Sabitlenmiş Tweet
𝗗𝗘𝗘𝗭𝗡𝗨𝗧(𝗦)🥜
293 posts

𝗗𝗘𝗘𝗭𝗡𝗨𝗧(𝗦)🥜
@2BitRoot
I carry the Burden of Performance🇮🇷
Katılım Mart 2026
16 Takip Edilen19 Takipçiler

@_zack255 Unaona kabisa anajizuia Kucheka, he's trolling kuma huyu😅😅
Indonesia
𝗗𝗘𝗘𝗭𝗡𝗨𝗧(𝗦)🥜 retweetledi
𝗗𝗘𝗘𝗭𝗡𝗨𝗧(𝗦)🥜 retweetledi

Kwa Mantiki hii Ni bora Kuwa na Jiko la Umeme hilo ndio litumike muda wote, sababu umeme ni nafuu, na la gas itumike tu kama hakuna Umeme.
DorothNengai@DorothNengai
Ongezeko la 10,000 kwenye gas ya kg 15 😭😭😭😭😭😭😭 Turudi kwenye Kuni
Filipino

Wamechanganyikiwa
Lubasha Jr@MarekaMalili
Hawa watoto hawana adabu, sada Power Mabula katokea wapi jamani 🤣
Indonesia

Mtu aliyejitambulisha kama Mbunge wa jimbo la Ikungi Magharibi, ameishauri Serikali katili ya CCM kuanzisha tozo kuchangia Bima ya Afya kupitia miamala ya simu. Kila Mtanzania atachangia fedha kwa kila muamala.
Tanzania, kodi na tozo katika miamala ya simu zimegawanyika katika sehemu kuu tatu: Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), Ushuru wa Bidhaa (Excise Duty), naTozo za Serikali (Government Levies).
Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT); Hii ni kodi ya (18%) inayotozwa kwenye huduma zote za kibiashara. Kodi hii inakatwa kutoka katika ada ya huduma (service fee) anayolipa mteja kwa kampuni ya simu.
Ushuru wa Bidhaa (Excise Duty); Ni kodi (17%) ambayo inatozwa katika huduma za mawasiliano na uhamishaji fedha. Kodi hii inatozwa kwenye ada ya huduma ya kampuni ya simu kwa ajili ya kutuma au kutoa fedha.
Tozo ya Serikali (Government Levy). Hii waliipa jina la Tozo ya Uzalendo. Tozo bado ipo kwenye kutoa fedha taslimu (kwa wakala). Unapofanya muamala (mfano: kutoa 10,000 TZS), unacholipa kinajumuisha:
Ukimtumia Mtu Fedha kiasi cha TZS 50,000, unacholipa ni Ada ya Mtoa Huduma (ndani yake ina VAT na Excise Duty). Hii ni TZS 800 mpaka TZS 1,000. Tozo ya Serikali ni TZS 0 (Imefutwa kwa miamala ya simu kwa simu).
Ada ya Mtoa Huduma & Wakala ni TZS 1,200. Tozo ya Serikali (Kutoa) TZS 500. Jumla utakatwa TZS 1,700 kutoa TZS 50,000. Unapotoa fedha taslimu, hapo ndipo Tozo ya Serikali ya kutoa inapofanya kazi yake.
Nimetuma TZS 100,000 kutoka CRDB kwenda M-PESA. Nimekatwa TZS 3,500. Hiyo pesa 100,000, ukitoa kwa wakala. Gharama ya kutoa kwa wakala (ikijumuisha ada ya mtandao na tozo ya serikali ya kutoa) ni TZS 3,300.
Sekta ya afya inahudumiwa na vyanzo mbalimbali vya mapato. Wameweka utaratibu wa kutoza kodi na tozo (levies) katika bidhaa au huduma ambazo asilimia ya mapato huelekezwa kwenye miradi au huduma za afya.
Serikali inatoza fedha katika miamala ya kutuma na kutoa fedha kwa njia ya simu. Hii imeelekezwa katika ujenzi wa vituo vya afya na zahanati, kata na vijiji na kuimarisha huduma za dharura na ununuzi wa dawa.
Kodi ya Bidhaa (Excise Duty); hii inatozwa katika bidhaa zinazosababisha magonjwa yasiyoambukiza kama vile sigara na bidhaa za tumbaku, vinywaji vikali na pombe, vinywaji vyenye sukari (sugar-sweetened beverages)
Tozo ya Mafuta (Fuel Levy); Kodi kama ongezeko la thamani (VAT), kodi ya mapato (Corporate Tax), na ushuru wa forodha (Excise Duty) huingia moja kwa moja katika Mfuko Mkuu wa Serikali (Consolidated Fund)
Kutokea hapo, Serikali hupanga bajeti na kugawa fedha kwenda sekta mbalimbali kulingana na vipaumbele vya taifa. Katika sekta ya Afya, fedha inakwenda kwtika Ujenzi wa hospitali, vituo vya afya, na ununuzi wa dawa.
Michango ya Bima ya Afya (NHIF na iCHF); Hii ni tozo (lazima) kwa watumishi wa umma. Ambapo, kila mtumishi wa umma anakatwa 6% ya mshahara ghafi (gross salary) na hiari kwa watumishi sekta binafsi.
Tozo za Huduma za Hospitali (User Fees); Mwananchi hulipa anapofika hospitali kupata huduma (kama hana bima). Zinabaki vituo vya huduma ili kusaidia ununuzi wa dawa za haraka na vifaa vidogo vidogo vya maabara.
TZ ni kati ya nchi zenye maeneo makubwa yaliyotengwa kwa hifadhi duniani (zaidi ya 25% ya ardhi). Hifadhi za Taifa (National Parks), Mapori ya Akiba (Game Reserves), Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA)
Tanzania ina Hifadhi Wanyamapori. Madini ya Thamani na Viwandani. Gesi Asilia. Vyanzo vya Maji. Ardhi na Misitu. Nishati ya Maji, Jua na Upepo. Milima. Bado Mnaendelea kumjazia mwananchi kodi na tozo?
Kwanini hizo pesa zisitoke katika mishahara na posho zenu? Mbunge hakatwi kodi na anapata mshahara na posho unaokadiriwa kufikia TZS 18 milioni kwa mwezi. Kwanini tusipunguze mishahara yenu MAFISADI?
AKILI zenu zimeishia katika kufikiria kuongeza tozo na kodi tu? Halafu, hizo pesa za kodi zikipatikana, mnakwenda kukimbiza moto tu. Nyingine mnanunua magari ya kifahari. MBOGAMBOGA HAMJITAMBUI.

