Dibro 379

894 posts

Dibro 379 banner
Dibro 379

Dibro 379

@379Dibro

Kila jema lina magumu yake

Katılım Şubat 2020
502 Takip Edilen508 Takipçiler
SATIVA17 X ( TWEETS)
SATIVA17 X ( TWEETS)@Sativa2555·
Kama Afrika kusini tu Hapo unafanyiwa hivi Jiulize dubai watakuafanya nini Kama sio kukutumia kinyumbe na Maumbile Tujenge kwetu, tubanane hapahapa mpaka kueleweke
Indonesia
5
3
52
4.1K
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
Hawa vibaka mmeshindwa hata kuwamezesha maneno eti Serikali ya Chadema haijatulipa kumamake ,😃😃 toeni maski tuwachangie njaa itawaua nyie UVCCM Tume ya Chande itakuja na vituko zaidi.
Indonesia
151
84
563
34.6K
Mbunge Wa Taifa
Mbunge Wa Taifa@taifa_mbunge·
Yaani sasa hivi ni mwendo wa kumwaga Moto tu, Bibi Kidude anapigwa Nje Ndani #Tutakuwepo
Filipino
10
121
655
14.7K
Dibro 379
Dibro 379@379Dibro·
@taifa_mbunge Muda umekaribia wataacha kuongea kwa mafumbo na kuanza kutajana
Indonesia
0
0
0
49
Mbunge Wa Taifa
Mbunge Wa Taifa@taifa_mbunge·
"Yani katika akili yake amejitengeneza kwamba yeye ni Mungu mtu, Tabia ya Kijinga Kabisa" Balozi Nchimbi #Tutakuwepo
Indonesia
18
83
469
28.4K
Dibro 379
Dibro 379@379Dibro·
@g_ki02 @Elsukay0 Tuliwapulizia Dawa vyumbani.Ndoo maana kipindi cha kwanza tulikua tunapishana nao kipindi cha Pili wakadevela tukaanza kuwapelekea moto wa kutosha
Filipino
0
0
0
8
kato_14
kato_14@g_ki02·
@Elsukay0 @Elsukay0 wakati nyinyi mnapigwa 5-1 na kupigwa game sita mfululizo mlikuwa mmewasimamisha wangapi?
Filipino
1
0
7
694
EL SUKAYO🇹🇿
EL SUKAYO🇹🇿@Elsukay0·
Mecky Maxime amezungumza kupitia TVE inshu ya timu za bongo kusimamisha wachezaji wao muhimu wanapokutana na yanga amesema ni kweli hata yeye kipindi yupo kagera kuna wachezaji walikuwa wanasimamishwa bila sabab kagera wakikaribia kucheza na yanga Yanga wapo vizuri nje ya uwanja
EL SUKAYO🇹🇿 tweet media
Indonesia
30
14
242
15.5K
Dibro 379
Dibro 379@379Dibro·
@Elsukay0 Hii kete kubwa sana kama ataamua kuisukuma. Mudy lazima aingie hofu kwenye hilia kama litakua na ukweli
Indonesia
1
0
0
266
EL SUKAYO🇹🇿
EL SUKAYO🇹🇿@Elsukay0·
🚨 JUST IN : Joseph Rwegasira maarufu kama jayrutty ana mpango wa kugombea nafasi ya mwenyekiti wa club ya Simba Sc katika uchaguzi mkuu ujao Wanalunyansi vipi huyu atawafaa?
EL SUKAYO🇹🇿 tweet media
Indonesia
38
18
438
17.3K
This time tomorrow
This time tomorrow@Zion89811265·
@EsirEid Mabinti wengi siku izi wanatumia sana dildo kubwa kujiridhisha wao wenyewe,kitu ambacho kina waharibu sana sehemu zao za siri
Indonesia
2
1
30
14.2K
Dibro 379
Dibro 379@379Dibro·
@EsirEid Usemacho kina usahihi kiasi fulan ila hili limezidi OFSA
Filipino
0
0
1
863
Samalen Tips🤴🫆
Samalen Tips🤴🫆@Samalentips·
Ninachanganyikiwa embu mnieleweshe mimi huyu bi fatma karume ndo nimemuona leo, niliyekuwa namjua ni huyu wa kulia shangazi sasa ni nani hapa ni nani? Maana kwenye picha za matukio leo sikumuona shangazi nikashangaa sana embu mnieleweshe
Samalen Tips🤴🫆 tweet mediaSamalen Tips🤴🫆 tweet media
Indonesia
17
2
190
48.8K
Dibro 379
Dibro 379@379Dibro·
@TruthWatchDogTZ Usikute anaomba usiku na mchana wamshike began.kwa maana hana matumiz nayo
Indonesia
0
0
0
25
Truth WatchDog🇹🇿
Truth WatchDog🇹🇿@TruthWatchDogTZ·
Huyo hata hajari kuwa watu huibiwa Makende 😅😅
Filipino
9
9
31
4.4K
Dibro 379
Dibro 379@379Dibro·
@KumbushoDawson Nikukumbuka miaka ya nyuma huko tulikusanywa Vijana wa shule mbalimbali wilaya 1 pale Dodoma tukawa katika halaiki tukafanya mazoezi mwezi mzima kwa ajili ya Mapokezi ya PM tukaahidiwa kupewa 50k siku ya ujio wa PM tukaishia kupewa Pilau na Soda Ila hawa jamaa wa nyundo na Jembe
Indonesia
0
0
3
298
Kumbusho Dawson Kagine
Kumbusho Dawson Kagine@KumbushoDawson·
