Dullah Kombo
3.3K posts


@masoudy2020 @HabiibYahyaa Mchoma mikate kaamua kuionyesha dunia kwamba kiburi anakijua ila hakuwa akitaka kukionyesha kitambo sana
Indonesia

IRAN 🇮🇷 IMEIPA MAREKANI MASAA 24 KUOMBA MSAMAHA KUSHAMBULIA CHUO.
📍Tehran, Iran 🇮🇷
IRGC ambalo ni Jeshi la Iran limechapisha taarifa iliyorushwa na Televisheni ya Taifa baada ya Marekani kushambulia Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Iran kilichopo Jijini Tehran na kuharibu Miundombinu wamewapa taarifa Marekani waombe msamaha ndani ya masaa 24 ambapo zoezi hilo linatamatika kesho saa 8:30 Mchana.
Iran 🇮🇷 kwa mujibu wa taarifa ni kuwa wameshatoa matangazo kwa Vyuo vyote vya Marekani Mashariki ya Kati Wanafunzi wakae mbali mita zaidi ya 100 kuanzia kesho, huku wakidai Marekani akiomba msamaha basi watapiga Vyuo viwili tu ila endapo Marekani hatoomba msamaha na kutoa taarifa ya kulaani basi adhabu yao itakuwa zaidi ya Vyuo viwili vitapigwa.
Indonesia

@Mzungu_pori1 Kumnyanyassa kaka yako kwa kukosa uwezo wa kutungisha mimba
Indonesia

@kibaha_finest Dalili ya mtu masikini aliyekata tamaa kutafuta pesa na heshima
Indonesia

@ercurry_ Wangoni wa songea wangerudishwa kwao south Africa 🇿🇦 . Watu waoga sana ndio wameliletea taifa tabia ya usaliti kwenye mambo ya msingi
Waliwakimbiaga makaburu wakaja kujificha huku, kumanna zao watokeeee
Indonesia

@GilbertPaul095 Wiki ya iliyopita daah niliumia sana kushindwa kumuua yaani sikuwa na chochote cha kumpigia na kawaida yangu nikiona nyoka ni lazima nimuue ndio nijisikie vizuri
Filipino

@ercurry_ Kwa wasomi wenu hawa akina mwijaku au kuna wengine?
Indonesia

@Wolfman_Tz Yaan unajiuliza kwan huko kwao alikuwa hafanyi kazi hadi aje na begi tu?
Kama hakuna sheria ya kuwakataza kufanya kazi ni kitu gani kilimfanya ashindwe kumiliki chochote?
Kwamba kitendo cha kumwagiwa manii yangu kila siku ndio kitamfanya amiliki mali zangu au?
Indonesia





















