Sabitlenmiş Tweet
AziiL Azizy
53.8K posts

AziiL Azizy
@AziiLy
Mwekezaji Mzawa.
Arusha, Tanzania Katılım Haziran 2013
1.7K Takip Edilen6.2K Takipçiler

Kwani hakuoga from yesterday's AI video?
Benjamin Netanyahu - בנימין נתניהו@netanyahu
שומרים על ההנחיות ומנצחים ביחד >>
English

Ndio ile unaondoka kama officer alafu unarudi kama MD >>>>>>
DM@DeclanMode
arteta was in tears after he played his last game for arsenal . he had no idea he was gonna come back and achieve a lot with the club as a manager
Eesti

@_khaffy Hawez kasirika, juz tunapishana nakuita uko bizee mwenyew
Indonesia

@LugumiL @DadaConso Leo umewaka ……. Weka namba uokote chochote ukanywe sharubati
Indonesia

Nikifungua kiduka mwaka mmoja na DSE mwaka mmoja wapi napata faida?
Moses Jackson 🇹🇿@GbpAud_king
Soko la hisa la Dar es Salaam Lina wawekezaji 800k tu na Watanzania Tupo million 60 kwa hali hii bado tunasafari ndefu sana kama Taifa. Ivi nini kingetokea endapo Kila Mtanzania angewekeza hata kidogo anachopata kwenye soko la DSE unafikiria uchumi wa nchi yetu ungekua wapi leo?
Indonesia

@HumphreyMsoka @DaudiKiwonyi @gabyconscious Pale DSE hawa new entry wananunua Kila kitu, one of my friend kapost status ety precision sasa Iv inatrade around 800 na kampuni Kila mwaka inamake loss.
Filipino

Babu huwa anatoa insights kali sana za soko ukiziangalia kamamzinakatisha tamaa ila huwaga na reality.
whatsapp.com/channel/0029Vb…

Filipino

Hutu tuVintage phone ni expensive usichukulie poa😄😄


RUTH 🇨🇦@it_Rutie
Tyla still uses a blackberry phone in 2026. 😭
Español

@AlexSamoja Kijana analia kisa mapenzi, tutapata katiba mpya kweli
Filipino

Once a company is listed, watu wengi wana-assume DSE na CMSA walishafanya proper due diligence.
So kama JATU ilipika financials, fake compliance na bado ikapita na kuweza kuwa listed, hiyo si company failure tu, ni market credibility failure.
Stock exchange haipaswi kuwa gateway of a company kufanya utapeli to retail investors.
Gatekeepers wakifeli, retail investors ndio wanakuwa first casualties.
Filipino

Hii ndo maana kwamba ukubwa dawa?
Pakua App ya LiveBall kwa takwimu za Ligi Kuu.
- liveball.africa/download

Indonesia

@winstone_nnko @MkulimaKante Kweli Mungu hakupi jaribu usilolimudu
Indonesia

@AziiLy 😂 😂 😂 Kaka mbona DCB hamnunui? Iko chini ndo nakwambia saiv 😂
Anyway mkombozi kwa wanafatilia status zangu nilikua naiongelea sana kaka.
Indonesia











