@Mwenyekit_i Kuna mwanangu alizama pia kwa mjasriamali had meseji za biashara alizion na bado alkwama kla ushaur wetu wana ulfeli kuna wana wakala na akajua na bado hakumuacha😁😁
Hamuwezi kumuelewa jamaa lakini mimi namuelewa sana,
Niliwahi kuzama kwa mjasiriamali wa kimataifa ni kama wana madawa hakuna story utaletewa kuhusu yeye na uielewe nafikri ni maombi ya mama yalinisaidia😀.
@EsirEid@Makaveli_255 Nje ya mada kidogo hvi huu mkopo wa elimu yajuu ambao una riba ndani yake si ni haramu, na tunautumia kupata hyo elimu je hlo halisabbish na elimu tulyoipata kupitia huo mkopo nayo kuwa haramu??
Misingi ya insurance imejengwa katika uharamu hivyo kuifanya kuwa haramu katika sheria yetu ya Kiislamu.
Insurance ni bahati nasibu na kwa ajili ya kutaka kupata faida nyingi huwa hawakubali mtu ambaye ana ugonjwa wa kudumu kujiandikisha.
Uharamu wake ni kuwa ndani yake kuna Gharar (uongo), riba, Qimaar (kamari) na kuuza deni kwa deni.
Moja tu kati ya hizi zikipatikana katika kitu chochote hukifanya kuwa haramu.
Na katika bima nukta hizi nne zinapatikana.
Insurance ni bahati nasibu, kwa kuwa unaweza usiwe mgonjwa kwa mwaka mzima hivyo kufanya pesa zako ziwe zimepotea bila huduma ya aina yote.
Uislamu haufanyi kazi aina hiyo, unataka mtu atoe pesa na apate huduma kutoka kwa shirika au kampuni au idara nyingine yoyote.
Kisha pia katika insurance huwa kuna riba ndani yake na udanganyifu ambao umekatazwa na Uislamu.
Na Allaah Anajua zaidi
🚨Daaah 💔😭 hii INAUMIZA Sana kwa wazazi wanao LIPA ADA. Chuo ukiendekeza Tama na maisha ya bata haya ndio matokeo yake aisee ila pole Sana piga moyo KONDE 🙌🏿🚮
📌𝑶𝑷𝑬𝑵 𝑻𝑯𝑹𝑬𝑨𝑫 & 𝑨𝑫𝑽𝑰𝑺𝑬 𝑯𝑬𝑹 No. 1/3👇🏿🍂
Chips Yai, ni combination ya Carbohydrate na Protein. Shida iaanzia wapi? Tuongee kisomi na kitaalamu tafadhali.
Na tunaambiwa viazi mviringo ni chanzo cha Carbohydrate, Vitamins na madini kama zinc, mg... hapo hapo mayai yana protein.
Shida ya nguvu za kiume itatoka wapi?
@kocha540@TOTTechs Shida n chrome yenyew wala haihusiani na extension. Ukirun Chrome inachukua nafas kubwa ya Ram na Cpu inafny kaz zaid ht ukfungua tab moja sasa zfungue tab zaid ndo unaichemsha kabisa
@TOTTechs Sidhani kama shida ni chrome labda extension mtu alilozijaza na aina ya Site mtu amefungua kwenye izo Tab, kama ni torrents,Yt, netflix lazima CPU ionje joto la Kwa Mkapa..Extension za chrome ni auto-run vilevile unakuta mtu hajaclear cache miezi zaidi ya 4,5,6..
Sema ni kwa sababu watu wengi hawana option au wanapenda Chrome ila ukifungua multiple Google Chrome applications/tabs, it slows down your computer and generates excess heat that reduces the PC's lifespan. Computer zinachemka balaa.
Unapishana kauli na mtu kwenye manbo ya kawaida tu na unachukulia kawaida.
After 2 days watoto wake wanakuja kwako kuangalia Ottoman.
Unakaa wiki unaletewa pira una kesi ya ubakaji na ulawiti.
Kama mnashangaa, haya mambo ni very common huku uswahilini.
@Ladylyd9632611@MsomiKhan18 Activated charcoal inafany meno kuwa meupe kwa kukwangua layer ya juu ya meno (enamel) ko meno yatkua meupe mwanzo ila unavozd kuitmia meno yataanz kuw ya njano kw sabb layer inayofuat ya meno ina unjano inaitw dentine ko itakuw hujafny cha maan na ushahrb meno
Kwa Tanzania hakuna mtandao wa simu unaotoa huduma mbovu ya mawasiliano/intaneti na wenye huduma mbovu kwa wateja kama Airtel. Ningekuwa na nguvu za kimamlaka hawa ningewaondoa Tanzania.
@MarekaMalili Kuna watu hata ukijbu status zao hawakujbu lakn wanapata audacity ya kuja kuomba mchango wa sherehe zao😅😅....m nazingalia tu text zao za kuomba michango
Binafsi huwa namuogopa sana mwanamke ambae haombi hela, huwa simuelewi anataka nini sababu najua akisema anataka mapenzi tuu ni uongo, Ni sawa na shetani akwambie bwana yesu asifiwe, Unashindwa kuelewa uitikie ameni au ukemee 😂😂