anasema mtuhumiwa afate utaratibu kwamba mawakili wa Serikali wameregister Notice Hivyo jukumu lake ni kujibu kuwa mtuhumiwa yupo tayari kusikiliza? Mhe. Lissu anasema kama wameleta notice basi wafahamu kwamba nitakua na lakusema baada ya submission yao. Waendelee tu sitaacha kitu, wajue hilo. Majaji wanashauriana kwa muda mrefu kidogo hapa, tunasubiri nini kitakachoendelea. Mhe.Jaji: tunajaribu kuangalia kama hii notice iko ndani ya mfumo na tumeona ni kweli iko ndani ya mfumo. Katuga: tunaomba tuisubmite kwanza ili tuweze kumuombea shahidi tuliyenaye leo kwa sababu shahidi tuliyenaye leo si miongoni kati ya mashahidi tuliowaombea. Mhe.Lissu : kiutaratibu ili waweze kusubmit notice ni lazima wafate utaratibu kwa sababu hawajafuata utaratibu tuendelee na mashahidi waliopo. Mhe.Jaji: tutaendelea na mashahidi waliopo lakini hatuwezi kuacha notice hii bila kuizungumzia ili iweze kuingia kwenye utaratibu wa Mahakama, wakati tukiendelea na mashahidi waliopo kesho tuweze kuanza na hii notice. Mhe.Lissu: siku ya jana tuliambiwa Shahidi aliyepaswa kuendelea ambaye ni mpelelezi Mkuu alipata msiba hivyo ataendelea leo, sasa wanatwambia kuwa huyu shahidi wanayemuombea notice anayo maelezo ya ziada ni kwa nini tusiendelee na mashahidi waliopo kwanza wakati wakifuata utaratibu. Katuga: wameshimiwa Majaji naomba tuendelee na submission ya hii notice kwanza kabla ya kuendelea kusikiliza mashahidi wengine ili tujue kama tutaruhusiwa kumleta huyu Shahidi. Majaji wanaendelea kujadiliana hapa. Mhe.Jaji: kwa sababu tayari tunao mashahidi wengine hii issue ya notice ibaki reserve isubirie kwanza tutaizungumzia baada ya kumaliza mashahidi waliopo, hivyo tuendelee na mashahidi waliopo kwanza. Mkude: Mhe.Jaji tunaomba tuadress mambo yanayoendelea katika premise ya mahakama kuhusu mashahidi kabla hatujaendelea. Mhe.Jaji: mshitakiwa ameomba kujua ni mambo gani hayo, yasijekuwa mambo ya kutupotezea muda yanayohitaji tuanze kuandika rulling kwanza na kutuzuia kuendelea. Wakili Mkude: mheshimiwa Jaji kuna mambo yamekuwa yakiendelea na mshitakiwa amekuwa akiadress baadhi ya mambo. Tangu kesi ianze kuna mambo yamekuwa yakijadiliwa kuhusu mashahidi wanavotoa ushahidi wao, katika mitandao ya kijamii mambo yamekuwa yakizungumzwa namna mashahidi wanavotoa ushahidi wao, wengine wakiitwa waongo, hatukatazi kureport muenendo wa kesi lakini usiathiri proceedings. Kifungu 114 cha Penal Code. Kwa kifupi hawa jamaa hawataki mashahidi na ushahidi wao uzungumzwe nje ya Mahakama. Hawataki habari za kwamba mashahidi ni waongo. 😂😂 yaleyale ya kutaka kesi iwe gizani kwa kila kitu. Hata hii kuripoti tu wanaona wananchi mnafaidi sana, wanataka Mahakama izuie. Part 197 itaendelea kwenye post inayofuata. Naomba repost yako.








Ninawatakia Wakristo wote Kwaresma njema na yenye baraka. Safari hii muhimu kiimani kwenu mnayoianza leo kwa ibada ya Jumatano ya Majivu iwe fursa ya kutafakari, kuendelea kuimarisha uhusiano na Mwenyezi Mungu; na kudumu katika ibada, kuiombea nchi yetu amani, umoja, mshikamano na ustawi kwa wote. Mwenyezi Mungu azipokee funga, sala na sadaka zenu na awakirimie mema yote mnayomuomba kwa mtu mmoja mmoja, familia, ndugu, jamaa, marafiki na Taifa kwa ujumla. Tafakari Biblia Takatifu Yoeli 2:12-13 “Lakini hata sasa, asema Bwana, nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kufunga, na kwa kulia, na kwa kuomboleza; rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie Bwana, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi mabaya.”



Oneni lijambazi la kike liuaji linajifanya linamjua Mungu. Seriously? 🚮 Amani? Muuaji mkubwa mbwa wewe. Amani? Ondoka Ikulu mharamia wewe, na chama chako ovu ondokeni kabisa; hapo ndo Tanganyika itaona amani. #SamiaMustGo #CCMmustGo











