Jamaa ni MLINZI tu wa Petrol Station ⛽️, mshahara 240k, ana housegirl, mke na watoto watatu, mke hana kazi ni golikipa afu wamepanga wanalipa Kodi.
Amini nawaambieni, Tukifika Mbinguni kwa baba tutajua tu ukweli 240k inaendeshaje familia ya watu 6 Dar es Salama
Kivipi yani😢
@swahilispark Her konyagi ila huyo mwingine unapoteza kumbukumbu kuna mtu niliwahi kumwambia nitakutumia laki moja asubuhi na mapema kisa tu nimekunywa hiyo v. Mimi nishasahau kama nimeongea hayo maneno mwisho wa siku ananiambia fanya ule mpango. Kwahiyo v haifai
Hivi kati ya
1. MillardAyo
2. Sam misago
3. Salim kikeke
4. Maulid Kitenge
5. Zuhura Yunusu
Nani ni mwanahabari bora wa muda wote?!. Ongeza mwingine pia
Visamvu vya Dar havina taste kabisa....sijui shida vinachumwa kila siku au wapishi hawaweki viungo,au vinaanza kuchumwa vikiwa vidogo sana...compared to mikoani Visamvu vina ladha ya asili.
Kama umezoea kula kisamvu cha mkoani, kisamvu cha Dar hutakiweza....
Ukiona mambo hayaendi rudi nyumbani nenda kafagie makaburi ya wazee na bado hajaja jengewa jengea then fanya na kisomo, ukirudi mjini mambo yasipoenda njoo unidai liten. Na huu sio uchawi
Wanawake wana huruma sana huyu ni card b akimlisha aliyekuwa mumewe offset baada ya kushambuliwa na risasi hivi karibuni.
Tumpongeze Cardi B katika hili anasoma comments
@Savasec Hiii ni kweli kabisa maaana bibi mzaa mama alifariki na miaka 85 ila siku ya matanga naskia wanaulizana vip mahar ilimalizwagwa apo nlichoka wakat naish na binti ya watu na Ana watoto wawili ata sent sijawahi toa