Sabitlenmiş Tweet
ALPHA
3.1K posts

ALPHA
@Alphared_11
MUUZAJI NA MNUNUAJI WA ACCOUNT ZA X ⏰
Tanzania Katılım Ekim 2025
197 Takip Edilen278 Takipçiler

Ni mihemuko ya watu ila mara nyingi Bakwata ndio wapo right kwenye haya mambo ya kufunga na kufungua.
Sean 🦩@iboysean
BAKWATA safari hii wanatema bungo kesho tunakula siku kuu
Indonesia

Ulitaka tuzaliwe matakoni mwako.
RaHeeM@Cowwbama
Hivi kusema na ukweli Mwanaume unazaliwaje Tanga?
Polski

@Mussa_Mdeve Wewe ndo unajipoteza sasa, Huwezi Kufunga Ramadhani bila ujaangalia mwandamo wa Mwezi wa Shabani wala Rajabu kwaiyo tunangalia kwanza miezi mingine ya Kislamu ilivo ndo huwa tunamalizia kwenye Ramadhani na sio wao wanavoamuwa bali Quran imeshaeleza hilo
Indonesia

@Alphared_11 Na ndiomaana nikasema viongozi wanatupoteza kwasababu tatuzo huanza pale tunapoanza kufunga ndio huwa tunatofautiana kuuona na anaweza akatokea mtu akasema umeonekana tuanze kufunga bado viongozi wakakataa kulingana na walivoamua wao
Indonesia

Cha kwanza wewe ni Mpumbavu.
Mtume ameshasema hivi👇
Fungeni kwa kuuona au Fungeni kwa kukamilisha masiku na Funguueni kwa kuuona na Funguueni kwa Kukamilisha masiku.
Haya nambie bwana @Mussa_Mdeve wapi umeuwona mwezi hapa Tanzania.
Mdeve Tz@Mussa_Mdeve
@Rahim_Meghji Mi ni muislam bro ila nikwambie kwamba Uislam wetu Tanzania unaongozwa kwa maoni ya mtu mwenye sauti juu na kikundi cha viongozi ambao hawako makini na uislam ilo liko wazi
Indonesia

@Mussa_Mdeve Mbona nimeshaelezea kwanza hakuna Funga 40 ndani ya Uislamu mwisho ni 30 tu kwaiyo kama kuna mawingu na malizia Funga yangu 30 baada ya hapo kesho nafungua ndo ambacho kimetokea Leo
Indonesia

@Alphared_11 Na je kama sehem ulipo kuna hali ya mawingu yanayoweza kuendelea hata wiki utafunga siku 40?
Indonesia

@Mussa_Mdeve Kwaiyo ikiwa hatujauwona mwezi sisi tunakamilisha masiku ndo hapo inakuwa rahisi kusema sikuuu kesho tunafunga kesho sababu tunakamilisha masiku 30.
Indonesia

@Mussa_Mdeve Mussa bwana 😁 Hatuamrishwi Shekhe na tunasema ni siku flani sababu soma hapa 👇
Fungeni kwa kuuona au Fungeni kwa kukamilisha masiku na Funguueni kwa kuuona na Funguueni kwa Kukamilisha masiku. Haya ni Maneno ya Mtume wetu Muhammad S.W
Indonesia

@Mussa_Mdeve Lini umeona Tanzania imesikiliza kwa wenzetu ambao Majira yanatofautina ? Wapi umeona tumesikiliza ?
Filipino

@Alphared_11 Haya niambie bwana Omary lini uliuona mwezi ukaanza kufunga na lini ulishakaa baharini au sehem maalum za kuusubiri mwezi uuone ndio ufungue? Wote hua tunasikilizia kwa wenzetu na hii hutokana na hali ya hewa kuna baadhi kunakua na mawingu zingine kunakua na shwari
Indonesia

@musyokaNdesa @SaidiPweza @Rahim_Meghji Umebadilika tena umekuja kwenye swala la kitimoto haya uwe na wakati mwema
Indonesia

Uislam hauongozwi kwa maoni au rai ya mtu au kikundi cha watu fulani. Jambo lolite la dini linaongozwa kwa mujibu wa muongozo na taratibu za kusheriah, msiokuwa Waislam eleweni hili muwe up-to-date na Uislam.
Samz•@samz__23
Sherekhe za ndugu zetu katika Imaan huaga jau sana.
Indonesia

@safarimlevi @MariaSTsehai Kaka sio Leo tu bali nazungumzia kitu ambacho toka muda ana mambo yake mengi kwa sasa anayafanya ni ya kipumbavu kila mada yeye anadakia hajali imekaaje inamshusha vyeo wala nini yeye anadakia tu
Indonesia

@Alphared_11 @MariaSTsehai Ungejibu nae hoja kwa hoja ibara kwa ibara ibara ingekua vzr Sana bila kumuita mpumbavu kaka


@rugata0005 @BillyTronix1 Sisi huku hatujauwona na tuna 29 Leo tunakamilisha 30.
Indonesia

@Alphared_11 @BillyTronix1 Usiku na mchana vinauhusiano gani na mwezi? Je mna wasiwasi kuwa kenya, Saudi Arabia, na mataifa mengine yanaweza kuwa danganya kwamba leo ni eid kumbe sio?....Ni ukanjanja kwenye moja na mbili.
Indonesia

@musyokaNdesa @SaidiPweza @Rahim_Meghji Hao ni wapumbavu kama nyie mnaingia nao kanisani Papa wenu anawabariki kabisa, ila lahasha kamwe huwezi kuja kuta Wanaingizwa Msikitini na Kusapotiwa sahau hilo
Indonesia

@Alphared_11 @SaidiPweza @Rahim_Meghji Vipi nyie waislamu kufuturishwa na mashoga na dua mkamsomea?....
Indonesia

@Jaguar_455 Maneno haya 👇
Fungeni kwa kuuona au Fungeni kwa kukamilisha masiku na Funguueni kwa kuuona na Funguueni kwa Kukamilisha masiku
Indonesia

@Jaguar_455 Iko hivi sisi tunafata Miezi yetu kuanzia Rajabu shabani hadi Ramadhani mwezi mtukufu, Tutaangalia Shabani ya 29 hatujaona mwezi Basi tunamalizia 30 kisha ndo tunaanza kufunga Ramadhani na ndoinavokuwa, Mufti hapangi bali anafata Quran na Maneno ya Mtume yanavosema.
Cheki 👇
Indonesia

Uislamu haujawahi kupinda hata kidogo. labda wewe @Jaguar_455 utuambie umepinda upande gani wa mwili wako?
JAGUAR.@Jaguar_455
Endeleeni kumchekea huyo shekhe wenu tu. NB, Tanzania hakuna kitu kimewahi nyoooka.
Indonesia

@musyokaNdesa @SaidiPweza @Rahim_Meghji Kwaiyo wao kuwa mashoga inahusiana nini na Uislamu kuwa mzaha ? Vipi nyie Wakristo mlio ruhusu kuswali kanisa moja na Mashoga?
Indonesia

@Alphared_11 @SaidiPweza @Rahim_Meghji Mashoga na wauza kuma mitandaoni ni waislamu....wakina halima katamu, anko T
Indonesia








