All is Well
1.1K posts


Jeshi la Polisi limesema limewakamata watu watatu wanaodaiwa kutumia mitandao ya kijamii kuwatusi wengine wakiwemo wajumbe wa Tume ya Uchunguzi wa Ghasia za Oktoba 2025.
Polisi wamesema watuhumiwa hao wamekamatwa mikoa ya Arusha, Iringa na Mbeya, huku msako wa kuwakamata wengine ukiendelea.

Indonesia

@MaleAdvocate28 Nikija Uganda
Basi jua nakufuata wewe
Nakupenda sana
Indonesia
All is Well retweetledi
All is Well retweetledi

Tukubali "ghasia" zilipangwa, kuratibiwa, kufadhiliwa na kutekelezwa.
Tukubali watu 518 tu ndio waliouwawa, 758 wamepotea na 448 hawajulikani walipo ( 518+758+448=1,724! Namba 8 imependwa sana na Tume).
Jumla watu 1,724 HAWAPO kama matokeo ya hicho kilichopngwa, kuratibiwa, kufadhiliwa na kutekelezwa;
- Mkuu Usalama wa Taifa (DGIS) bado yupo ofisini
- Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) bado yupo ofisini
- Wakuu wa Mikoa na Kamati za Ulinzi na Usalama za Mikoa yote husika wapo ofisini
- Wakuu wa Wilaya na Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya zote husika wapo ofisini
Hakuna kuwajibika wala kuwajibishwa, halafu Umma ukubali kuwa hii haikuwa kazi ya dola yenyewe kujiandaa kuua watu wake?
Filipino

Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Oktoba 29, Jaji Othman Chande, amesema suala la upoteaji wa Watu linaendelea kuwa miongoni mwa changamoto kubwa za Kijamii zinazolikumba Taifa pamoja na Dunia kwa ujumla akisisitiza kuwa uzito wa tatizo hilo ndiyo sababu limepewa kipaumbele maalum katika uchunguzi wa Tume hiyo.
Jaji Chande ameeleza kuwa takwimu za Kimataifa zinaonesha ukubwa wa tatizo hilo ambapo mtandao wa Shirika la Msalaba Mwekundu Duniani umebainisha kuwa kati ya mwaka 2020 hadi 2024 zaidi ya Watu 284,000 wameripotiwa kupotea Duniani kote hali inayodhihirisha kuwa suala hilo si la Nchi moja pekee bali ni la Kimataifa
Aidha, ameongeza kuwa hata katika Nchi zilizoendelea Barani Ulaya pamoja na Marekani bado matukio ya Watu kupotea yanaendelea kuripotiwa akitaja mifano ya Nchi kama Ubelgiji na Uholanzi, huku akibainisha kuwa sababu za upoteaji hutofautiana kulingana na mazingira ya kila Nchi jambo linalohitaji uchambuzi wa kina kabla ya kufikia hitimisho.
Akizungumza Aprili 28, 2026, katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere (JNICC), Jaji Chande amesema "suala la upoteaji linatukera sana, ndiyo maana tumeweka kama moja ya vyanzo vya masuala ya Kijamii, pia ni changamoto Duniani kote, Mtandao wa Shirika la Msalaba Mwekundu Duniani unasema kuwa kati ya mwaka 2020 hadi 2024, zaidi ya watu 284,000 waliripotiwa kupotea Duniani, hata Ulaya, Watu wanapotea, Ubelgiji, Marekani, Uholanzi na Nchi nyingin, sababu zinatofautiana, hivyo kila Nchi ina vyanzo vyake, kuna viashiria takribani 74 vya aina ya Watu wanaopotea Duniani, hivyo ukitaka kuelewa kwa undani lazima ubainishe chanzo cha kila tukio.” Jaji Chande. #MillardAyoUPDATES

Indonesia

Today, Tanzania takes an important step in the right direction. The release of the Commission of Inquiry's report into the post-election violence is a significant moment, for accountability, for our democracy, and for our healing as a country.
#Tanzania #CommissionOfInquiry #Democracy #Accountability #GoodGovernance
English
All is Well retweetledi

Mapendekezo ya tume ya Jaji Chande inasema;
-Tupate Katiba Mpya,
-Utekaji ukomeshwe,
-Kuwe na watumishi wa tume ya Uchaguzi mpaka ngazi ya chini,
-Ajira na maisha bora kwa vijana,
-Utitiri wa kodi kwa wafanyabiashara uondolewe,
Halafu unawasikia Chadema wanasema hawatambui Tume na ripoti hawaitaki wakati ndio hoja zao miaka yote...! Madai yote ya msingi ambayo ndio agenda ya upinzani kwa miaka yote yamejibiwa na tume na kupewa kipaumbele kama chanzo cha matatizo na mapendekezo makuu.
Nafikiri Watanzania sasa mtawaelewa hawa Chadema wanalitakia nini taifa letu.
Indonesia

DODOMA: Mbunge wa jimbo la Tanganyika, Selemani Kakoso ameyasema hayo Bungeni Aprili 13, 2026 wakati akichangia Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.
Nini maoni yako Mdau?
Shiriki kwenye mjadala jamii.app/TozoMiamala
#JamiiForums #Governance #Uwajibikaji
Indonesia

Wapenda amani na kuitakia mema nchi wanaongea na kutoa ushauri Kwa serikali!
Jana niliuliza, Walikuwa wapi chadema kukemea wakati vijana wanachoma miundombinu ya mafuta? Nikasema ushauri tunachukua lakini sio nyie wa kuja front kujifanya mnajali. Nikasema watuachie wapenda amani ambao tumepambana wakati nchi inataka kuchomwa na vijana.
Heko, Kenani Chapa ilale na Mwenyekiti oyeeee.

Indonesia
