Indonesia

DODOMA: Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara amesema hayo Bungeni Mei 12, 2026 wakati akichangia Hotuba ya Wizara ya Afya.
Soma jamii.app/WaitaraBima
#JamiiForums #Uwajibikaji
Indonesia

@godbless_lema Ningepata shida sana kuishi hiyo nchi kwa sasa. Namshukuru sana Mungu kwa kuniwezesha kuwa mbali kidogo kwa muda mpaka nchi itakapopata wenye akili zao. Mithali 29:2 inafikirisha sana. Bangaladeshiiiii
Indonesia

Dini inapogeuzwa kuwa chombo cha kutawala akili za watu badala ya kuongoza roho zao kuelekea kwenye ukweli na utu, hugeuka biashara ya hofu. Watu huanza kuishi kwa woga badala ya imani, wakiamini kuwa sauti kubwa za madhabahuni ndizo kipimo cha ukweli. Lakini ukweli haupimwi kwa kelele za mahubiri, wala kwa ukubwa wa mikusanyiko, unapimwa kwa matendo ya maisha.

Filipino

Futa hii Mkali, tusidhihaki waliouawa Kinyama.
Narrowbeefly@Narrowbeeflying
Gen Z walijaribu kujifanya wanaharakati 29 oct walitandikwaa.
Indonesia

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale ameishauri Serikali kuanzisha huduma maalum ya Ambulance ndani ya Treni ya Mwendokasi (SGR) ili kusaidia usafirishaji wa wagonjwa wanaohitaji rufaa kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa fedha 2026/27, Taletale amesema Wakazi wengi wa Morogoro hutegemea huduma za Muhimbili lakini si wote wana uwezo wa kukodi Ndege au Ambulance za gharama kubwa kwenda Dar es salaam.
“Sisi Watu wa Morogoro Hospitali tunayoitegemea ni ya Muhimbili na sio kila Mtu anaweza akakodi Ndege na sio kila Mtu anaweza akachukua Ambulance kutoka Morogoro kwenda Muhimbili, tuangalie leo hii tumeletewa SGR kwanini tusije na Ambulance kwenye ile SGR tunashindwa nini? Tunaamini Rais ni msikivu atalifanya hili kiurahisi, wenzetu kule ng’ambo wanaweza kwanini tusiwe sisi,” Hamis Taletale. #MillardAyoUPDATES
Indonesia















