Alpha dev

4.7K posts

Alpha dev banner
Alpha dev

Alpha dev

@kocha540

Kazi kipimo cha Utu

Katılım Kasım 2020
493 Takip Edilen530 Takipçiler
Alpha dev
Alpha dev@kocha540·
@jwise017 Auric bei zao zimesomana mnooo mara mbili ya Twiga/swala
0
1
3
264
NYANI MZEE
NYANI MZEE@jwise017·
Safari za kawaida locally kaskazini na lake zone achana na twiga na shoga yake swala watakupa stress kamata flight link na Auric chaaap!
Filipino
5
5
87
4.7K
Alpha dev
Alpha dev@kocha540·
@FaradayMtz01 Huna unachokijua AI, ML, LLM ipo pengine kabla hata ujavunja ungo
Indonesia
0
0
0
49
I ❤️ Dar Es Salaam
I ❤️ Dar Es Salaam@FaradayMtz01·
Jifunze kutoka kwa kampuni ya ASML. bila hii kampuni nafikiri kusingekuwa na AI kabisa. Uwepo wa hii kampuni ni sababu tosha AI kama vile chatgpt,Gemini, Claude kuwepo. Makampuni makubwa yote hayawezi kutengeneza Ai chip bila ASML. ASML inatengeneza mashine zinazotumika
Indonesia
3
0
30
1.8K
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️
Mchekeshaji Jol Master ameshindwa jizuia ameamua kumpa maua yake live mtayarishaji wa mziki wa bongo fleva S2kizzy. ''Leo naomba nimuongelee huyu jamaa , brother of mine @s2kizzy Huyu ni moja ya binadamu wenye moyo na roho nzuri sana sana sana 🫡 MAUA TUTOE MTU AKIWA HAI 💪 Kuna kipindi nilikuaga napitia situation ya kimiyeyusho sana financially ila mwamba alikua ananifata kila siku makongojuu CCM ananichukua ananiambia utakuja ujinyonge mbwa ww 😂😂 Tunazurura tunaenda studio kwake Anawarecodia wasanii mimi niko pale Najikuta najifunza vitu vingi then baadae ananirudisha Ananiachia 50k kila siku. 🫡 NIKAWA NAANDAA SHOW YANGU YA KWANZA MLIMANICITY AKAWAAMBIA WASANII WOTE A LIST WAFANYE PROMO YANGU YA SHOW , Haikutosha Mwamba hajawahi kosa show yangu hata moja''Ameandika- Jol Master
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️ tweet media
Filipino
4
10
314
23.2K
Alpha dev
Alpha dev@kocha540·
@british77boe Bora ukamatwe na Madawa ya Kulevya ila sio Camera pale Valvet huyu Malaya akikuona unarecord utajuta kuzaliwa
Filipino
4
1
15
1.8K
britishboe
britishboe@british77boe·
Hii Mali unaweza tongoza na ukakataliwa asee
britishboe tweet media
Filipino
38
23
141
19K
mTusi original 👦
mTusi original 👦@mTusiOriginal·
Messi rasmi karuhusiwa kutumia tiktok baada ya zuio la miaka kumi lakini kwa jana tu kapata wafuasi million na ushee huyu ni gotano wa kila kizazi 🙌🙌👇👇
mTusi original 👦 tweet media
Indonesia
17
10
159
12.5K
Alpha dev
Alpha dev@kocha540·
@MkulimaKante Tajiri kachachuka huyu sema anajua Mitandao kuna wapuuzi wengi kante, sukununu n.k watam-bully Mke wake na Mtoto wake wakike Siba Guvu Moya By MO
Alpha dev tweet media
Filipino
1
0
2
316
Kante
Kante@MkulimaKante·
Swali la kizushi pamoja na kuwa bilionea kijana Afrika kupenda kushare picha zake mara kwa mara. Kwanini huwa hapendi kumuweka mke wake hadharani maana najua hakuna mtu wa kumuiba mke wa tajiri maana pesa ipo. Nataka nijifunze kitu ili siku nikitajirika nipite njia zake huenda kuna jambo la muhimu sana hapa🙏
Kante tweet media
Indonesia
21
11
42
4.4K
Alpha dev
Alpha dev@kocha540·
@AlexSamoja Kosa sio Bonge, kosa ni Nyerere kuwazoesha mfumo wa Ujamaa kwamba kila kitu ni bure Aliwalemaza sana,Ubepari ndio unaongoza dunia, Kwenye Capitalism kila kitu ni hela, Andrew Tate anauza kozi kila siku ila hamumuoni kwasababu ni mzungu?Ukitaka kufundishwa Toa hela kama huna tulia
Indonesia
1
0
2
218
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Yule Baraka mashavu baada ya miaka mi5 mbele atakuwa na kesi zaidi ya 100 za uhujumu, mtu hawezi kutoa 150k afu miezi imepita hajapata hyo 100m, Akamuulize Sir Jeff na Yule Magnetics wale wanashitakiwa na watu waliotoa hela afu hawakupata kitu. Save, bookmark and screenshot for the records 📌
