Abuu Muslim
1.5K posts

Abuu Muslim
@AbuuMuslim5
Islamic knowledge, Martial arts skills and Love
Florida, USA Katılım Haziran 2020
290 Takip Edilen149 Takipçiler

@zoetjesheeftX Iyo inaitwa Werner syndrome mtu anakuwa na premature aging na sio kwa sababu ya vipodozi 😅😅
Ngoja niwape shule sasa
Yani hiyo kuna kuwa na mutation kwenye WRN gene
Ambayo hiyo WRN gene Masada kwenye DNA repair, replication na chromosome Maintenance ( shortly AR disorder)
Filipino

Daktari aliye mfanyia vipimo huyu binti Kwa mara ya kwanza amethibitisha kuwa, Sababu inayo semwa kuwa huyu binti kazeeka ghafla baada ya kufanya mapenzi na raia Wa Kigeni siyo kweli,
Dakika anasema, kwanza huyu binti hajazeeka ghafla ni hali iliyo anza taratibu, na walicho kuja kubaini ni kuwa binti Kuna vipodozi alitumia kwenye ngozi yake ndo vilivyo leta pingamizi kwenye seli zake za mwili wake hivyo ikapelekea kupata mabadiliko haya ya kimwili.
Dakitari ameongezea Kwa kusema, huyu binti mabadiliko yalianza kutokea kwake mwaka 2020 ndo walifika hospitalini hapo akiwa na mama yake mzazi, na kipindi hicho alikuwa hajazeeka sana kama ilivyo Sasa Bali yalikuwa ni mabadiliko tu madogo.

Indonesia

@WideEdson Sasa Angeitwa Nani?
Hata World Cup Ya 2010 Ambayo Spain Waliibuka Washindi Asilimia 90 Kikosi Cha Spain Kilikua Na Wachezaji Wa BARCELONA
Indonesia

Arnold Schwarzenegger alikataa kupokea mshahara wake wakati wote alipokuwa Gavana wa Jimbo la California kuanzia mwaka 2003–2011.
Schwarzenegger alieleza kuwa hakuhitaji mshahara huo kwa sababu alikuwa na utajiri mkubwa kutokana na kazi yake ya uigizaji.
Aliutaja mshahara wa gavana, uliokuwa kati ya $187,000 na $206,500 kwa mwaka, kama (fedha ndogo) ikilinganishwa na mapato yake kwenye filamu.
Badala yake aliuzawadia mshahara huo kwa mashirika mbalimbali ya misaada.

Indonesia

Yaani mshenzi mbwa kama huyu ndo umfananishe na Issa?
Ushawahi kuona issa ana roho ya kutu na biashara ya mwanaume mwenzie kisa tu ni CCM
Usimfananishe issa na hao wachawi wenzako

Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07
Kunya anye kuku akinya bata kaharisha sio? Haya bwana
Indonesia

@Sativa255 Pengine wewe unaona watu wanaongelea njaa, ila ni zaid ya njaa !! Kuna siku yeye na boss wake wanaweza kutumika kukufikia wewe au watu wa aina yako either kwa kujua au kutokujua kama wanatumika. It's just a reminder Wala sio kwamba njaa ndio inayoongelewa hapa .
Indonesia

Culture zinatofautiana sana hasa kwenye vyakula.
Kuna watu huku wakiona napika zege (kyepe yai) wananishangaa sana.
Yani kwao hai-make sense kuona nachanganya viazi na mayai kwa pamoja!! How!!!!?
Tena anakwambia kabisa mimi yangu niwekee separate, yai kaanga
kivyake na viazi kivyake usimix😁
Na hata ukiwapa zege linawashinda kabisa kula…..Nawashangaa sana!
Kuna wazungu maharage ukiyaunga na nazi tu….hawali yanawashinda!
Weird sana.
Sasa siku nikiwapikia Makande hawa, si wanaweza kuni Deport kabisa
Indonesia

@fumbokhanJr Iran kuna wasaliti wengi,Mmarekani anamwaga pesa za kutosha kwa mashushu
Filipino

@Enemy_19 Watu mnajikaririsha eti usikimbilie kujenga,kila mtu aishi kwa imani yake
Indonesia

@HabiibYahyaa Kuna channel ya Waisrael,IDF wamekufa sana na vilio
Suomi

Kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari kuhusu tukio la Kuawa wanajeshi wa Marekani nchini Iraq.
Wanajeshi wa Marekani waliokufa walikuwa ndani ya ndege ya kijeshi ya kujaza mafuta angani aina ya KC‑135 Stratotanker iliyo Pigwa Kombora wakati wa operesheni ya kijeshi.
Hadi sasa majina yaliyothibitishwa hadharani ni haya yafuatayo👇
1👉 Tyler Simmons
Cheo👉 Technical Sergeant (TSgt)
Kitengo👉 121st Air Refueling Wing (Air National Guard)
Kazi👉 Boom Operator Yani mtaalamu wa kujaza mafuta angani.
2👉 Alex Klinner
Cheo👉 Major (Meja)
Jeshi👉 U.S. Air Force
Alikuwa mmoja wa wafanyakazi wa ndege hiyo.
Kumbuka kuwa Jumla ya wanajeshi 6 wa Marekani waliuawa katika shambulizi hilo.
Pentagon bado haijatoa majina ya wanajeshi wengine 4 wakati taarifa hizi zilipotoka kwa sababu taratibu za kuwajulisha familia zao kwanza zilikuwa zinaendelea.
Ifahamike kua Wanajeshi wote hao hakuna mwili hata mmoja uliopatikana wote waliishia angani
Kwa hiyo familia zao zitapelekewa Nguo zao au bendera ya Nchi yao kama ishara ya uzalendo wa kupambania Taifa.
Mpaka sasa Takribani wanajeshi 13 wa ngazi za juu wa Marekani wamepoteza maisha yao katika Mzozo unao endelea kati ya Marekani na Iran, Tambua kua Hao ndio walio tangazwa hadharani na Pentagon.
Upande wa pili ule wa Taifa la Mungu 😁 wao wanajeshi wao ni vyuma hawafi, kwa ufupi hajafa hata mmoja katika Mzozo huu sasa Basi usistaajabu ndivyo walivyo wale.
Ukifuzu vita huko Ghuba basi unarejea Nyumbani ukiwa komando, kule unaambiwa Iran haicheki na kima.
Indonesia




















