Aididi

5.4K posts

Aididi banner
Aididi

Aididi

@Aididi13

Lindi Katılım Ocak 2021
2.5K Takip Edilen1.6K Takipçiler
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
@Aididi13 Kazi iendelee tumechelewa sana
Lietuvių
1
0
2
590
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
Hao Machinga na Mawinga wa Mihogo hapo Coco Beach walimchangia jiwe 2mil ya form waache kulialia Mabanda yatolewe yamekaa kiuchafu sana. Tunachotaka maendeleo Mwekezaji aje hatujali Mjomba wa Oman, UAE au Beberu. Kikubwa WATOKE kazi iendelee mandhari ya jiji la Dar iwe safi 🤝
Indonesia
25
36
247
11.7K
Leloo Electronics
Leloo Electronics@Amanileloo·
Mtu anakuja kununua Tv inch43 ..kwenye kulipa anafungua begi anawatolea mia tano tano za laki nne...ikipata return hii balaa
Indonesia
22
28
328
18.6K
Aididi retweetledi
Suma viatu👞
Suma viatu👞@suma_clever·
Wakali wa machimbo Zile tochi za mgodini, nazipata wapi hapa Kariakoo?
HT
1
1
2
310
Shabiri Nakamu
Shabiri Nakamu@shabirnakamu·
Huku Spain kuna website ni kwajili ya kuuza na kununua vitu used tu. Ni balaa. Ps4 slim with 1 controller mpaka €50 (karibu 150k Tsh). Na hapo bado kuna option ya kuplace offer yako.!!
Indonesia
15
20
310
15.1K
Thomas-Josephat
Thomas-Josephat@ThomasJosephat3·
Miaka mitatu nyuma tulipanda hili zao. Now mikeka imetiki kila mti umebeba matunda. Hapa nitakula mimi, watoto na vitukuu vyangu.
Thomas-Josephat tweet mediaThomas-Josephat tweet media
Malawi 🇲🇼 Indonesia
51
42
371
28.7K
Hika Lyimo
Hika Lyimo@iamthatfemale·
Unahitaji mtaji wa Kiasi gani kuanza biashara yako?
Indonesia
60
16
159
38.3K
GIPSON BNN
GIPSON BNN@mentor209·
Yesu hajawai kuwa mkristo ila waebrania walimwita masihi “mpakwa mafuta” . Yesu ni mhayudi na alizaliwa Palestine 🇵🇸 wakati huo ikijulikana kama judea alizaliwa katika mji wa betleemu Yesu aliishi katika Torah ya musa. Pia wakati wake hakuwai kusali kanisani wala hakukuwa na
Indonesia
129
51
387
47K
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
Trump alifikiri Iran ni kama wale wanaMgambo waYEMEN wavaa misuli na Kobaz huku mdomoni wana Mirungi Waajemi ni weka tuweke na jino kwa jino usipokua skangaga lazima uache Ndala 😂💀
Indonesia
16
6
150
7K
Aididi retweetledi
Ńyambala
Ńyambala@AsinaUso·
Morning familia Kama upo Mbeya au unapita mbeya karibu Sansiro tupo Mwanjelwa Soko kuu Kama upo mbali repost yao inatosha
Ńyambala tweet mediaŃyambala tweet mediaŃyambala tweet mediaŃyambala tweet media
Filipino
0
9
14
1.6K
Zumbe Mtana
Zumbe Mtana@JimmyMtanzania·
@nonstopfrale Sio mambo yake, sio mtu wa anasa anasa. Akiwa UD alikuwa anakuja na Range tena ni miaka hiyo ya kitambo kabla hajawa CAG. Ameshika dini sana, akiwa CAG anakuja masjid magomeni pale hana makuu wala huwezi mjua.
Indonesia
2
0
5
1.2K
Lekule
Lekule@nonstopfrale·
Sema kuna namna hapa vitu haviko sawa, either alikua anatoa sana misaada au gari sio mambo yake ukute yeye ame invest kwenye majumba, maana mshahara wa prof miaka yote hiyo na mshahara wa CAG miaka yote hawezi kukosa hela za kua na li V8 flani kali bila hata ya ufisadi
M A G I R I@Kiganyi_

Nimekutana na CAG Prof Assad na ile gari yake maarufu, Toyota IST nyekundu, mzee mnyenyekevu sana aisee. Na ina namba nyeupe, sijui anaitumia kuingiza hela au? Tukiwa na watumishi wa umma kama prof Assad nchi itafika mbali sana.

Indonesia
7
2
71
16.4K
Myunani
Myunani@MaxTz255_·
Hivi Morogoro kuna Airport?
Català
24
8
136
23.2K
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
Kiduku ye daily anaTest mitambo anaona mbona hawa mchokozi na Makombora yamekaa tu yanapata Kutu 😂
Indonesia
2
0
24
2.3K
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
Iran ana vikwazo vya kiuchumi tokea 1970’s lakini anaenda Toe to Toe na mataifa 2 makubwa Duniani week ya 2 sasa na wanakaribia kurusha Taulo… Walivyotegemea ndivyo sivyo na kukimbia AIBU
Filipino
8
9
108
3.5K
Aididi
Aididi@Aididi13·
@bajabiri 😄😄wingu limetañda ila mitaa inapitika
0
0
0
14
The SPECIAL ONE ™️
Naombeni updates za hali ya hewa ya Moro. Kahumba kunaingilika?
The SPECIAL ONE ™️ tweet media
Filipino
1
4
15
635
Aididi
Aididi@Aididi13·
@husseinabui Safi sisi wa huku bado tunaendelea kula vitu
Indonesia
1
0
0
5
mKigoma ⚓
mKigoma ⚓@husseinabui·
Hapa mjini dar wapi nawezapata bokoboko?...
Indonesia
3
0
1
172