Sekenke One 🌻 tweet media
Indonesia
6
7
55
5.2K
Alpha dev
Alpha dev@kocha540·
@MangiwaKwanza1 Kale katapeli Ex-Waziri wa Ujenzi anaedaiwa Fidia ya 2B na Mahakama kametumikia jimbo zaidi ya Miaka 10+ ila Barabara ni mbovu hazitamaniki wakati watu wanashusha mijengo kule Mwanaghati kama Capetown ijayo
Indonesia
0
0
1
85
Mangi wa Kichaga
Mangi wa Kichaga@MangiwaKwanza1·
Kitunda wana barabara zinatope sana mbovu sana kama vile hawapo Dar wapo Kasulu. Au ndugu zetu wa kitunda hamlipi kodi nini😄
Indonesia
8
18
109
2.9K
Alpha dev
Alpha dev@kocha540·
@millardayo Vita dhidi ya kumkandamiza kijana Inazidi kupamba Moto kama Kijana bado hujaamka basi jitathmini sana kamari ni kamari hata ipambwe vipi baada ya Miaka kadhaa wagonjwa wa akili, Hypertension (Moyo) watakua wengi mnoo
Indonesia
5
5
45
4K
millardayo
millardayo@millardayo·
Vunjabei Group chini ya Mtendaji Mkuu wake Fred Ngajiro maarufu kama Fred Vunjabei, leo imezindua rasmi jukwaa jipya la michezo ya kubahatisha lijulikanalo kama Vunjabei Bet, likianza operesheni zake hapa Nchini Tanzania, huku likiwa na mpango wa kupanuka katika Nchi saba za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati Akizungumza katika uzinduzi huo, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Aristides Robert Mbwasi, aliyemwakilisha Waziri wa Viwanda na Biashara Judith Kapinga, amempongeza Fred Vunjabei kwa jitihada zake za kutafuta fursa za Kimataifa na kuwekeza Nchini, akibainisha kuwa Sekta ya Ubashiri imeendelea kuwa na mchango mkubwa kiuchumi ambapo kwa mwaka 2024/2025 pekee imeingiza takribani Shilingi bilioni 260. Jukwaa hilo jipya linatarajiwa kutoa huduma si tu ndani ya Tanzania bali pia kuvuka mipaka na kuhudumia masoko ya Nchi saba jirani, hatua inayolenga kuongeza ushindani wa kibiashara na kuboresha huduma katika sekta ya ubashiri wa michezo Katika kufanikisha mradi huo, Vunjabei Group imeingia ubia na kampuni ya Kimataifa kutoka Nchini Italy iliyowekeza katika teknolojia ya uendeshaji wa mfumo huo, huku Kampuni hiyo ya ndani ikichukua jukumu la kuwekeza katika miundombinu, usimamizi na masoko katika Nchi zote zitakazofikiwa Ukuaji wa sekta ya ubashiri umeendelea kuwa kichocheo muhimu cha maendeleo ya michezo Nchini, ambapo kupitia udhamini wa Ligi, Vilabu na matukio mbalimbali, Kampuni za kubashiri zimechangia kukuza Vipaji vya Vijana na kuimarisha tasnia ya michezo, huku uzinduzi wa Vunjabei Bet ukitarajiwa kuongeza ajira, fursa za uwekezaji na ushindani katika Soko la burudani Nchini na Ukanda mzima. #MilladAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
37
22
679
73.8K
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Rais wa FIFA, Gianni Infantino amethibitisha kuwa Iran watacheza kombe la dunia mwaka huu tena watacheza mechi zao zote za makundi nchini Marekani kama ilivyopangwa awali.
Ayubu Madenge tweet media
Filipino
3
14
558
6.3K
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Hii itakufaa ina Aura 💻 HP Dragonfly G2 – Premium Business Laptop. Ni 360 ina touch screen ⚡ Intel Core i5 (11th Gen) 🧠 16GB RAM 💾 256GB SSD 🪶 Ultra-light | 🔐 Secure | 💼 Business-class 📌 Inafaa kwa: Business, Office work, Coding, Remote work 💰 Price: 1,100,000 TZS ➠ 📍Dubai ➠ Express Delivery: 1–7 Days ➠ shipping fee 20$ per kg ➠ Pay-on-Delivery hatufanyi❌, kama hutuamini Bora BIASHARA ife. DM us now +255 694 579 000 Kama Budget tight chukua hii chini👇🏾👇🏾
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media
Dada Kucha💅🏽@GraceNguo