Hiki kizazi ni hapana aisee. CCM mjiandae 😂😂😂
Suomi
13
48
239
13.8K
Dibro 379
Dibro 379@379Dibro·
@itango_emmanuel @FKihamu Mi naelewa unachokisema ni wa kawaida kweli ila anakamaiaga game za simba na young.na ndoo maana alikua anakaa mkeka kwa Bajana. Na hata wakti mwingine kwenye 8 Yahya zaid akiwa mzima alikua anaanza benchi James
Filipino
0
0
1
10
SIRRA
SIRRA@itango_emmanuel·
@379Dibro @FKihamu James ni kiungo wakawaida saaaana kaka asikudanganye mtu sijui What player What player kwenye big match tu🚮🚮🚮
Indonesia
1
0
1
17
Dr. Thadeus Mihayo
Dr. Thadeus Mihayo@Dr_Thadeus_19·
Ni jina gani la mbwa hapa haukosi 😄😄
Dr. Thadeus Mihayo tweet media
Indonesia
464
41
526
48.1K
Dibro 379
Dibro 379@379Dibro·
@itango_emmanuel @FKihamu Binafsi baadhi ya match ambazo nimeitazam azam na timu nyingine tofauti na Simba na Yanga James hua anacheza mpira wa kawaida na ndoo maana watu hua wanadiriki kusema hua anakamia kuzishawishi hizi timu. Akicheza na wakubwa anaubonda mno mpka hua tunataman kuona muendelezo wake
Indonesia
1
0
0
31
SIRRA
SIRRA@itango_emmanuel·
@FKihamu Anakuwaga what's player AKICHEZA dhidi ya Simba na dhidi ya YANGA tu Ila mkute anacheza na kina TRA sasa🚮🚮🚮
Filipino
2
0
5
826
Dibro 379
Dibro 379@379Dibro·
@ArobogastMrosso @RevocatusMagum1 Yuko vizuri.kuna muda nina Muangalia Dogo Sele anavyorukaruka pale harafu nikimfikiria Dogo Mashaka daah Kuna mahala kunapwaya kwenye maamuz y viongoz
Filipino
0
0
0
3
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
MPAKA DAKIKA YA 63 NAMUNGO WALIKUWA MBELE DHIDI YA CHAMA LANGU LA MKOPO JKT TANZANIA 😂 Ila VALENTINO MASHAKA na SALEHE KARABAKA kutoka Simba walitupa alama Moja ugenini aisee 🔥 Vita ya top four bado mbichi,Hatutakubali wazawa asilimia 💯. SEMA VALENTINO NA KARABAKA KWENDA KWA MKOPO JKT TANZANIA KUMEWAIMARISHA SANA. Hii ni faida kwa Simba kwa sababu wote hawa wanapata game time ya kutosha tena chini ya Mwalimu wa viwango AHMAD ALLY. Wadogo zangu wote ambao hampati nafasi kwenye timu zenu kubwa, Ombeni mtoke kwa mkopo.
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
1
5
121
4.4K
Dibro 379
Dibro 379@379Dibro·
@JabbarXCVII @Elsukay0 Ataruka ruka kumpa Okwi namba 10 ila kiuhalisia Okwi ni Winger tena anazicheza zote 2 ya kushoto na kulia.namba 10 ilikua ni nyongeza ya uwezo wake uwanjan na mahitaji ta mwalimu.Asimkingie kifua Mrisho kwa kigezo cha Okwi kupangwa 10
Filipino
0
0
1
16
chosen_
chosen_@JabbarXCVII·
@Elsukay0 Labda tuseme alikua na uwezo wa kucheza nafasi nyingi ila nakumbuka kuna msimu tulikua na kikosi pale mbele Kagere,Kichuya na Okwi nyuma yao Chama,Mkude na Kotei na mara nyingi ilikua ivo
Indonesia
1
0
1
78
EL SUKAYO🇹🇿
EL SUKAYO🇹🇿@Elsukay0·
Winger bora wa miaka yote hapa Tanzania ni Mrisho Ngassa wamekuja mawinga wengi sana wa nje na ndani la bado hawajafika hata nusu ya ubora wake
EL SUKAYO🇹🇿 tweet media
Indonesia
21
15
207
5.1K
Dibro 379
Dibro 379@379Dibro·
@ArobogastMrosso @RevocatusMagum1 Mashaka analijua goli kuliko Dogo Sele anajua kukaa kwenye nafasi na anajua kuzitumia nafasi tofauti na sele.Binafsi nnamkubali pia Valentino
Indonesia
1
0
0
23
Chugger boy
Chugger boy@ArobogastMrosso·
@RevocatusMagum1 Mashaka ni zaid ya mwalimu. Tulishindwa tu kumuamini. Mm binafs namuamin
Indonesia
3
0
2
290
Dibro 379
Dibro 379@379Dibro·
@iamkizzyh Ndumila kuwili.miaka ya nyuma Dodoma walikua wengi sana
Indonesia
0
0
0
45
MUITALIANO 🔋
MUITALIANO 🔋@iamkizzyh·
Kuna watu nikiwaambiaga nimewahi kuona nyoka mwenye kichwa mbele na nyuma wanabisha kinoma Alafu mimi nilikuwaga najua ni kawaida tu kuwaona wale nyoka
Filipino
25
10
160
15K
ROSALINE🦋
ROSALINE🦋@AmRosalinee·
Msasa imefunika mamia ya watu sio chini ya mia saba🥺💔
Filipino
33
38
483
31.8K