I really need a laptop mambo ni mengi 🤦🏽‍♀️

English
5
17
54
4.2K
Comrade Kicheche Jr
Comrade Kicheche Jr@Kicheche_jr·
Jamaa mmoja wa kisukuma, kijana mdogo aliambiwa na baba yake aoe ashakuwa mkubwa, akawa anamwambia mzee sijaona mke, mzee anampa machaguo, anagoma, siku moja akaambiwa nenda sherehe ukatafute mke, akarudi akasema hajaona. Siku 1 akamleta mwanamke ana watoto 2. Aisee wana watoto 2
Filipino
1
3
135
16.7K
Alpha dev
Alpha dev@kocha540·
@Roma_Mkatoliki Unaambiwa Kura zilikuwa zaidi ya 20M yaliongeza namba. ila idadi ya Vifo yanakomaa kuishusha Hawa wazee ukitoa urafi wa Madaraka ni kama wamepata Trauma inawatesa kila uchwao
Indonesia
0
0
0
1.1K
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Bus linapata ajali wanakufa abiria 50, ila Gavoo ikija kutoa habari lazima wapunguze idadi ya vifo, watasema wamekufa abiria 7 na majeruhi 12 tu!! Na hiyo ni ajali ya Bus tu ambalo hata hawajahusika nalo. Sasa ndio ije kuwa haya mauaji ya halaiki ambayo wamehusika kwa asilimia 💯 Lazima tu wapunguze numbers kupunguza chaos!!
Indonesia
26
136
1.2K
36.6K
Alpha dev
Alpha dev@kocha540·
@Tweener003 Wametoa filamu nyingi sana labda umewajua juzi, kuliko kutoa filamu na kuishia kuwanufaisha wauza Movie Bora atoe clip hivyohvyo apate maokoto ya Meta& YouTube na Matangazo. kaangalie Movie: >Agent Bavo >Nyampara Bondia >Bodyguard >Vipofu wawili
Indonesia
0
1
22
1.3K
PàChâ#1738 💫
PàChâ#1738 💫@Tweener003·
Hawa jamaa kina Agent Bavo wanafeli wapi kutoa filamu na kuachana na hizi clips maana action zao ni za moto sana 🔥🔥
PàChâ#1738 💫 tweet media
Filipino
18
34
406
25.1K
Alpha dev
Alpha dev@kocha540·
@fintanjr_ Izo porojo tu ulipewa na Saidoa Fundi , Soko la ubungo walisema hivyohvyo saivi Frame kama zote zipo wazi sasa Masaki na Ubungo wapi panafikika kiurahisi?
Indonesia
2
0
9
1.5K
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Jana Latto alipost kuhusu hii project, ambayo ni moja ya Big fish investments, ipo pembeni ya bahari pale masaki,. Siku moja nilienda kiofisi(Winga), nlipata wasaha wa kuzungumza na moja ya project manager, akasema ujenzi ndio upo 50% lakini tayari kila mahali pameshachukuliwa na advance payment imeshafanyika. Inamilikiwa na moja ya mmiliki wa moja petrol stations kubwa nchini. hapa kutakuwa na malls, hotels, shops and offices... wenye hela ndio wanapata hela🙌.
The champ👑 tweet media
Filipino
28
26
243
27.3K
Alpha dev
Alpha dev@kocha540·
@chapo255 Kama hujaelewa hii code basi IQ yako ndogo sana
Indonesia
0
0
4
2.8K
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Jana nilipiga stori na Senior mmoja hivi, akaniambia madogo wa herudi 3. Wanayumbisha uchumi wa Malawi. Madogo kwenye kodi ya bilioni moja wapo tayari kupewa 200M wagawane mwisho wa siku gavoo mfuko unakauka. Dogo ana miaka miwili kazini ana nyumba MbweNI kmmk!
Filipino
68
75
1.3K
92.9K
Alpha dev
Alpha dev@kocha540·
@MarekaMalili Kikwete ndo alikomaa na barabara 2010 tu hapo ilikua kipengele, Dar-Mwanza ilikua vipande kama vyote Singida-sekenke hakuna Mkeka ni majaruba tu na enzi izo hakuna speed limit basi Mabasi yamekula sana roho za watu enzi izo kuliko hta VVU, Ally's ilikua ibakula mzinga kila uchwao
Indonesia
0
0
0
116
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Pierre Kompany baba mzazi wa kocha wa Bayern Munich yaani Vincent Kompany ni mbunge wa bunge la Ubelgiji, tena leo hii ameingia bungeni akiwa amevaa scarf ya Bayern Munich. Hii ni baada ya Bayern kuwatoa Real Madrid kwenye ligi ya mabingwa Ulaya.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
9
55
1.3K
18.5K